Kwakwelii clinical medicine ni maumivu.Hello habari,Kwa aliyesoma kozi Moja wapo kati ya hizo ipi inasoko Kwa Tanzania,na ipi ni rahisi kujiajiri,je kiwango chao Cha mshahara Kwa ajira ya Serikali kipoje.
Vp kuhusu cardiovascular technologistKwakwelii clinical medicine ni maumivu.
Soko la ajira ni pagumu maana vyuo ni vingi sana na wahitimu nafasi chache.
Mshahara kwa clinical officer ukiajiriwa serikalini around laki 6.
Vinginevyo tuko kijiweni tunajitolea bure au wapende wakupe elf 10 za kushkia watu shift basi.
Kugumu sana.
Ukipata gpa chini ya 5 jiandae kuteseka kupata degree ya MD
Clinical Medicine Diploma (clinical officer) kwa sasa wanachukua 740k Basic..Kwakwelii clinical medicine ni maumivu.
Soko la ajira ni pagumu maana vyuo ni vingi sana na wahitimu nafasi chache.
Mshahara kwa clinical officer ukiajiriwa serikalini around laki 6.
Vinginevyo tuko kijiweni tunajitolea bure au wapende wakupe elf 10 za kushkia watu shift basi.
Kugumu sana.
Ukipata gpa chini ya 5 jiandae kuteseka kupata degree ya MD
Mzee kapige CO kama unajiweza vyuo vipo kibao vya kuunganisha ukitakaVp kuhusu cardiovascular technologist
Take home nafikiri wanapata 640k .Clinical Medicine Diploma (clinical officer) kwa sasa wanachukua 740k Basic..
Kuhusu Cardiva... kwa Tanzania ukisoma ukiridi ni sawa na bure kwa Sababu MCT bado hawaitambui hiyo course
Na MD anacheza kwenye 800k kama take home yale yale tu.Take home nafikiri wanapata 640k .
Pesa ndogo sana aiseee
Serikali bado sana kwa Kufanya maslahi ya watumishi wake Labda aje rais mwingineTake home nafikiri wanapata 640k .
Pesa ndogo sana aiseee
Hiyo waje wenye taaluma yao .Vp kuhusu cardiovascular technologist
After makato ni ngapi inabakiClinical Medicine Diploma (clinical officer) kwa sasa wanachukua 740k Basic..
Kuhusu Cardiva... kwa Tanzania ukisoma ukiridi ni sawa na bure kwa Sababu MCT bado hawaitambui hiyo course
Sijajua maybe mama kuna Co au anayejua anaweza kujibuAfter makato ni ngapi inabaki
Wakati unasubiri tumia google.Ngoja tusubiri kama kuna mtu anaielewa hii kozi vizuri atupe muongozo
Hii haipo tenaAssistant clinical officer naye mshahara wake kiasi gani