business

  1. Jamii Opportunities

    Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) at NMB Bank

    Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) (1 Position(s)) Job Location: Head Office, Hq Job Purpose: Responsible for wholesale and Business Banking portfolio in safeguarding compliance in lending practice and assist to limit credit risk exposure within acceptable parameters...
  2. Mr Confidential

    Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA?

    Wakuu, Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA? Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance) NAkaribisha ushauri wowote kuhusu hii kozi na chuo.
  3. Ngongo

    NMB - Arusha Business Centre na huduma za hovyo

    Heshima sana wanajamvi, Bank ya NMB ilifungua tawi (Branch) kwaajili ya wafanyabiashara (makampuni). Jambo la kusikitisha siku hizo walimu,vibarua washona viatu,wauza ushanga,wauza mbege . ... wamejazana katika tawi hili ambalo lilikusudiwa kutoa huduma kwa makampuni. Foleni zimekuwa kero...
  4. G

    Hata uwe na masters ya masoko au business ni ngumu kumfikia darasa la nne mwenye ndugu wafanyabiashara wa kumpa uzoefu na connections

    Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k...
  5. kingkaka_12

    Nifanye biashara gani kwa mtaji wa 1 million Dar

    Habari Ndugu wa Jf, Natumaini wazima nilikuwa naomba ushauri wa bizness nina 1millon naweza fanya biashara gani Dar es Salaam
  6. Tafakari_nami

    Interview invitation - Syspro business support

    Wakuu habari za muda huu, nina rafiki yangu ametumiwa email kichwa cha habari kina eleza kwamba INTERVIEW INVITATION - SYSPRO BUSINESS SUPPORT. Sasa haelewi hiyo SYSPRO BUSINESS SUPPORT ni nini. Maana amekuwa akituma application za kazi sehemu nyingi tofauti tofauti sasa hakumbuki kama aliwahi...
  7. Jamii Opportunities

    Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Director at JSI April, 2024

    Job Title: Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Director Application Deadline: Apr 30,2024 Position Type: Full-time Position Category:b Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire Location: Dar es Salaam, Tanzania Salary: Commensurate with experience Starting Date: Oct 1,2024 JOB SUMMARY...
  8. Jamii Opportunities

    Business Development Officer at Lumac Limited April, 2024

    Position Tittle : Business Development Officer Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of...
  9. Chachu Ombara

    Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

    Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati. Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo...
  10. Jamii Opportunities

    Finance Business Partner at Kilombero Sugar March, 2024

    Position: Finance Business Partner The successful candidate will be responsible for partnering with the relevant function to understand, interpret and translate the function’s strategies in terms of financial cost drivers and value opportunities. The role is also accountable for producing...
  11. tzhosts

    Miliki Online Business kwa Gharama Nafuu

    Habari za wakti huu? Hizi ni baadhi ya biashara ambazo unaweza kuanzisha na kuzifanya kwa njia Mtandao. Duka la Mtandaoni (E-commerce): Hii inahusisha kuuza bidhaa mtandaoni. Unaweza kuunda bidhaa zako au kuzipata kutoka kwa wauzaji na kuziuza kupitia majukwaa yako. Dropshipping: Hii ni aina ya...
  12. Staphylococcus Aureus

    Nahamishaje sexual energy kwenda kuwa mafanikio au business delevopment energy?

    Sina namna nzuri ya kuelezea lakini kwa kingereza ni SEXUAL TRANSMUTATION kitu kama hicho. Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee! Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo! Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande...
  13. Jamii Opportunities

    Business Development Manager at Boomplay March, 2024

    Position: Business Development Manager Company: Transsnet Music Tanzania limited (Boomplay) Location: Dar Es Salaam Tanzania Job Responsibilities A. Understanding Client Needs: • Conduct thorough research to understand the client’s business, industry, and digital marketing needs. • Identify key...
  14. ezekeo

    Msaada kufunguliwa kwa namba yangu kutumia WhatsApp business

    Wakuu Namba yangu imefungiwa kutumia WhatsApp business. Kuna taarifa nyingi za muhimu sana nazihitaji kutoka kule WhatsApp Business. Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya ili namba yangu iweze kuruhusiwa kutumia tena WhatsApp Business. Ahsanteni
  15. Masokotz

    Fahamu kuhusu Destination Marketing Business

    Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na juhudi zenu za ujenzi wa taifa. Leo ninawaletea mjadala kuhusu model ya biashara inayoitwa Destination Marketing Services(DMS).Kampuni zinazofanya shughuli hizi huitwa pia kama Destination Marketing Corporation(DMC)...
  16. Collin Butondo

    Exploring the Potential of Bryte Sky Links in Tanzania

    Bryte Sky Links is a well-established and trusted business that prides itself on providing a wide range of essential services to meet the diverse needs of our valued clients. With a commitment to excellence and customer satisfaction, we have become a one-stop destination for a variety of...
  17. Kijana LOGICS

    Kwa online business Mkoa WA mbeya una watu Smart sana sio WA shamba kama mwanza

    Hua nafanya online business hasa ya electronics kama simu, computer,na laptops before nilikua nafanyia mwanza nikahamia mbeya tangu January Biashara mwanza ilikua ngumuh Sana wateja pasua kichwa mwanza Ina watu wengi na Kundi kubwa la watu wanakaushamba Flani Ivi laiti mwanza ingetambua...
  18. Jamii Opportunities

    Business Adviser at VSO February, 2024

    Position: Business Adviser Location: Tanzania Salary: Not Specified Contract Type: Not Specified Contract Length: Not Specified Full Time: Not Specified Interview Date: As soon as possible Start Date: March 2024 Download Job Description File Size: 330.76 KBs, File Type: pdf Role Overview...
  19. The bump

    Business partner mwenye mtaji usio chini ya milioni 10

    Binafsi ni mfanyabiashara ninaetafuta msaidizi tutakaesaidia a hii biashara ninayoifanya. Ni biashara Ndogo lakini inafanywa kwa ukubwa hivyo inahitaji Mtaji lakini zaidi usimamizi wa Jicho kwa Jicho. Partner ninae mtaka tutashirikiana katika Biashara. Faida Tutagawana Half Half Usimamizi wa...
  20. Newcastle1234

    Natafuta kazi ya Sales au Business Administrator au relevant

    Mimi kijana wa miaka 35. Natafuta kazi, short term au long term. Nina elimu ya chuo kikuu na experience kwenye sales, marketing na project management. Kwa Sasa Sina kazi lakini niko tayari kufanya kazi yeyote nitakayoiweza. Niko flexible sana na open minded
Back
Top Bottom