jonas255
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 222
- 104
Habari wanajamvi,
inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na baadaye mwajiri huyo akakuombea kibali Tamise kupitia kwa RAS, Katibu mkuu tamisemi anatoa kibali cha uhamisho wako na baadaye DED anakataa kupitisha kibali na kukufungia data sheet bila sababu zozote za msingi na ameng'ang'ania barua yangu.
je nifate utaratibu gani ili niweze kuhama naombeni ushauri wenu... JINA NIMEONA KWENYE LIST YA MAJINA YA TAMISEMI
inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na baadaye mwajiri huyo akakuombea kibali Tamise kupitia kwa RAS, Katibu mkuu tamisemi anatoa kibali cha uhamisho wako na baadaye DED anakataa kupitisha kibali na kukufungia data sheet bila sababu zozote za msingi na ameng'ang'ania barua yangu.
je nifate utaratibu gani ili niweze kuhama naombeni ushauri wenu... JINA NIMEONA KWENYE LIST YA MAJINA YA TAMISEMI