MWALIM WA KIJIJINI
Member
- Aug 22, 2013
- 66
- 66
Habari za jioni wakuu, ninandugu yangu anasoma chuo kikuu nje ya Tanzania. Kutokana na vyuma kukaza nafikiria kumuhamishia nyumbani yaani Tz ila sijui utaratibu wa kufuata naomba mnisaidie maelekezo, ni utaratibu upi nafuata.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani