Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.3K
Threads
7.5K
Posts
210.3K

JF Prefixes:

  • Sticky
Wengi wetu humu tunalea ama watoto wetu ama watoto wa ndugu jamaa na marafiki. Tumekuwa na mada maalum nyingi za mambo tofauti kama urembo magari simu n.k. lakini hatujawahi kuwa na mada hii...
148 Reactions
1K Replies
278K Views
  • Sticky
Salaam sana Wakuu Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi...
97 Reactions
1K Replies
836K Views
Kumekuwa na kesi nyingi za akinamama na wanawake kwa ujumla za kuumwa mara kwa mara UTI na magonjwa mengine ya zinaa na kibaya zaidi magonjwa hayo kujirudia hata baada ya kupata matibabu. Nipo...
2 Reactions
12 Replies
288 Views
Maana ya Ndoa Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa. Aina za ndoa kwa mujibu wa...
41 Reactions
3K Replies
128K Views
Guys ninaomba ushauri, Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi. Wakati huo yeye alikuwa na kazi...
9 Reactions
62 Replies
1K Views
MITHALI 18:22 Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA. WAEFESO 5:31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa...
11 Reactions
75 Replies
1K Views
Siku hizi hakuna kupoteza muda unatongoza saa 12 jion saa 2 usiku unapiga au hutongozi kabisa unashika tu kiufupi wamekuwa Maharage ya mbeya..
4 Reactions
7 Replies
98 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
148 Reactions
12K Replies
4M Views
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi. Leo marafiki zake wakaribu...
28 Reactions
198 Replies
3K Views
katika harakati zangu za kisiasa, kura za maoni kivyama huko Jimboni, mara hiyo tupo mjini na, ni wakati wa kulala huko guest house. Sasa miongoni mwa wakuu wa msafara alikuepo mtu mzima, lakini...
11 Reactions
83 Replies
2K Views
Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
63 Reactions
6K Replies
737K Views
TOFAUTI KATI YA UHUSIANO NA MAHUSIANO Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA CHALINENEE Kuna changamoto kubwa binadamu anaipata nanapojikuta katika uhusiano badala kuwa na mahusiano, kwa tafsiri...
0 Reactions
2 Replies
74 Views
Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna...
69 Reactions
263 Replies
13K Views
Tumugoje tumuleshe? Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?" Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke...
27 Reactions
222 Replies
8K Views
Wakuu mko poa lakini, Turuke moja kwa moja kwenye mada Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida. Taratibu tukaanza...
6 Reactions
39 Replies
997 Views
Habari wakuu, Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo. Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha...
17 Reactions
97 Replies
6K Views
Habarini za leo, poleni na majukumu. Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa...
0 Reactions
90 Replies
9K Views
wakuu wasaalamu. Kama kichwa cha Habari kinavyosema. Nimeona wanaume wengi sana wenye wake zaidi ya mmoja, Lakini kitu kinachonishangaza Hawa wanaume utakuta Mke mkubwa anaishi wilaya hii mwingine...
8 Reactions
109 Replies
2K Views
Wana jukwaa wa MMU habarini? Huwa sio siri kitaa nachokijua mimi kina watoto wakike fulani katika ukuaji wao mpaka sasa huwa baadhi yao ni ngumu kuja kuishi na wenza makini kwa maana ya wao...
4 Reactions
15 Replies
487 Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mwenzatu mwanadada yamemkutaaa. Mama wa watoto 2 wa utotoni, 27 years 2 kids. Mumewe...
13 Reactions
107 Replies
10K Views
Huu ni ujumbe wangu kwenu wana-MMU wenzangu. Kuna baadhi ya level huwezi kufika kuna mafanikio huwezi kuyafikia,kuna hela huwezi kuzipata kama umezungukwa na watu basic. Kuanzia asubuhi mpaka...
13 Reactions
32 Replies
3K Views
MWANAMKE ZAKE SIFA. Kipindi wamtokea, ulimsifia kwanza. Ndipo kakukubalia, leo ndio wake mwenza. Upendo unafifia, kusifu ukipunguza. Mwanamke yake sifa, usiache kusifia. Sio mali kutumia, eti...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom