Niulize kuhusu fursa ya masomo Sweden

Heaven Seeker

JF-Expert Member
May 12, 2017
478
1,050
Wakuu, imekuwa ni adimu sana kuona Wabongo tukishikana mikono ili kuvuka hatua moja kwenda nyingine yenye mafanikio. Tumezoea kupambana wenyewe na wengi wetu huwa hatupo wazi inapokuja suala la kumueleza mtu mwingine juu ya fursa fulani, tunapenda kuwa wabinafsi na wachoyo.

Kauli hii nimeithibitisha baada ya kutembelea nchi za wenzetu walioendelea (Ulaya) na kuona namna ambavyo Waafrika kutoka magharibi wanavyochangamkia fursa za hapa na pale na namna wanavyoshikana mikono ili kuvuka mahala.

Ni kwa mantiki hiyo basi, ili kuvunja kasumba ya ubinafsi wetu Wabongo, nipo hapa kujibu maswali juu ya fursa ya kimasomo unayoweza kuipata Sweden kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili (Masters Scholarship).

Sio masuala ya kuja inbox, wewe uliza hapa hapa public nitakujibu. Sihitaji mtu kuja kunifuata inbox.

Karibuni.
 
Nataka kujua kama zipo scholarships za PhD

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina uzoefu kuhusu Scholarship za Masters. Sina uzoefu mkubwa wa PhD Scholarship, hata hivyo, naweza kuelezea kidogo nachofahamu. PhD kwa Sweden ukipata fursa ya Scholarship unakuwa regarded kama mwajiriwa.

Yaani unapewa ajira ya muda mfupi kwa kufanya researches na wakati mwingine unaweza kuhusika kufundisha hapa na pale. Unlipwa kabisa mashara kama mwajiriwa mwingine kulingana na matakwa.

Zipo na unaweza kupata. Nimeona baadhi ya wanafunzi wa PhD wakiendelea na masomo yao katika chuo kimojawapo. Kwa maelezo zaidi, tembelea link hii>>>> PhD programmes in Sweden
 
labda unge fafanua hivi kupata scholarship ambayo iko fully funded ni taasisi zipi zina toa ama nianzie wapi kuweza kufuatilia je kuna links zozote una weza share?


Sent using Jamii Forums mobile app
Taasisi inayotoa full funded Scholarship ya Masters kwa Sweden kwa nchi yetu inaitwa Swedish Institute Scholarships for Global Professionals (SISGP). Kwa kuanzia inatakiwa ufanye application kupata admission katika moja au vyuo husika unavyohitaji kusoma.

Dirisha la kufanya application kwa ajili ya admission hutolewa kuanzia kipindi cha mwezi kama October hivi na kukamilika Januari. Hivyo, kwa mwaka huu wa masomo utakuwa umechelewa, ukihitaji basi itakuwa kwa ajili ya mwaka ujao wa masomo. Baada ya hapo, kaunzia Januari mpaka februari huwa ni kipindi cha application kwa ajili ya Scholarship.

Link kwa jaili ya apllication ya admission ni hii hapa..>>>>Apply to Swedish universities, courses, and programmes: University Admissions in Sweden – Universityadmissions.se
Na link kwa ajili ya application ya Scholarship ni hii hapa..>>>>Swedish Institute Scholarships for Global Professionals | Swedish Institute
 
Mim naomba kuuliza kijana mwenye gpa 3.2 bsc.agricultural engineering anaweza pata chuo huko...??na vip kuhusu masters vigezo gani muhimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo anaweza kupata. Mkuu, ingawa ufaulu wa kwenye vyeti ni miongoni mwa kigezo muhimu katika mifumo ya elimu Duniani, ila wenzetu hawaaangalii sana ufaulu wa kwenye makaratasi, wanajali zaidi uwezo wa mtu husika. Kwa maelezo zaidi ni vigezo vipi haswa, fuatilia link hapo juu niliyoweka.
 
Masomo yapi yamepewa kipaumbele zaidi katika utoaji wa scholarships??

Ni karibia kila fani mkuu. Iwe udaktari, Ualimu, Natural science, Uandishi wa habari, na course nyingine. Almost naona wanatoa kwa kila fani. Labda wabadili utaratibu kuanzia mwakani. Ila mpaka mwaka huu fursa ni kwa kila mtu. Hii ni tafsiri mojawapo ya ya maana halisi ya nchi zilizoendelea. Nchi zilizoendelea uwanja unakuwa sawa.

Scholarships zinazotolewa Ni fully funded au partially scholarships!?

Full funded scholarship.

Ni hatua gani zinatumika kuomba!?
Nakuomba ufatilie maelezo ya majibu hapo juu katika mojawapo ya post. Uzuri uzi huu bado mfupi kabisa unaweza kufatilia karibia posts zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Wakuu, imekuwa ni adimu sana kuona Wabongo tukishikana mikono ili kuvuka hatua moja kwenda nyingine yenye mafanikio. Tumezoea kupambana wenyewe na wengi wetu huwa hatupo wazi inapokuja suala la kumueleza mtu mwingine juu ya fursa fulani, tunapenda kuwa wabinafsi na wachoyo.

Kauli hii nimeithibitisha baada ya kutembelea nchi za wenzetu walioendelea (Ulaya) na kuona namna ambavyo Waafrika kutoka magharibi wanavyochangamkia fursa za hapa na pale na namna wanavyoshikana mikono ili kuvuka mahala.

Ni kwa mantiki hiyo basi, ili kuvunja kasumba ya ubinafsi wetu Wabongo, nipo hapa kujibu maswali juu ya fursa ya kimasomo unayoweza kuipata Sweden kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili (Masters Scholarship).

Sio masuala ya kuja inbox, wewe uliza hapa hapa public nitakujibu. Inbox labda kama kuna suala nyeti sana la binafsi.

Karibuni.
HATOPIGWA MTU KWELI HAPA??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HATOPIGWA MTU KWELI HAPA??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hulka ya mwanadamu kuwa na tahadhari kwa kila jambo, hasa katika Dunia hii iliyojawa na kila aina ya uovu. Na hii inatoa picha na kudhihirisha wazi kuwa jamii yetu uovu ni mwingi kuliko mambo mema. Uovu umewajaza fikra Wanadamu kuliko wema. Mkuu, sihusiki wana sina haja ya kutapeli. Ndio maana nimeelezea hapo kwenye bandiko kwamba sihitaji mtu kuja inbox, uliza hapahapa na utajibiwa hapa hapa. Usiniulize nanufaikaje, waulize JF founders walioanzisha Platform hii.
 
Ni karibia kila fani mkuu. Iwe udaktari, Ualimu, Natural science, Uandishi wa habari, na course nyingine. Almost naona wanatoa kwa kila fani. Labda wabadili utaratibu kuanzia mwakani. Ila mpaka mwaka huu fursa ni kwa kila mtu. Hii ni tafsiri mojawapo ya ya maana halisi ya nchi zilizoendelea. Nchi zilizoendelea uwanja unakuwa sawa.



Full funded scholarship.


Nakuomba ufatilie maelezo ya majibu hapo juu katika mojawapo ya post. Uzuri uzi huu bado mfupi kabisa unaweza kufatilia karibia posts zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]Akhsante Sana .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni karibia kila fani mkuu. Iwe udaktari, Ualimu, Natural science, Uandishi wa habari, na course nyingine. Almost naona wanatoa kwa kila fani. Labda wabadili utaratibu kuanzia mwakani. Ila mpaka mwaka huu fursa ni kwa kila mtu. Hii ni tafsiri mojawapo ya ya maana halisi ya nchi zilizoendelea. Nchi zilizoendelea uwanja unakuwa sawa.



Full funded scholarship.


Nakuomba ufatilie maelezo ya majibu hapo juu katika mojawapo ya post. Uzuri uzi huu bado mfupi kabisa unaweza kufatilia karibia posts zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]Interested story Mr,
Namimi natamani Mr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hulka ya mwanadamu kuwa na tahadhari kwa kila jambo, hasa katika Dunia hii iliyojawa na kila aina ya uovu. Na hii inatoa picha na kudhihirisha wazi kuwa jamii yetu uovu ni mwingi kuliko mambo mema. Uovu umewajaza fikra Wanadamu kuliko wema. Mkuu, sihusiki wana sina haja ya kutapeli. Ndio maana nimeelezea hapo kwenye bandiko kwamba sihitaji mtu kuja inbox, uliza hapahapa na utajibiwa hapa hapa.
Nakupongeza sana ,
Watanzania tumekuwa watu wakubaniana fursa ni ukweli usiopingia asilimia kubwa ya Watanzania hawapo tayari kuwashika mkono wenzao .
Mtu yupo radhi fursa impite kuliko kumuunganishia mwingine.
Naweza sema imekuwa sababu ya umaskini wetu.
Wenzetu waarabu, wachina na hata wanaigeria wanasupport kubwa kwa jamii yao.
Hii imesababisha hata mtu akitoa fursa anaonekeana mpigaji.

Anyway makofi kidogo kwa mtoa mada.
Kama upo mbele chukua pepsi barid ulipe mwenyewe .jokes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom