Duh basi tenaNimesoma St. Monica na amepakataa 🤣
Ilianza kama utani hii shule...!Nimesoma St. Monica na amepakataa 🤣
Umesima St monica nilikuwa na ❤ wangu huko kipindi hicho tukapotezanaNimesoma St. Monica na amepakataa 🤣
Plastic ni maeneo yapi Arusha?Nenda shule ya masista carmel ipo plastic
Utakuja kunishukuru
Hiyo naifahamu,nilitaka kujua nyingine.Nimesoma St. Monica na amepakataa
Strictness yao ipo kwenye nini hasa ?Kuna shule inaitwa Little Sisters of St. Pio. Iko karibu na round about ya kwa Msola, upande wa kushoto kama unatoka mjini kwenda Njiro. Mtoto wa sista anakipiga hapo form two. Ila wako strict sana.