A
Anonymous
Guest
Mimi ni mwanafunzi wa UDOM college of informatics and virtual education(CIVE).
Hali ya miundombinu ya college hii ni mibovu sana na hatarishi kwa afya hususani vyoo.
College ya CIVE ina jumla ya blocks 6, tatu katika hizo sita ni mbovu kupindukia. Block moja zima unaweza kukuta vyoo(matundu) viwili pekee ndio vinafanya kazi, hivyo vingine vimeziba na havifanyiwi matengenezo, na hata yakifanyika basi wanachokonoa kidogo tu lakini sio kurekebisha mfumo mzima wa maji taka.
Nimeambatanisha sehemu ya picha na video zinazoonesha vyoo vinavyotumika.
Tunawaomba mtupazie sauti kwa mamlaka husika ili kuwepo na uwajibikaji, na pia tuweze kuishi katika mazingira safi na salama.
Hali ya miundombinu ya college hii ni mibovu sana na hatarishi kwa afya hususani vyoo.
College ya CIVE ina jumla ya blocks 6, tatu katika hizo sita ni mbovu kupindukia. Block moja zima unaweza kukuta vyoo(matundu) viwili pekee ndio vinafanya kazi, hivyo vingine vimeziba na havifanyiwi matengenezo, na hata yakifanyika basi wanachokonoa kidogo tu lakini sio kurekebisha mfumo mzima wa maji taka.
Nimeambatanisha sehemu ya picha na video zinazoonesha vyoo vinavyotumika.
Tunawaomba mtupazie sauti kwa mamlaka husika ili kuwepo na uwajibikaji, na pia tuweze kuishi katika mazingira safi na salama.