Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

  • Sticky
HISTORY OF ARDHI UNIVERSITY The Ardhi University (ARU) was established after transforming the former University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS) which was then a constituent...
8 Reactions
429 Replies
156K Views
  • Sticky
Ndugu wanajamii Forums nimeamua kuanzisha uzi huu Mahususi kwa University of Dar es salaam yaani kiufupi kila kitu kinachohusu university of Dar es salaam. Nimeamua kuanzisha mimi kama Alumnus wa...
25 Reactions
831 Replies
150K Views
  • Sticky
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze...
59 Reactions
1K Replies
315K Views
  • Sticky
Introduction Nimeamua kuanzisha uzi huu mahsusi unaohusu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kama njia ya kukienzi chuo hiki kikongwe na cha kipekee nchini Tanzania na duniani kwa ujumla...
15 Reactions
230 Replies
23K Views
  • Sticky
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe...
108 Reactions
28K Replies
3M Views
  • Sticky
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana, hasa kidato cha 5 au chini ya hapo, pia wanavyuo. Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu...
48 Reactions
2K Replies
308K Views
  • Sticky
Wakuu habari ya muda, Nimefungua uzi huu ili tuweze kupeana dondoo za jinsi ya kutafuta na hatimaye kupata ufadhili wa masomo nje ya Tanzania. Tuweke matangazo ya nafasi za masomo kokote nje ya...
35 Reactions
599 Replies
225K Views
  • Sticky
Kama ni mwanafunzi, au unatarajia kusoma Geology ila hujui uanzie wapi. Uliza chochote nitakusaidia. Asanteni sana
8 Reactions
549 Replies
107K Views
  • Sticky
Kwa wale waliomaliza kidato cha nne na unapenda kutimiza ndoto za kielimu na chuo cha USTAWI WA JAMII-DSM nafasi za maombi ziko wazi kwa wale wa ngazi za cheti.SIFA STAHIKI :Passed nne(D) na...
2 Reactions
247 Replies
181K Views
  • Sticky
The Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) is the government Institution established in 1997 by Act of parliament."the DIT Act No 6 of 1997" to replace the Dar es Salaam Technical College...
10 Reactions
376 Replies
141K Views
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni...
25 Reactions
785 Replies
131K Views
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya. Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii...
39 Reactions
87 Replies
4K Views
Hivi kwanza ni kwanini shule nyingi tena za serikali hazina uzio? Nyingine za wasichana na wanaishi hosteli, hivi kweli tangu uhuru mpaka sasa tumeshindwa tu kuweka uzio kwenye mashule yetu? Shule...
0 Reactions
6 Replies
101 Views
Wadau habari za Muda huu, Ninaomba ushauri kidogo Kwa wanaojua Nina mdogo wangu ni mwalimu wa sekondari aliyeajiliwa alisoma Bachelor of Arts with Education GPA ya 3.4 Anataka kusoma Masters...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana taaluma.Mimi nilihitimu kidato cha 4 mwaka 2010 masomo ya biashara. Masomo yote nilipata D isipokuwa Book-keeping 'A' , Mathematics 'B' na History 'C'. Niliendelea advance masomo ya...
1 Reactions
14 Replies
142 Views
Kuna kijana anataka kusoma degree bado yupo njia panda kutokana na vigezo na pendekezo lake kuna Business administration, Public administration na HR je? ni ipi ni kozi nzuri kulingana na soko la...
0 Reactions
2 Replies
61 Views
Ndugu wasomi wa Tanganyika moja kwa moja kwa muda. Mimi nina degree ya elimu kifupi ni mwalimu, nataka kusoma icho kitu hapo juu. ....Vipi wenye mamlaka wanaweza kunibadilisha kutoka kwenye...
2 Reactions
5 Replies
144 Views
Endowment fund ni nini? Kwa kifupi, ni mfuko ambao fedha za za michango na misaada kwa chuo huwekwa na kuwekezwa sehemu mbali mbali ili zizalishe faida. Hiyo faida inatumika kutunza thamani ya huo...
1 Reactions
2 Replies
65 Views
Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali. Courses ni masters ya leadership na education leadership. Uingereza nimepata vyuo vinne. Sweden chuo 1 Finland 1 Poland 1 Tatizo ni uwezo wa...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakuu, imekuwa ni adimu sana kuona Wabongo tukishikana mikono ili kuvuka hatua moja kwenda nyingine yenye mafanikio. Tumezoea kupambana wenyewe na wengi wetu huwa hatupo wazi inapokuja suala la...
26 Reactions
120 Replies
15K Views
Hello great thinkers, Mwaka 2021 nilikua nafanya mtihani wangu wa mwisho wa diploma ya pharmacy lakini sikuweza kumalizia mitihani yangu ya mwisho miwili iliyokua inafanyika kesho yake kwasababu...
1 Reactions
11 Replies
162 Views
Wakuu, habari za muda na wakati huu. Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa...
17 Reactions
272 Replies
16K Views
Habari wakuu! Kwa wanotaka kuanza kusoma na waliosoma CPA karibuni mtushauri lolote, kwanza kabisa nahitaji kufahamu, 1) Intake ni mara ngapi kwa mwaka, yaani unaweza anza mwezi gani? Now...
26 Reactions
568 Replies
59K Views
Nomba kujua ukihitimu utafanya kazi kwenye sekta ipi na ipi na majukumu hasa ni yapi?
0 Reactions
3 Replies
129 Views
WanajamiiForums naomba kuuliza Nahitaji msaada pia Nina degree ya Biotechnology and Lab Science, nimesomea SUA nimegraduate tokea 2021 Nipo mtaan kazi sijapata lakini ndoto yangu ni kuwa...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Mimi ni kijana ninaetarajia kumaliza chuo mwezi wa 7 ( ualimu digrii) Nataka kuendelea na masters baada kumaliza, na KOZI nazopendelea kuzisoma masters ni hizi zifuatazo; 1. Parasitology and...
3 Reactions
49 Replies
670 Views
Wakuu poleni na majukumu! kama Kuna mtu anafahamu seemu wanapo uza Hawa viumbe (symbiotic microbes) please naomba anisaidie maana kuwa extract ni kazi sana please 🙏
1 Reactions
1 Replies
64 Views
Habarini wana jamiiforums, Ninaomba mwenye mitihani ya pre-mock na mock ya Basic Mathematics Kidato cha nne 2024 ya Wilaya na Mikoa mbalimbali atume humu. ASANTE
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote? Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi? Nimeona serikali inataka...
4 Reactions
66 Replies
662 Views
Naomba kujua list ya open university zinazotoa course ya Wildlife Management online nchini Tanzania na kutoa cheti kinachotambulika
0 Reactions
3 Replies
133 Views
Back
Top Bottom