Anayejua shule ya sekondari inayomilikiwa na masisita Arusha

rude Boi

JF-Expert Member
Jul 28, 2021
326
604
Habari.
Nahitaji shule ya sekondari ya O level ya wasichana au mchanganyiko inayomilikiwa na masisita yenye malezi na mazingira mazuri tofauti na st.Monica na Precious blood. Kama mwanao anasoma hiyo shule itakuwa vizuri zaidi.
Asanteni.
 
Kuna shule inaitwa Little Sisters of St. Pio. Iko karibu na round about ya kwa Msola, upande wa kushoto kama unatoka mjini kwenda Njiro. Mtoto wa sista anakipiga hapo form two. Ila wako strict sana.
 
Kuna shule inaitwa Little Sisters of St. Pio. Iko karibu na round about ya kwa Msola, upande wa kushoto kama unatoka mjini kwenda Njiro. Mtoto wa sista anakipiga hapo form two. Ila wako strict sana.
Strictness yao ipo kwenye nini hasa ?
 
Back
Top Bottom