Nataka kusoma PhD: naombeni mawazo yenu

Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.

Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
Tafuta Hela achana na habari za shule
 
Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.

Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
Binafsi nakushauri kama unayo nafasi kusoma Phd, soma ungalipo na nguvu. Elimu yako ina advantage pande zote mbili, usome au usisome, unaweza kutoboa. unachotakiwa ni kumtafuta Mungu akusaidie njia tu.

why? ni kwasababu ukiwa na degree ya elimu, na ya pili public administration, omba Mungu akupe connections unaweza kupata hata uteuzi umanage watu wengine (public administration)ukawaongoza vizuri tu kwenye siasa huko. jiunge na chama..........,

kwa upande mwingine, ukisoma Phd hasa nje ya nchi (kwasababu ndani ya tz phd itakuchukua si chini ya miaka 7 kutokana na urasimu) nje ya nchi unaweza kupata kwa miaka 3 au 4. ukiwa nayo ni asset kubwa sana hata kuwa attached kwenye vyuo vikuu maisha yako yote hata kama umezeeka unatembelea mkongojo. Univiersities huwa zinakuwa ranked, pamoja na mambo mengine, na uwepo wa PHD holders na professors. hivyo ukiwa na phd wewe ni lulu kwa vyuo vikuu watakuattach tu ili kujenga cv ya chuo chao na wakati huohuo ukiwa na phd plus hiyo elimu yako uliyo nayo sasaivi ukatafuta channels kwa uwezo wa Mungu unaweza kuwa mwanasiasa mkubwa tu. ningekuwa mimi ningefanya hivyo. (binafsi ni mwanasheria na siwezifanya hivyo unafanya wewe kwasababu hadi natembelea mkongojo nitakuwa na uwezo wa kugonga hata mhuri wa mkataba tu nikapata pesa).
 
daah mkuu una hekima sana. Nimefurahi sana jinsi ulivyomjibu huyo tahira hapo juu. Hakika usomi si kingereza.
Mimi si mtaalamu ngoja waje kukupa muongozo
Karibu, unaweza sema chochote tunajifunza sote hapa kuna watu wanasoma wataondoka na kitu si mimi tu.
 
Binafsi nakushauri kama unayo nafasi kusoma Phd, soma ungalipo na nguvu. Elimu yako ina advantage pande zote mbili, usome au usisome, unaweza kutoboa. unachotakiwa ni kumtafuta Mungu akusaidie njia tu.

why? ni kwasababu ukiwa na degree ya elimu, na ya pili public administration, omba Mungu akupe connections unaweza kupata hata uteuzi umanage watu wengine (public administration)ukawaongoza vizuri tu kwenye siasa huko. jiunge na chama..........,

kwa upande mwingine, ukisoma Phd hasa nje ya nchi (kwasababu ndani ya tz phd itakuchukua si chini ya miaka 7 kutokana na urasimu) nje ya nchi unaweza kupata kwa miaka 3 au 4. ukiwa nayo ni asset kubwa sana hata kuwa attached kwenye vyuo vikuu maisha yako yote hata kama umezeeka unatembelea mkongojo. Univiersities huwa zinakuwa ranked, pamoja na mambo mengine, na uwepo wa PHD holders na professors. hivyo ukiwa na phd wewe ni lulu kwa vyuo vikuu watakuattach tu ili kujenga cv ya chuo chao na wakati huohuo ukiwa na phd plus hiyo elimu yako uliyo nayo sasaivi ukatafuta channels kwa uwezo wa Mungu unaweza kuwa mwanasiasa mkubwa tu. ningekuwa mimi ningefanya hivyo. (binafsi ni mwanasheria na siwezifanya hivyo unafanya wewe kwasababu hadi natembelea mkongojo nitakuwa na uwezo wa kugonga hata mhuri wa mkataba tu nikapata pesa).
Nimeuchukua ushauri wako kiongozi. Nashukuru sana.
 
Wasalaam!

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye elimu ya degree mbili, bachelor of education na masters of public administration.

Ila maisha yangu yote nimefanya kazi kwenye sekta ya elimu nilianza kama ticha baadae nikaamia kwenye development projects za education.

Kwa sasa nipo free, nimepata wazo na mzuka wa kusoma PhD.

Naomba mawazo yenu, kwanza nini nizingatie kwenye selection ya topic ili nipate fund ya kusoma haswa kusoma nje ya nchi Europe au America?

Issue gani inahitaji sana utafiti kwa hapa Tanzania kwenye eneo la elimu ambalo ni rahisi kuwashawishi watoa fund waone umuhimu wa kunipa nafasi kwenye vyuo vyao na kutoa fund?

Maeneo ambayo nimeyawaza ni Home studying: how parental institutions like SC/ PTAs can support home studying.

ICT: use of ICT in teaching and learning of science subjects: biology subject

Mental health: contemplative practices in schools

Distance learning: improving distance learning experiences haswa kwa makundi kama prisoners

Naomba maoni yenu nifanye hiyo PhD nianze omba mwaka huu.

Haswa kwenye topic yenye kuchukua attention na kukubalika mwenye wazo.
Wewe yaonyesha utachukua muda mwingi sana kukamilisha PhD tena nimeona watu wengi wanakupoteza zaidi, kifupi wote mnapotezana. Kabla ya kufikiria kusoma PhD fikikia genuine problem you plan to figure out/fix ( the gap u plan to fill.
 
Wewe yaonyesha utachukua muda mwingi sana kukamilisha PhD tena nimeona watu wengi wanakupoteza zaidi, kifupi wote mnapotezana. Kabla ya kufikiria kusoma PhD fikikia genuine problem you plan to figure out/fix ( the gap u plan to fill.
Kwa nini unasema watu wananipoteza mkuu?
 
Back
Top Bottom