Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la...
1 Reactions
10 Replies
170 Views
Wakuu! Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha...
7 Reactions
114 Replies
8K Views
Natanguliza shukrani, Naomba mnishauri ni Kozi ipi nzuri zaidi naweza kusoma kutokana na ufaulu huu. CIVICS"D" ENGLISH"C" GEOGRAPHY"C" KISWAHILI"C" HISTORY"C" BIOLOGY"C" CHEMISTRY"C" PHYSICS"F"...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini. Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)...
10 Reactions
482 Replies
83K Views
Habari Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety. Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Hello habari, Kwa aliyesoma kozi Moja wapo kati ya hizo ipi inasoko Kwa Tanzania,na ipi ni rahisi kujiajiri,je kiwango chao cha mshahara. Kwa ajira ya Serikali kipoje.
1 Reactions
23 Replies
1K Views
SCHOLARSHIP OPPORTUNITY FOR POSTDOCTORAL POSITION Introduction The University of Dar es Salaam, through funding from the AIR Equity InitiativeP3- Africa Programme, is offering a full-time...
0 Reactions
4 Replies
384 Views
Habari ya sasa hizi wakuu, ni matumaini yangu mpo wazima kabisa. Naomba kuuliza wakuu hivi zipo scholarship hadi wenye miaka 30-33
0 Reactions
9 Replies
243 Views
Ni semester ya mwisho sasa (6 semester), performance yangu hapa Duce ipo nzuri sana by the way hadi sasa Kwa semester tano za nyuma na average GPA ya 4.3. Lakini, Sina furaha kabisa kwani ndoto...
6 Reactions
20 Replies
707 Views
Habari ndugu zangu ,Mimi ni mhitimu wa kidato Cha sita,Katika maisha yangu ya elimu nilikuwa natamani niwe daktari wa moyo( cardiologist) sasa matokeo yangu so mazuri kivile kwa PCB nina...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Kindly any member has tutorials on how to use these systems for declarations imports and exports. kwa yeyote anejua pakupata elimu ya jinsi ya kutumia hii mifumo miwili ya forodha katika kutoa ama...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Habari. Nahitaji shule ya sekondari ya O level ya wasichana au mchanganyiko inayomilikiwa na masisita yenye malezi na mazingira mazuri tofauti na st.Monica na Precious blood. Kama mwanao anasoma...
0 Reactions
13 Replies
320 Views
Top 30 African universities: Times Higher Education reveals snapshot university ranking Institutions from 10 countries feature in a top 30 that previews what a new ranking, being discussed at the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
0 Reactions
1 Replies
69 Views
Hivi huu utaratibu wa mtu kusoma mfano Education (bila tourism hadi Masters) halafu afanye ka research ka Tourism apewe PHD Eti kuanzia hapo atambulike kuwa amesoma Tourism hadi kupewa PHD naona...
3 Reactions
11 Replies
581 Views
Wasalaam wanajamvi, Mimi ni mdau wa elimu nchini nikiwa ni mzaliwa wa mkoa wa Pwani ila nimekulia Mkoa wa Mara. Kwa kipindi chote nilichokaa Mkoa wa Mara na hasa halmashauri ya Bunda mji...
2 Reactions
6 Replies
703 Views
Wakuu, baada ya kuweka Uzi hapa Jana juu ya project proposal yangu, Jana usiku wakuu wa shule tatu walinitafuta(mmoja ni WA shule ya public , wengine wa wa wili wa private school)na directors...
2 Reactions
0 Replies
164 Views
Habari wadau wa jf, nimemaliza six mwaka jana mwezi wa 5 mchepuo wa HGE nina ka one ya 9 with c flat. lakini nilishindwa kujiunga chuo mwaka huo kutokana na kushughulikia masuala yangu ya kiafya ...
1 Reactions
26 Replies
982 Views
Kwenye kitabu cha mwongozo, DUCE wana kozi mbili za Master zifundishwazo kwa mfumo wa online, nazo ni - Master of Education in Educational Leadership and Policy Studies. & - Master of Education in...
0 Reactions
1 Replies
124 Views
Habari. Nlikuwa naomba Msaada wa kufahamisha kuhusu ishu ya kupata AVN? Pia nlikuwa naomba kufahamu Nacte huwa wanatumia muda gani ku confirm matokeo maana yangu yashakuwa submitted
0 Reactions
4 Replies
159 Views
Back
Top Bottom