GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,300
- 11,753
Ndugu wana JF naomba Kuuliza,
Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT.
Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa.
Nimeona kwenye prospectus ya DIT wanatoa kuanzia level ya Basic technician hadi diploma huko.
Vipi kuna chuo kingine hapa tanzania wanatoa hii kozi.
Nina mdogo wangu kamaliza darasa la 12, nataka apite huko.
Asanteni.
Hii kozi ya Multimedia and Film Production, inayotolewa pale DIT.
Ikoje haswa, na ni zipi fursa zake kwenye kujiajiri na hata kuajiriwa.
Nimeona kwenye prospectus ya DIT wanatoa kuanzia level ya Basic technician hadi diploma huko.
Vipi kuna chuo kingine hapa tanzania wanatoa hii kozi.
Nina mdogo wangu kamaliza darasa la 12, nataka apite huko.
Asanteni.