Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 990
Huu ni ujumbe wangu kwenu wana-MMU wenzangu.
Kuna baadhi ya level huwezi kufika kuna mafanikio huwezi kuyafikia,kuna hela huwezi kuzipata kama umezungukwa na watu basic.
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea watu tu, fulani kamegwa na yule, halafu yule naniliu saivi anatembea na yule mpenzi wako wa zamani wa nanii, asubuhi mpaka jioni discuss people.Hawa ndio watu basic hata siku moja hawatakupa ushauri kuhusu how to reseach somewhere never.
Na ukionekana unaanza kufanya vitu epic watakugeuka kwamba unaringa,unajisikia,umewatenga,unajidai una hela.and lots of bullshit.Pengine ulipaswa kuwa mbaaalii kibiashara lakini huwezi cause umezungukwa ni mbaazi tupu, Basic people ukiwaambia umesikia kiwanja kinauzwa Kigamboni wanakwambia "Kigamboni watu wanatapeliwa kuna mradi wa Joji bushi"
Ukiwambia unataka kujiunga Trevo wanakwambia "unaliwa hela" Ukiwaambia kuna SACCOSS wanatoa mikopo unataka uchukue ujenge wanakwambia "Interest zake utashindwa na kujenga sio mchezo shosti".Unaamini unaacha. Nataka kufanya Kitu flani wanakukatisha tamaa.
Unahitaji kuzungukwa na watu wenye positivly energy ambao ukiwambia unataka kwenda Mbinguni kwa kupitia Mkuranga wanakuchangia nauli.Niliposema na mpango wa kuacha kazi watu ohh utakula nini utaishije,mji mgumu huu.
Wenzio wanatafuta kazi we unaacha utalosti who said, nitadunda kama kawaida gari inatembea kama kawa na business zinaenda kama kawa,negative people you down. Ukitaka kupaa kaa karibu na ndege wewe unataka kupaa unakuwa rafiki wa nyangumi unazamishwa sasahivi
Tangu nianze kukaa na watu Positive I have changed a lot.Nikiwaza jambo wanauliza how do we archieve this na sio fulani aliwafanyia hivi akafeli. Kill all negative people around you kama unataka malengo makubwa,Iwill be your lawyer on the court na mwambie Hakimu nilikutuma mimi.Time to delete all negative people basic people.
Ikikusaidia chukua hatua.
Kuna baadhi ya level huwezi kufika kuna mafanikio huwezi kuyafikia,kuna hela huwezi kuzipata kama umezungukwa na watu basic.
Kuanzia asubuhi mpaka jioni wanaongelea watu tu, fulani kamegwa na yule, halafu yule naniliu saivi anatembea na yule mpenzi wako wa zamani wa nanii, asubuhi mpaka jioni discuss people.Hawa ndio watu basic hata siku moja hawatakupa ushauri kuhusu how to reseach somewhere never.
Na ukionekana unaanza kufanya vitu epic watakugeuka kwamba unaringa,unajisikia,umewatenga,unajidai una hela.and lots of bullshit.Pengine ulipaswa kuwa mbaaalii kibiashara lakini huwezi cause umezungukwa ni mbaazi tupu, Basic people ukiwaambia umesikia kiwanja kinauzwa Kigamboni wanakwambia "Kigamboni watu wanatapeliwa kuna mradi wa Joji bushi"
Ukiwambia unataka kujiunga Trevo wanakwambia "unaliwa hela" Ukiwaambia kuna SACCOSS wanatoa mikopo unataka uchukue ujenge wanakwambia "Interest zake utashindwa na kujenga sio mchezo shosti".Unaamini unaacha. Nataka kufanya Kitu flani wanakukatisha tamaa.
Unahitaji kuzungukwa na watu wenye positivly energy ambao ukiwambia unataka kwenda Mbinguni kwa kupitia Mkuranga wanakuchangia nauli.Niliposema na mpango wa kuacha kazi watu ohh utakula nini utaishije,mji mgumu huu.
Wenzio wanatafuta kazi we unaacha utalosti who said, nitadunda kama kawaida gari inatembea kama kawa na business zinaenda kama kawa,negative people you down. Ukitaka kupaa kaa karibu na ndege wewe unataka kupaa unakuwa rafiki wa nyangumi unazamishwa sasahivi
Tangu nianze kukaa na watu Positive I have changed a lot.Nikiwaza jambo wanauliza how do we archieve this na sio fulani aliwafanyia hivi akafeli. Kill all negative people around you kama unataka malengo makubwa,Iwill be your lawyer on the court na mwambie Hakimu nilikutuma mimi.Time to delete all negative people basic people.
Ikikusaidia chukua hatua.