Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
0 Reactions
1 Replies
140 Views
Wakuu samahani.. Naomba mnisaidie ushauri. Inaeza ikawa so mahala pake.. Niko chuo first year Nachukua bachelor ya human resource Ila sijapata mkopo Me ni fresh toka advance. Sasa nilikuwa...
4 Reactions
114 Replies
6K Views
Chuo gani tanzania kinatoa optometry ngazi ya degree?
1 Reactions
24 Replies
653 Views
Habari zenu ndg Watanzania na wasio Watanzania tulioko humu ndani? Ndugu zangu awali ya yote poleni na majukumu zaidi shukurani kwa MUUMBA. Ndungu zangu nipo mbele zenu kwa ombi moja la kuomba...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) ni Kituo cha Serikali chini ya Wizara ya Madini, Kinatoa mafunzo na huduma mbalimbali katika fani za uongezaji thamani madini. Kituo kinatangaza nafasi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe, mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote? Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi? Nimeona Serikali inataka...
6 Reactions
82 Replies
1K Views
Habari ya wakati huu. Nina shida na mwanafunzi yeyote anayesoma hiyo kozi tajwa acomment kisha nitamfuata inbox kuna mambo nahitaji kuyajua. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
76 Views
Habari Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety. Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndugu zangu , Naitwa BOAZ SIMON BIGARAGU Niko iringa kwa sasa naomba kushare ujuzi wangu kwenu juu ya biashara ninayoifanya ya kuuza mifumo simamizi ya uendeshaji wa shule. Nina mifumo ya...
1 Reactions
1 Replies
70 Views
A
Anonymous
Hivi karibuni niliona kuna andiko lipo JamiiForum kuhusu Shule ya Jakaya Kikwete kuwa Wanafunzi wanalazimishwa kununua karanga utoka kwa Walimu wao, nami nikaona nishee hii kero ninayoiona. Huku...
2 Reactions
8 Replies
242 Views
Serikali imeamua kuboresha uelewa wa somo la Kiingereza kuanzia Shule za msingi darasa la kwanza badala ya kuanzia darasa la Tatu kama hapo awali ili kuwajengea uwezo wanafunzi hao ingali mapema...
1 Reactions
9 Replies
250 Views
Hello Wana jf, Mshikaji wangu anapitia wakati mgumu akiwaza kozi ipi asome. Amehitimu kidato Cha sita mwaka huu PCB na ana division one ya point 6 yaani BBB. Ipo wazi Muhimbili MD hapati lakini...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
A
Anonymous
Pamoja na kwamba ni jambo jema kuutangazia umma kua wanafunzi kadhaa wamepata ufadhili kupitia wizara ya afya(siku hizi wamebadili jina wanaita Dr Samia super-specialized scholarship program)...
0 Reactions
13 Replies
362 Views
PRIVATE VALUATION COMPANIES: Habari wana jamii forum Naulizia kampuni binafsi za valuation(Uthamini) kwa Dar es salaam, kwa ajili ya field
1 Reactions
0 Replies
62 Views
Hbr ya wknd ndugu zangu Niende moja kwa moja kwenye Lengo la kuandika uzi huu, Nina mdogo wangu ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu,alisoma combination ya HGL na kufanikiwa kupata matokeo...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari za leo watanzania wenzangu. Mimi ninaomba kuuliza kitu kuhusu ufadhilii serikali inaoutoa nje ya nchi. SerikImekuwa ikitoa ufafhili ambayo mimi naweza kusema ni wa kisiasa zaidi na hauna...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
A
Anonymous
Wana jamvi, Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege. Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian...
0 Reactions
7 Replies
297 Views
Samahani na mdogo wangu hapa kapangiwa comb HGK ila anataka kuhamia PCB wakati huo ana C ya Chemistry, Bios ana C ila Physics ana D. Je, anaweza kuhama kwenda comb hiyo ya PCB?
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Supp haina huruma aise nilipokua chuo tokea nianze mpaka namaliza nilipata SUPP moja ya Economics ilikua ivi tulikua na madame m moja anatufundisha Economics alikua mpole, sio muongeaji...
8 Reactions
133 Replies
20K Views
Aisee hivi mbona jobless tunafanyiwa hivi. Matokeo hayatoki zaidi ya miezi tisa 9. Hii ni sawa kweli???? Au ndo watu wakikaa kwenye viti hawajali hisia za wengine. Hata kama ni kupima uvumilivu...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Back
Top Bottom