Wale tuliosoma Makongo Secondary School tukutane hapa

dplus

Senior Member
Jun 14, 2016
159
126
Kwa wale tuliopitia Makongo kuanzia enzi zabkuvaa kaptura mpaka suruali tukutane hapa kama wahenga tukumbushane ya kihenga kuanzia makundi ya NO LIMIT SOLDIERS, FEHAJ SISTERS....

Bila ya kuwasahau maafande wetu Mzee Kipingu, Marehemu Mzee Yeyeye, Mzee Miraji, Babu Chacha na wengineo na kwa wale waliofariki Mwenyezi Mungu azilaze roho mahala pema pepon.

Kulikuwa na vitu kama NYAMBIZI, majuto garden na kwa wale wenzangu wa bweni hawatawasahau akina MASTER MAYEBE, MSONGOLE, MATAULA, SENKONDO, ANKO PETER na wengineo

Tiririkeni wahenga wenzangu
 
Kuna Mtoto wangu alikuwa anatafuna Bazoka ( Big G) alipomuona Askari aliekuwa anawasimamia akiitwa Afande Miraji aliamua kuitema, Yule Afande alimlazimisha aiokote aitie mdomoni then aimeze, Mtoto nae Kwa hofu akatekeleza amri ile ya Kikatili!

Aisee Asubuhi niliamkia Kwa Kanali Kipungu nae ndio wale wale akaona Ni sahihi ile adhabu

Nilimhamisha Shule

Watoto wengi waliishia kuvuta bhangi Au Kuwa Watoro Na wengine wakawa ma Nunda

Makongo ya Miaka ya Mwisho ya 1990 lilikuwa Genge la Wahuni Kama Jitegemee
 
Kwa wale tuliopitia Makongo kuanzia enzi zabkuvaa kaptura mpaka suruali tukutane hapa kama wahenga tukumbushane ya kihenga kuanzia makundi ya NO LIMIT SOLDIERS, FEHAJ SISTERS....

Bila ya kuwasahau maafande wetu Mzee Kipingu, Marehemu Mzee Yeyeye, Mzee Miraji, Babu Chacha na wengineo na kwa wale waliofariki Mwenyezi Mungu azilaze roho mahala pema pepon.

Kulikuwa na vitu kama NYAMBIZI, majuto garden na kwa wale wenzangu wa bweni hawatawasahau akina MASTER MAYEBE, MSONGOLE, MATAULA, SENKONDO, ANKO PETER na wengineo

Tiririkeni wahenga wenzangu
Major Mayebe....kuna siku huyu afande alikua ana watafuta watoro,kuna jamaa aka ruka senyenge huku nyuma karibu na nyambizi kwenda mbuyu wa kota,afande mayebe hakupata tabu alishika alama ya viatu vya jamaa aka muacha msela aliruka kavu ya mbele asikamatwe.kesho yake Mayebe alipita kila darasa shart wanaume wote kuinua miguu juu kutazama alama ya viatu hadi alimpata jamaa akampa elfu kumi na uongoz wa skauti alionesha ukakamavu
 
Kitambo sana.master mayebe alinifundisha maths 2001. Kipindi cha wagalatia. Sewaside nation. Palavida camp. Vitus. Rich rich. OG. Afande miraji alikua na usafiri wa baiskeli. Wakati huo naitwa mr cheeks nikiwa na mchizi wangu makaveli . Nikija shule naingilia ktk senyenge na kutoke ktk senyenge sipiti getini. Lebo nilikua nazo 2 kijani na njao mm ni kubandika kwa pin. I was stubborn man.
 
Kitambo sana.master mayebe alinifundisha maths 2001. Kipindi cha wagalatia. Sewaside nation. Palavida camp. Vitus. Rich rich. OG. Afande miraji alikua na usafiri wa baiskeli. Wakati huo naitwa mr cheeks nikiwa na mchizi wangu makaveli . Nikija shule naingilia ktk senyenge na kutoke ktk senyenge sipiti getini. Lebo nilikua nazo 2 kijani na njao mm ni kubandika kwa pin. I was stubborn man.


Unakuta tupo mbuyuni watu wanakula kaya. Yeyeye akisikia smell hasogei. Utasikia wewe wewe wewe baba ×1000
 
Daaaaah sio mchezo Makongo na vituko vyake akina Afande Kisarika, Kombaha...ilikuwa shule ya jeshi lakini wanafunzi wake walikuwa manunda kweli kweli
 
Kuna Mtoto wangu alikuwa anatafuna Bazoka ( Big G) alipomuona Askari aliekuwa anawasimamia akiitwa Afande Miraji aliamua kuitema, Yule Afande alimlazimisha aiokote aitie mdomoni then aimeze, Mtoto nae Kwa hofu akatekeleza amri ile ya Kikatili!

Aisee Asubuhi niliamkia Kwa Kanali Kipungu nae ndio wale wale akaona Ni sahihi ile adhabu

Nilimhamisha Shule

Watoto wengi waliishia kuvuta bhangi Au Kuwa Watoro Na wengine wakawa ma Nunda

Makongo ya Miaka ya Mwisho ya 1990 lilikuwa Genge la Wahuni Kama Jitegemee
Kuna ticha wa hisabati aliitwa Master jamaa kawahi kumpiga denti na mbao kichwani ni noma

Halafu ilikuwa ukivaa fulana kwa ndani badala ya singlet unavua shati hadharani na kuitoa kisha inachomwa moto !!!
 
Kuna ticha wa hisabati aliitwa Master jamaa kawahi kumpiga denti na mbao kichwani ni noma

Halafu ilikuwa ukivaa fulana kwa ndani badala ya singlet unavua shati hadharani na kuitoa kisha inachomwa moto !!!


Ukivaa flana ndani jamaa wanakuvua pasipo kuvua shati .wanaivuta. Hapo ndo utajua. Ukitoka hapo kola ya t shirt haifai inabidi ukaitupe.
 
Kitambo sana.master mayebe alinifundisha maths 2001. Kipindi cha wagalatia. Sewaside nation. Palavida camp. Vitus. Rich rich. OG. Afande miraji alikua na usafiri wa baiskeli. Wakati huo naitwa mr cheeks nikiwa na mchizi wangu makaveli . Nikija shule naingilia ktk senyenge na kutoke ktk senyenge sipiti getini. Lebo nilikua nazo 2 kijani na njao mm ni kubandika kwa pin. I was stubborn man.
Hapo kwenye lebo ilikuwaga noma
Lebo ya kijani iliitwa shifti one
Njano shift two
Mi nilikuwa na shati mbili lebo tofauti nikitaja kutoroka bavadili tu shati

Siku hizi bado kuna shift?
Wanatumia lebo moja tu ?
 
Back
Top Bottom