AgentX
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 1,650
- 1,687
Habari
Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety.
Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za hili swala Ila nadhani zile zitakuwa ni short course.
Na vipi kuhusu zile wanatoa OSHA je zinaweza kukubalika ktk soko la ajira.
Shukrani.
Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety.
Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za hili swala Ila nadhani zile zitakuwa ni short course.
Na vipi kuhusu zile wanatoa OSHA je zinaweza kukubalika ktk soko la ajira.
Shukrani.