kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,027
- 3,465
Wakuu mko poa lakini,
Turuke moja kwa moja kwenye mada
Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida.
Taratibu tukaanza kuzoeana na story za hapa na pale nikajikuta nmeanza kumwelewa na nafikiri alilitambua hilo,
Kiuhalisia nilitamani kumuoa hapo baadae, so kama mwanaume nikajikuta natia verse lakini manzi aliweka ngumu, hakuishia hapo aliongeza na lingine ya kuwa ana mahusiano tayari kwahiyo akapendekeza tubaki tu kama marafiki.
Baada ya hiyo kauli sikuwaza sana kwasababu siku zote naamini hakuna mwanamke ambaye yupo single na ukizingatia pia nimeishi maisha ya u-playboi hapo awali.
So mimi nilijifanya sikuelewa chochote nikaendeleza tu caring na attention juu yake, tukama hiyo level na kufikia hatua ya ku-kiss na kukumbatiana na kugusa baadhi ya sehemu za mwili wake bila was was.
Getho ameshawahi kuibuka mara mbili ila hatukuwah kufanya chochote, nilifanya hivyo kama njia ya kuonyesha uaminifu.
Sasa juzi kati hivi nimejaribu tena kumkumbushia majibu yamekuja yale yale bas tukabadili story na utani utani mwingne ukaendelea.
Sasa wakuu huyu manzi nataka nichape tuu halafu nipite kushoto, nipeni mbinu nimshawishi vp tena aje geto nimalize mchezo, maana awamu ya kwanza tulipiga tu story,awamu ya pili aligoma kabsa kutoa chupi,alichukua na mm nikauchuna lakn badae alinianza mwenyew.
kum-kiss na kumshika shika anakubali fresh tu wala hana noma,mziki umebaki kumshawish aje geto maana amekuw mtu wa staki nataka ,ila tikikutana mambo tunayoyafanya unaweza hisi tunamahaba Moto moto.
karibu mabaharia wenzangu.
Turuke moja kwa moja kwenye mada
Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida.
Taratibu tukaanza kuzoeana na story za hapa na pale nikajikuta nmeanza kumwelewa na nafikiri alilitambua hilo,
Kiuhalisia nilitamani kumuoa hapo baadae, so kama mwanaume nikajikuta natia verse lakini manzi aliweka ngumu, hakuishia hapo aliongeza na lingine ya kuwa ana mahusiano tayari kwahiyo akapendekeza tubaki tu kama marafiki.
Baada ya hiyo kauli sikuwaza sana kwasababu siku zote naamini hakuna mwanamke ambaye yupo single na ukizingatia pia nimeishi maisha ya u-playboi hapo awali.
So mimi nilijifanya sikuelewa chochote nikaendeleza tu caring na attention juu yake, tukama hiyo level na kufikia hatua ya ku-kiss na kukumbatiana na kugusa baadhi ya sehemu za mwili wake bila was was.
Getho ameshawahi kuibuka mara mbili ila hatukuwah kufanya chochote, nilifanya hivyo kama njia ya kuonyesha uaminifu.
Sasa juzi kati hivi nimejaribu tena kumkumbushia majibu yamekuja yale yale bas tukabadili story na utani utani mwingne ukaendelea.
Sasa wakuu huyu manzi nataka nichape tuu halafu nipite kushoto, nipeni mbinu nimshawishi vp tena aje geto nimalize mchezo, maana awamu ya kwanza tulipiga tu story,awamu ya pili aligoma kabsa kutoa chupi,alichukua na mm nikauchuna lakn badae alinianza mwenyew.
kum-kiss na kumshika shika anakubali fresh tu wala hana noma,mziki umebaki kumshawish aje geto maana amekuw mtu wa staki nataka ,ila tikikutana mambo tunayoyafanya unaweza hisi tunamahaba Moto moto.
karibu mabaharia wenzangu.