2018 CHAPTER BREAKFAST MEETING – INFORMATION SYSTEM AUDIT
21st August 2018 AT 08:00AM-10:30AM
Start your day off right! ISACA Breakfast Meetings offer timely industry information and networking...
Habari wanajamvi,
inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na...
Nina miaka mitatu kazini nataka kurudi nyumbani kama unataka kuja Morogoro wilaya ya Malinyi nije wilaya ya Hai,Rombo na Moshi vijijini idara elimu sekondari kama unapenda kulima ardhi yenye...
Habari za jioni wakuu, ninandugu yangu anasoma chuo kikuu nje ya Tanzania. Kutokana na vyuma kukaza nafikiria kumuhamishia nyumbani yaani Tz ila sijui utaratibu wa kufuata naomba mnisaidie...
Njoo Morogoro wilaya ya Malinyi iliyopo karibu na wilaya ya Ulanga,Kilombero na Ifakara mji nije Moshi vijijini, Moshi Manispaa, Rombo na Hai idara elimu sekondari mawasiliano 0655669079/0719576667
Anayependa kuja Mkoa wa Morogoro wilaya mpya ya Malinyi mimi nije Moshi vijijini hasa kata ya kimochi au wilaya ya rombo,hai au siha idara ya elimu sekondari anitafute kwa namba hii...
Wakuu naomba kuuliza. Kwa mfano umechaguliwa chuo let say UDSM lakn facult ulopangiwa hujaridhika nayo, je unaweza kwenda kuibadili na kusoma ile uipendayo?
I offer home tuitions only on physics, chemistry & mathematics for both Ordinary level & Advanced level.
My contacts: 0625755889
Location: Morogoro Town
The University of Dar es Salaam through the School of Education and the Department of Educational Psychology and Curriculum Studies invites applications for admission into a MASTER OF EDUCATION IN...
Kuna issue ya AVN imekuwa tatio jaman.Nacte wanasema wahitimu wawasiliane na vyuo vitume matokeo ndo wapatiwe AVN....
Hivi Nacte si ni bodi inayosimamia vyuo vyote vya ufundi..kwanini...
Msaada mwanangu anahalisha ana umri wa miezi 7 nimempeleka hospital kapatiwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowote, hivyo naombeni ushauri kwa yeyete mwenye utaalamu au uzooefu na mambo...
Habari zenu,
Nina ushauri mdogo kwa wadogo zangu kidato cha 6 wanaotaka kuapply vyuo
Aisee ,msidanganyane huko mtaani,nakushauri kasome kitu unachokipenda,siku hizi hakuna ajira sio...
Amepata 3 ya 17 form six phy_F bios_E
Chem–E Bam-E lakini o-level ana
Bios-B
Chem-B
Phys-C
Maths-A
English-B je anaweza pata diploma kwa chuo au collage yoyote? Na kozi ipi? Kwa chuo kipi...
Habari wana Jf natumaini ni wazima wa afya , samahani ndugu zangu kama kuna MTU ana ufahamu vizuri na kozi hizi naomba anifafanulie vigezo vya kusoma kozi hizi kwa ngazi ya cheti au diploma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.