A
Anonymous
Guest
Mimi ni mzazi na mhathirika wa haya yanayotokea, Shule ya Sekondari Longido iliyopo Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha, shule ina Wanafunzi wengi sana kupita kiwango.
Jumla ya Wanafunzi ni zaidi ya 2,000, idadi ambayo ni wengi kuliko idadi ya mabweni na madarasa yaliyopo.
Kwa kawaida darasa linatakiwa liwe na Wanafunzi 45 lakini kwa Longido imezidi.
Ni shule ya Kata lakini Wanafunzi wa Kata ya pale wamekuwa wakitafutiwa sababu za kufukuzwa shule kwa kigezo wanaotoka pale katani ni wakorofi.
Ofisi ya malezi inaongoza kunyanyasa Wanafunzi, kuwapiga na kuwatesa pamoja na kauli chafu wanazotolea Wazazi.
Pia miundombinu ya mabweni madarasa na hata dinning imechakaa sana.
Jumla ya Wanafunzi ni zaidi ya 2,000, idadi ambayo ni wengi kuliko idadi ya mabweni na madarasa yaliyopo.
Kwa kawaida darasa linatakiwa liwe na Wanafunzi 45 lakini kwa Longido imezidi.
Ni shule ya Kata lakini Wanafunzi wa Kata ya pale wamekuwa wakitafutiwa sababu za kufukuzwa shule kwa kigezo wanaotoka pale katani ni wakorofi.
Ofisi ya malezi inaongoza kunyanyasa Wanafunzi, kuwapiga na kuwatesa pamoja na kauli chafu wanazotolea Wazazi.
Pia miundombinu ya mabweni madarasa na hata dinning imechakaa sana.