Naomba kwa mtu anayejua kama hizi course zinatambulika au laa linapokuja swala la kutafuta AJIRA bongo maana nimeona course Fulani zinatolewa na GOOGLE, MICROSOFT,COUSERA,IBM,UDEMY N.K ziko vizuri na certification wanatoa
Je, nikipiga hii course na Cheti nikapata nitatambulika kwenye soko la AJIRA? Au Kuna namna nitatakiwa kufanya?
Msaada hapo wakuu
Je, nikipiga hii course na Cheti nikapata nitatambulika kwenye soko la AJIRA? Au Kuna namna nitatakiwa kufanya?
Msaada hapo wakuu