Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) (1 Position(s))
Job Location:
Head Office, Hq
Job Purpose:
Responsible for wholesale and Business Banking portfolio in safeguarding compliance in lending practice and assist to limit credit risk exposure within acceptable parameters...
Wakuu,
Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA?
Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance)
NAkaribisha ushauri wowote kuhusu hii kozi na chuo.
Heshima sana wanajamvi,
Bank ya NMB ilifungua tawi (Branch) kwaajili ya wafanyabiashara (makampuni).
Jambo la kusikitisha siku hizo walimu,vibarua washona viatu,wauza ushanga,wauza mbege . ... wamejazana katika tawi hili ambalo lilikusudiwa kutoa huduma kwa makampuni.
Foleni zimekuwa kero...
Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections
chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba
Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake
hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k...
Wakuu habari za muda huu, nina rafiki yangu ametumiwa email kichwa cha habari kina eleza kwamba INTERVIEW INVITATION - SYSPRO BUSINESS SUPPORT.
Sasa haelewi hiyo SYSPRO BUSINESS SUPPORT ni nini.
Maana amekuwa akituma application za kazi sehemu nyingi tofauti tofauti sasa hakumbuki kama aliwahi...
Job Title: Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Director
Application Deadline: Apr 30,2024 Position
Type: Full-time
Position Category:b Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Salary: Commensurate with experience
Starting Date: Oct 1,2024
JOB SUMMARY...
Position Tittle : Business Development Officer
Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of...
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo...
Position: Finance Business Partner
The successful candidate will be responsible for partnering with the relevant function to understand, interpret and translate the function’s strategies in terms of financial cost drivers and value opportunities. The role is also accountable for producing...
Habari za wakti huu?
Hizi ni baadhi ya biashara ambazo unaweza kuanzisha na kuzifanya kwa njia Mtandao.
Duka la Mtandaoni (E-commerce): Hii inahusisha kuuza bidhaa mtandaoni. Unaweza kuunda bidhaa zako au kuzipata kutoka kwa wauzaji na kuziuza kupitia majukwaa yako.
Dropshipping: Hii ni aina ya...
Sina namna nzuri ya kuelezea lakini kwa kingereza ni SEXUAL TRANSMUTATION kitu kama hicho.
Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee!
Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo!
Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande...
Position: Business Development Manager
Company: Transsnet Music Tanzania limited (Boomplay)
Location: Dar Es Salaam Tanzania
Job Responsibilities
A. Understanding Client Needs:
• Conduct thorough research to understand the client’s business, industry, and digital marketing needs.
• Identify key...
Wakuu Namba yangu imefungiwa kutumia WhatsApp business.
Kuna taarifa nyingi za muhimu sana nazihitaji kutoka kule WhatsApp Business.
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya ili namba yangu iweze kuruhusiwa kutumia tena WhatsApp Business.
Ahsanteni
Habari za wakati huu;
Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na juhudi zenu za ujenzi wa taifa.
Leo ninawaletea mjadala kuhusu model ya biashara inayoitwa Destination Marketing Services(DMS).Kampuni zinazofanya shughuli hizi huitwa pia kama Destination Marketing Corporation(DMC)...
Bryte Sky Links is a well-established and trusted business that prides itself on providing a wide range of essential services to meet the diverse needs of our valued clients. With a commitment to excellence and customer satisfaction, we have become a one-stop destination for a variety of...
Hua nafanya online business hasa ya electronics kama simu, computer,na laptops
before nilikua nafanyia mwanza nikahamia mbeya tangu January
Biashara mwanza ilikua ngumuh Sana wateja pasua kichwa
mwanza Ina watu wengi na Kundi kubwa la watu wanakaushamba Flani Ivi
laiti mwanza ingetambua...
Position: Business Adviser
Location: Tanzania
Salary: Not Specified
Contract Type: Not Specified
Contract Length: Not Specified
Full Time: Not Specified
Interview Date: As soon as possible
Start Date: March 2024
Download Job Description
File Size: 330.76 KBs, File Type: pdf
Role Overview...
Binafsi ni mfanyabiashara ninaetafuta msaidizi tutakaesaidia a hii biashara ninayoifanya.
Ni biashara Ndogo lakini inafanywa kwa ukubwa hivyo inahitaji Mtaji lakini zaidi usimamizi wa Jicho kwa Jicho.
Partner ninae mtaka tutashirikiana katika Biashara.
Faida Tutagawana Half Half
Usimamizi wa...
Mimi kijana wa miaka 35. Natafuta kazi, short term au long term. Nina elimu ya chuo kikuu na experience kwenye sales, marketing na project management. Kwa Sasa Sina kazi lakini niko tayari kufanya kazi yeyote nitakayoiweza. Niko flexible sana na open minded
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.