"F.R.E.S.H." was the second single released from Scribe's second studio solo album, Rhyme Book.
It was released on 8 September 2007."F.R.E.S.H." stands for "Forever Rhyming Eternally Saving Hip hop".
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja suala la kiporo cha wali na maharagwe tena kilichopikwa kwa nazi original ni kitamu kuliko chakula...
Habari za muda huu wakuu.
Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 Chuo kikuu cha SUA.
Ninachukua Bachelor of Science in Environmental Sciences and Management. Ninatarajia kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu mwishoni mwa mwezi wa 7 mwaka huu.
Hivyo basi nilikuwa naomba wenye uzoefu na course yangu...
Kuna uzi unasema kuwa Baba wa kambo kalea binti mpaka kawa mtu mzima lakini Binti alipotaka kuolewa mahari akasema apewe Baba yake mzazi na sio wa kufikia.
Uzi wenyewe huu hapa Tumsaidie huyu kimawazo
Ngoja niwaambie kitu ambacho hamkijui,
Ukioa Mwanamke mwenye mtoto kuna asilimia 90% kuwa...
Hakuna dalali:
Chumba na master yake na baraza nje - 100,000/= kwa mwezi kodi miezi 6.
Nyumba ya vyumba vinne, choo na bafu ndani jiko sebule kubwa, dining baraza kubwa mbili - 250,000/= kwa mwezi.
Zote zipo eneo moja, barabara ipo pande zote, maji ya kisima yapo nje pia choo cha public kipo...
Wapendwa.....
Nataka kutafuta kijiwe kwaajili ya kuafanya biashara ya maziwa mtindi na fresh
Hapa Dar yanapatikana wapi kwa bei ya jumla?
Kwa aliyewahi kufanya je inalipa?
Changamoto zake ni zipi?
Na kwakuanza natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani?
Story short,
I'm in my 20's, sijaoa na sina plan ya kuoa. Huyu mzee ni mtu ananipa support za kazi sana, huyu mzee wangu wa karibu, wana 3 children.
Mke wake mjuaji, hasikii, akiamua kitu kaamua. Mzee wangu mtu safi sana, ila mke sasa ni moto mkali. Ana cheat na mume anajua tena fresh. Akihoji...
Position: Senior Declarations Officer
Reporting to: Sea Freight Manager
Location: Arusha (1)
Duties and Responsibilities
Receive inquiries from customers and advise on document requirements for clearing consignments both, imports and exports. Informs / notifies the client of any changes with...
nimeleta hii mada tuwa tafakari hawa vijana wamalizapo chuo au kama wamemaliza chuo mda zaidi ya miaka miwili na zaidi ujiona kila kitu kwao wapo zaidi ya walio mtaani kimaisha.
maana hayashauriki
Mfanyabiashara anaona Kununua Lita moja ya maziwa fresh ni heri ananunue Kopo la maziwa ya unga na akapata lita zaidi ya 20 za maziwa
na wanayaongeza na Butter 'magarine'
ili yawe na vimafuta na yakipoa yanaonekana kama maziwa halisi ya ngombe
Yani Biashara ya maziwa siku hizi ni uhuni mtupu...
INTERNSHIP OPPORTUNITY
PUBLIC RELATIONS OFFICER
Click this link 👉🏽 PRASDEL | Public Relations Officer (PRO) at Dar es Salaam School of Journalism (DSJ)
and apply straight away.
Call|SMS|WhatsApp:
0762260621 | 0735717253
Please share with others
Wanahitajika business partners wawili hadi watatu.
Biashara ya kuuza Maziwa Fresh na Mtindi.
Biashara itakuwa jumla na reja reja.
Vyema ukiwa unaishi Dar es salaam.
Mimi nitasimama upande wa upatikanaji wa mzigo hadi kuufikia mzigo Dar.
Partners watasimamia usambazwaji wa mzigo Dar es salaam...
Habari wanajamii...
Natoa fursa kwa mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote kwa kiwango cha juu na wanaozingatia usafi sana.
Eneo ni Bar maarufu iliyopo Dar Es Salaam, maeneo ya Tabata inafahamika kwa jina BARACUDA BAR & LOUNGE.
Malipo ya kazi nalipa...
Wanyakyusa aisee hebu rekebisheni hili ndugu zangu mnasalimia salimia Sana mnaongea sana Hadi mnakera na mnajua Kila kitu Yani ujuaji mwingi hii sio fresh sio Poa badilikeni bana!! Mods msifute huu uzi Mimi nilioa Kwa wanyakyusa ila nilimuacha dada Yao nikaoa mpare mwenzangu!
Hello ladies and gentlemens?
Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh)
Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei ya Tsh 8,500 kwa kilo, wanaingia kati ya samaki 5 - 4 kwenye kilo 1.
Samaki wetu wanaradha nzuri kwa...
Nimesikia Serikali kwenye bajeti kuwa kodi imeondolewa/punguzwa kwenye kununua malori yenye friji ndani. Hii ni habari nzuri kwa upatikanaji wa fresh foods. Mtufanyie wepesi basi tupate dagaa mchele na pweza na sisi huku mikoani. Nasi tutafanya mpango mpate ulanzi, sungura, matunda na mnafu fresh.
Habari wakuuu.
Nimekuja mbele yenu kutaka msaada kwa mwenye ujuzi wa biashara ya juice za matunda fresh location ni Dar.
Je, ni zipi changamoto za biashara hii.
Je, soko lake likoje na ni kwa namna gani naweza kuingia katika soko la ushindani.
Je, mtaji ambao unaweza kuendesha biashara hii...
Wakuu nawasalimu
Wakuu nimeona fursa katika biashara ya maziwa natamani sana kufanya biashara hii
Biashara hii haswa natamani kuwauzia viwanda vinavyo sindika bidhaa hii Kama vile Asas , tanga fresh ,shambani milk na vinginevyo hata vidogodogo vyenye uwezo wa kuchukua kuanzia lita 50 Hadi 100...
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.