News Alert: Ushauri Mfupi kwa kidato cha 6 wanaotaka kuapply vyuo

bloggerboy

JF-Expert Member
Nov 13, 2017
568
1,211
Habari zenu,

Nina ushauri mdogo kwa wadogo zangu kidato cha 6 wanaotaka kuapply vyuo

Aisee ,msidanganyane huko mtaani,nakushauri kasome kitu unachokipenda,siku hizi hakuna ajira sio mwalimu,injinia au daktari hakuna anaeajiriwa

Kama unaenda kusoma kwa influence ya kuajiriwa sahau hicho kitu unachofeel kutoka moyoni

Hata kama unapenda music its better ukasome music itakusaidia !

Nashukuruni sana

NB:Nina experience na haya mambo,kwa sasa mambo yamebadilika sana sio kama zamani

jpm anatupeleka kwenye mfumo wa kujiajiri
 
[QKimsinhoggerboy, post: 27598163, member: 463755"]Habari zenu,

Nina ushauri mdogo kwa wadogo zangu kidato cha 6 wanaotaka kuapply vyuo

Aisee ,msidanganyane huko mtaani,nakushauri kasome kitu unachokipenda,siku hizi hakuna ajira sio mwalimu,injinia au daktari hakuna anaeajiriwa

Kama unaenda kusoma kwa influence ya kuajiriwa sahau hicho kitu unachofeel kutoka moyoni

Hata kama unapenda music its better ukasome music itakusaidia !

Nashukuruni sana[/QUOTE]
Usikatishe wana tamaa mzee baba, katika kozi ambazo najuta kutosoma ni uhasibu.

Huwa haumtupi mtu na kama utausoma vyema mpaka viwango vya CPA unatoka maana hata ukiwa na cheti chake tu kazi zipo kibao!

Kinachokost vijana ni kutaka kuanza na mshahara wa 1.5M wakati muajiri anataka uanze na 500k. Kimsingi kazi zipo ila za mishahara ya kinyonyaji mno na raia hawataki hilo.
 
Back
Top Bottom