Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024
Chulalongkorn University Thailand Government Scholarships 2023
Deadline: 31st May 2023 Fully Funded Thailand Government Scholarships...
Habari.
Kwa Wale wenye mpango wa kusoma afya.
Naomba nitaje course zisemi zinaajira Ila kwa mwenye upeo wa mbali hizi course zina fursa Sana hasa upande wa afya.
Course hizo ni.
1. BIOMEDICAL...
🎄💪Apply for these open scholarships.
1. York University International Scholarship
Link: York University International Scholarship In Canada 2024 (Funded) - Opportunity Portal
2. McGill University...
Habari,
Nina mdogo wangu amesoma advance kombi ya PCB na matokeo yapo hivi; Physics-C, Chemistry -B na Bios-B.
Je, aende Pharmacy au Radiology na kwa matokeo hayo si anaweza pata Muhimbili?
Bado naamini Elimu iko kwenye shule za International School tu, kule kuna world clasll education, English medium ni utapeli mkubwa sana.
International School watoto hawasomi tu just kusoma kama...
Mimi ni mzazi na mhathirika wa haya yanayotokea, Shule ya Sekondari Longido iliyopo Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha, shule ina Wanafunzi wengi sana kupita kiwango.
Jumla ya Wanafunzi ni zaidi...
Wasalaam!
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.
Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu...
Wakuu habari za muda. Mwanangu amekaribia kufika umri wa kwenda shule. nilikua naomba kuuliza. Sylabus ipi ni nzuri kwa ulimwengu huu wa sasa? Ninaombeni Muongozo.
Asanteni.
Mimi ni mwanafunzi wa UDOM college of informatics and virtual education(CIVE).
Hali ya miundombinu ya college hii ni mibovu sana na hatarishi kwa afya hususani vyoo.
College ya CIVE ina jumla ya...
wakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima.
Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto...
Wazazi, hivi huwa mnaketi na watoto wenu na kuzungumza nao juu ya maisha Yao shuleni? J
uzi kwenye MITANDAO ya KIJAMII imesambaa video ikimuonesha Binti aliejulikana kwa Jina la "Mariamu"...
Habari za muda huu wana jf. Natumai mpo salama na wenye changamoto za kiafya naamin Mungu atawaponya.
Kwanza kabisa natanguliza salamu zangu za pole kwa watanzania wote na familia ya Joshua...
Kwa wale tuliopitia Makongo kuanzia enzi zabkuvaa kaptura mpaka suruali tukutane hapa kama wahenga tukumbushane ya kihenga kuanzia makundi ya NO LIMIT SOLDIERS, FEHAJ SISTERS....
Bila ya...
Supp haina huruma aise nilipokua chuo tokea nianze mpaka namaliza nilipata SUPP moja ya Economics ilikua ivi
tulikua na madame m moja anatufundisha Economics alikua mpole, sio muongeaji...
Ndugu wana JF naomba Kuuliza,
Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT.
Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa.
Nimeona kwenye prospectus...
Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.