ajira

  1. Hussein Obama

    Natafuta ajira za kibarua, nipo Mbeya

    Habarini wakuu, Naomba kwa anaefahamu sehemu wanatoa vibarua kwa siku Mbeya, iwe ni kiwandani ama kwenye miradi ya ujenzi, barabara n.k naomba anisaidie conection au utaratibu wa namna ya kupata hivyo vibarua nina uhitaji nacho sana nawaomba wakuu kwa waliopo Mbeya.
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Santiel Kirumba Ataka Serikali Kutatua Changamoto ya Ajira Kwenye Miradi ya Kimkakati ya SGR Mkoani Shinyanga

    MBUNGE SANTIEL KIRUMBA Ataka Serikali Kutatua Changamoto ya Ajira Kwenye Miradi ya Kimkakati ya SGR Mkoani Shinyanga Swali la Mhe. Santiel Eric Kirumba, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga aliyetaka kufahamu, Serikali ina mpango gani kutatua changamoto ya ajira kwenye Miradi ya Kimkakati...
  3. Ghettominds

    SoC04 Leo, 1967 na Kesho

    Ninaandika story hii nikiwa ghetto, hivyo hii ni story ya Ghettominds. Hivi karibu kumekuwa na ongezeko la lawama kwa serikali na vijana wa nchi hii. Imekuwa ni kama mpira wa mchezo wa tennis kwani hakuna anaetaka kukaa na kitenesi hivyo basi kuishia kutupiana tuu kitenesi. Kitenesi nacho...
  4. S

    Natafuta ajira (kazi) ni mwanafunzi wa chuo lakini najisomesha mwenyewe

    Mimi kijana wa miaka 24 nasoma degree mwaka wa kwanza Dar es salaam. Naomba mnisaidie kazi kwa sababu najisomesha mwenyewe. Mimi hata nikipatiwa kazi ya kuingia kwa zamu sawa ila iwepo Dar es Salaam Nitawashukuru sana jamani naomba mnisaidi namb zangu +255 772 525 607 hizo naomba mnisaidie...
  5. Donnie Charlie

    Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam, yatangaza nafasi 450

    Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na Maduka ya FLO, Bottega Verde, Flormar, Skechers, Defacto na LC Waikiki, imetangaza nafasi 450 za...
  6. Kiboko ya Jiwe

    Kijana anayejiunga UVCCM hana ajira, pia hana mtaji wa maana, ukiwaondoa watoto wa viongozi ambao wanataka kurithi viti vya wazazi wao

    Tangu UVCCM hii ya 2000's ipambe moto kudahili vijana mashuleni, vyuoni na mitaani hakuna kijana mwenye ajira ya uhakika (permanent & attractive salary) amejiunga na UVCCM na kujishughulisha nayo. Vijana waliosota na ukosefu wa ajira uliosababishwa na CCM ndio hukimbilia UVCCM wakisubiria...
  7. J

    SoC04 Kuwezesha vijana kutumia rasilimali zetu katika kutatua changamoto ya ajira

    Vijana wawezeshwe kujitegemea katika kukuza uchumi wa nchi kwa kutumia changamoto kama fursa. Mungu ametujalia ardhi yenye rasilimali nyingi ambazo asilimia kubwa hatuzitumii katika kuziongeza thamani Ipo haja serikali kuwasaidia vijana waweze kuongeza thamani katika bidhaa. Mfano sioni haja...
  8. Jamii Opportunities

    Farm Manager at Food for His Children (FFHC) May, 2024

    Position: Farm Manager Reports To: Director of Partnership and Program Development Basic Salary: 1,200,000/= Other benefits: Health insurance, airtime and meals/lunch Position overview The Farm Manager oversees all operations at Food for His Children Farm and Innovation Center, managing...
  9. Jamii Opportunities

    Relationship Manager Institutional Banking at NMB Bank May, 2024

    Position: Relationship Manager Institutional Banking Job Purpose: Product Lifecycle Configuration is a sub- unit under ICT Services Management. The unit is responsible for managing the lifecycle of Core Banking Systems products from inception, through engineering, design, system...
  10. Jamii Opportunities

    Drillers 3 posts at Canuck Company Limited May, 2024

    Positions: Drillers (3 Positions) Department: Mining Canuck Company Limited is seeking to recruit Drillers to join and grow their team. You will be expected to align to the Canuck rules and Regulations and to operate within our mining assets with our best people team. You will contribute in a...
  11. Jamii Opportunities

    Project Accountant at Catholic Relief Services May, 2024

    Position: Project Accountant Reports to: Deputy Finance Manager Location: Mbeya Salary Grade: 8 Job Summary: You will help coordinate and contribute to the implementation of donor policies and procedures in compliance with CRS’ established accounting standards, Generally Accepted Accounting...
  12. Jamii Opportunities

    Receptionist at AGIC Energy Global Technology May, 2024

    Position Title: Receptionist Line manager: Administrative Officer Duty station: Dar es Salaam – Tanzania Purpose of the role: As the Technical Support /logistics Assistant at AGIC Energy Global Technology, you will ensure that all equipment received from China is in good working condition. You...
  13. Jamii Opportunities

    Technical Support / Logistics Assistant at AGIC Energy Global Technology May, 2024

    Position Title: Technical Support /Logistics Assistant Line manager: Warehouse Manager Duty station: Dar es Salaam Tanzania Purpose of the role: As the Technical Support /logistics Assistant at AGIC Energy Global Technology, you will ensure that all equipment received from China is in good...
  14. Jamii Opportunities

    Invitation For Bids at International School of Tanganyika May, 2024

    INVITATION FOR BIDS Bids are invited from interested registered, competent, reliable and licensed suppliers/dealers to provide the under listed goods and services for the year ending 31st July 2025. S/N Category No. Description 1. Category 01 Maintenance Materials 2. Category 02...
  15. Jamii Opportunities

    Supply Of Exercise Books and or Stationaries at International Rescue Committee May, 2024

    Supply Of Exercise Books And Or Stationaries The International Rescue Committee, Inc. (IRC) is an international non-governmental, nonsectarian, voluntary organization providing relief, protection and resettlement services for refugees and victims of oppression or violent conflict. Founded in...
  16. Jamii Opportunities

    Innovation & Technical Assistance Analyst at UNDP May, 2024

    Job Identification: 17920 Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Schedule: Full time Agency: UNDP Grade: NPSA-9 Vacancy Type: National Personnel Service Agreement Practice Area: Inclusive Growth Bureau: Regional Bureau for Africa Contract Duration: 1 Year with Possibility for extension Education...
  17. Jamii Opportunities

    Online Data Analyst at Mwananchi Communications May, 2024

    Position: Online Data Analyst Purpose: To collect, analyze, and interpret data from various online sources to provide valuable insights and support data-driven decision-making within the organization. You will work with large datasets to identify trends, patterns, and correlations, contributing...
  18. Jamii Opportunities

    Creative Visual Artist at Mwananchi Communications May, 2024

    Position: Creative Visual Artist Purpose: Is to conceptualize and produce visual content that communicates ideas, messages, and narratives effectively through various artistic mediums. Main Responsibilities: Develop and pitch creative concepts for visual projects. Collaborate with writers...
  19. C

    Naomba kujua kama online courses serikali ya Tanzania inazi acknowledge kwenye soko la AJIRA

    Naomba kwa mtu anayejua kama hizi course zinatambulika au laa linapokuja swala la kutafuta AJIRA bongo maana nimeona course Fulani zinatolewa na GOOGLE, MICROSOFT,COUSERA,IBM,UDEMY N.K ziko vizuri na certification wanatoa Je, nikipiga hii course na Cheti nikapata nitatambulika kwenye soko la...
  20. Jamii Opportunities

    Terms of Reference (ToR) at WWF May, 2024

    CONSULTANCY TO DEVELOP A BUSINESS MODEL FOR CLIMATE-INFORMED SEAWEED FARMERS & ENTREPRENEURS IN RUMAKI SEASCAPE WWF Tanzania Country Office (WWFTCO) is the international conservation organization and well-integrated into the national conservation setting and deploys its human and financial...
Back
Top Bottom