Nataka kusoma PhD: naombeni mawazo yenu

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
392
2,547
Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.

Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
 
Inaweza kua bora zaidi maana kuna kale kautafiti kalisema watanzania wanakabiliwa na tatizo la afya ya akili kwa kasi.
Ona watu wanavojiua au kuuwa wenzao. Hilo ni tatizo la afya ya akili.
Ona machawa walivokua wengi. Akili inakua imezorota
Asante kwa mawazo yako mkuu.
 
Inaweza kua bora zaidi maana kuna kale kautafiti kalisema watanzania wanakabiliwa na tatizo la afya ya akili kwa kasi.
Ona watu wanavojiua au kuuwa wenzao. Hilo ni tatizo la afya ya akili.
Ona machawa walivokua wengi. Akili inakua imezorota
Naunga mkono hoja.
Karibu kwenye mental health issues hutajutia.
 
Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.
Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
Unapanga kufanya research na hujui ufanye juu ya nini?
napanga kusoma PhD na unashindwa kupanga mwenyewe ufanye utafifiti gani?
 
Mkuu nilitegemea uguse kitu kuhusu mental health, nikisoma michango yako umu JF naona wewe ni muhanga wa mental health. Karibu kwa ushauri mkuu
Verily, you shall indeed epitomize the likeness of Magufuli. That guy purportedly held a Ph.D., yet his comprehension paralleled that of a secondary school student. Even the assertion of you, possessing a master's degree raises doubts. How does one endeavor to conduct research when lacking clarity on the methodology?
 
Verily, you shall indeed epitomize the likeness of Magufuli. That guy purportedly held a Ph.D., yet his comprehension paralleled that of a secondary school student. Even the assertion of you, possessing a master's degree raises doubts. How does one endeavor to conduct research when lacking clarity on the methodology?
Nashukuru kwa mchango wako mkuu.
 
Ingawa sijui lakini nimeona watanzania tuna shida ya akili kutokana na ugumu wa maisha,dawa za kulevya,n.k hivyo hiyo mental health itakufaa
 
Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.

Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
Unataka kugundua nini au ni kwaajili ya sifa tu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Fanya kilicho kwenye malengo yako usiulize watu maana nao wanamalengo yao kuwauliza ni kutaka waondoe malengo yako wakupandikize ya kwao
 
Back
Top Bottom