Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 1,131
- 2,701
Hello great thinkers,
Mwaka 2021 nilikua nafanya mtihani wangu wa mwisho wa diploma ya pharmacy lakini sikuweza kumalizia mitihani yangu ya mwisho miwili iliyokua inafanyika kesho yake kwasababu nilipata ajali iliyonipelekea kukaa kwa mwaka nikitibiwa.
Mistake niliyofanya sikuandika barua ya kupostpone mwaka huo, mwaka huu nikataka nikamalizie mitihani yangu hiyo miwili lakini nipo mkoani chuo kipo dar ikanibidi nianze kufanya communication na chuoni but sioni ushirikiano mzuri wananiambia wanafatilia, ikanibidi niende nacte ya huku mkoani kufatilia wakaniangalia kwenye system wakakuta nimeandikiwa "postponed" wakaniambia niende chuoni ili chuo kiandike barua iende nacte ili niweze kuruhusiwa nifanye mitihani yangu iliyobaki mwezi wa nane.
Dhumuni la kuanzisha uzi huu majibu ya NACTE huku kanda ya ziwa sijaridhika nayo niliwaza niende NACTE Dodoma mwenyewe labda issue inaweza kuishia dodoma mimi nikaenda chuo kufanya mtihani tuu. Kwa wenye uelewa na utaratibu wa NACTE na vyuo vya afya naombeni ushauri, wale wakutukana ka kukebehi ruksa pia am ready, by the way mwandiko wangu m'baya mtanisamehe.
Mwaka 2021 nilikua nafanya mtihani wangu wa mwisho wa diploma ya pharmacy lakini sikuweza kumalizia mitihani yangu ya mwisho miwili iliyokua inafanyika kesho yake kwasababu nilipata ajali iliyonipelekea kukaa kwa mwaka nikitibiwa.
Mistake niliyofanya sikuandika barua ya kupostpone mwaka huo, mwaka huu nikataka nikamalizie mitihani yangu hiyo miwili lakini nipo mkoani chuo kipo dar ikanibidi nianze kufanya communication na chuoni but sioni ushirikiano mzuri wananiambia wanafatilia, ikanibidi niende nacte ya huku mkoani kufatilia wakaniangalia kwenye system wakakuta nimeandikiwa "postponed" wakaniambia niende chuoni ili chuo kiandike barua iende nacte ili niweze kuruhusiwa nifanye mitihani yangu iliyobaki mwezi wa nane.
Dhumuni la kuanzisha uzi huu majibu ya NACTE huku kanda ya ziwa sijaridhika nayo niliwaza niende NACTE Dodoma mwenyewe labda issue inaweza kuishia dodoma mimi nikaenda chuo kufanya mtihani tuu. Kwa wenye uelewa na utaratibu wa NACTE na vyuo vya afya naombeni ushauri, wale wakutukana ka kukebehi ruksa pia am ready, by the way mwandiko wangu m'baya mtanisamehe.