Mchengerwa na Simbachawene, watumishi wenye changamoto za upandishwaji madaraja wanawasubiri kwa ahadi zenu

bahatibahati

Member
Jul 4, 2023
24
40
Nakumbuka mliongea kwenye vyombo vya habari kwamba WATUMISHI walokuwa na CHANGAMOTO za upandaji vyeo watapandishwa kwa mserereko ifakapo mwezi may 2024, kwakweli nimeongea na WATUMISHI wengi sana Wana MATARAMIO hayo.

Nawakumbusha MADARAJA ni haki MTUMISHI. Mliwaweka maafisa utumishi DODOMA kushughulikia suala Hilo, tafadhali toeni tamko.
 
Tatizo lako unachowaza ndo unataka kusikia.


Hakuna mserereko Wala mselekeko. Mchengerwa na simbachawene lazima wamuuluze mwigulu kama Kuna mpunga.


Hali ni Tete, kama ulipanda kabla ya June 2020 ndipo unastahili kupanda na ajira ya kwanza kabla ya June 2019 mikono juuuu. Wengine subirini increment
 
Back
Top Bottom