Wakuu tunaomba kujua kama madaraja ya mserereko mwezi March na April yatekelezwa kwa waliokidhi vigezo.May mosi ibakaribia!
Mtu kakaa kazini miaka 10 ila mpka sasa kapandishwa daraja moja tuWakuu tunaomba kujua kama madaraja ya mserereko mwezi March na April yatekelezwa kwa waliokidhi vigezo.May mosi ibakaribia!
Yamefikia hapo. Latest updatesWakuu tunaomba kujua kama madaraja ya mserereko mwezi March na April yatekelezwa kwa waliokidhi vigezo.May mosi ibakaribia!
Wapo karibia robo tatu ya watumishi wote ndio maana inakua ngumu na haitawezekana kwa bongo! Unless watu waache kuiba pesa za umma makusanyo yaongezeke.Walimu lilieni posho ndiyo kada pekee isiyo na posho Wala over time.Mbona wafanyakazi wengine wanapata nyie TU.
Unasema wapo robo tatu wakati waliobainika ni 54000?Wapo karibia robo tatu ya watumishi wote ndio maana inakua ngumu na haitawezekana kwa bongo! Unless watu waache kuiba pesa za umma makusanyo yaongezeke.
Hahahaha mkuu zimebaki siku 5 tu, tushuhudie hizi namba 54,000 au ni 2024?Unasema wapo robo tatu wakati waliobainika ni 54000?