offer

  1. A

    Mbezi Aluminium and Glass offer

    Habarini wadau wa jukwaa la ujenzi na makazi, poleni na harakati za hapa na pale, kikubwa tuombe uzima tufanikishe ndoto zetu na malengo yetu. Habari njema ni kwamba nimekuja na taarifa kua kama unapata shida ni kiasi gani kinatakiwa kwenye site yako kuhusu Madirisha ya Aluminium, milango ya...
  2. Genio the great

    Jipatie korosho kwa bei ya ofa

    Hellow Wana JF Nisiwe na maneno mengi Leo nimekuletea bidhaa ya korosho inayotoka mkoani mtwara, Korosho nzuri na unazipata ukiwa hapahapa daresalam Kwa bei ya 20,000/= tu Kwa 1Kg Kwa anayehitaji tufanye biashara anicheki 🙏🙏🙏
  3. D

    Wewe ndo Kibu Denis, una offer ya 30k usd per month na signing fee ya 300k usd. will you sign?

    I will be short Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela. contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract. He is leaving for free. end of...
  4. sinaham

    Kampuni ya vodacom mna nini mwaka huu? Nimekuwa nikipokea offer mfulululizo mfano sms hii hapa na kabla ya hapo MB kama zote.

    Najuaga hakunaga vya bure. Nimekuwa nikipokea sms za kupokea vifurushi bure. Una Dakika 20(Voda) na SMS 100 mpaka 2024-04-08 07:05:35 kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki. Kujua salio Piga *149*60#. Vigezo kuzingatiwa nimajiuliza sana kwa ile kanuni ya HAKUNA CHA BURE HAPA DUNIANI yasije...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Phone4Sale Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu

    Wakuu. OFFER: Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu Specification: Kwanza kabisa ina wireless charging system Yaani unaweza kuchaji kwa kuilaza juu ya simu nyingine. RAM 6 GB Storage 128 GB BATTERY Type Li-Ion 3100 mAh, non-removable Charging15W wired...
  6. Madish Installers

    Tunafunga Electric Fence, Tsh 19,000 kwa square meter 1

    MaDish Installers Tunafunga mifumo ya ulinzi kwa kutumia:- CCTV cameras Electric fence Alarm system Intercom Na mengineyo na wakati huu tuna punguzo maalum kwenye kufunga Electric fence kwa Tsh 19,000/= kwa square meter 1, tunafanyakazi mikoa yote Tanzania. Pia tunafunga mfumo wa TV...
  7. Tman900

    Line ya Simu Cm Card. imepotea Mtu ambayo ameokota. Kuna Offer Tsh 50,000/=

    Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo. Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed. Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/= #Nitaifuata hapo kwa Gharama...
  8. Moseskyey

    MP3 Uploader Hosting Offer 2024

    Je umekuwa ukitafuta mahali unaweza weka Miziki yako baada ya Kuweka Cover katika hiz Nyimbo ili ubrand jina au Website jina lake sasa karibu KWETU CLOUD ni Kikundi ambacho kimeanzisha Panel itakayo weza Manage Nyimbo zako kwa usalama na Uliza, ni utafanyiwa installion free na utatumia Hosting...
  9. Belight Technology

    OFFER: Studio Podcast/Recording Package kwa 99,000/= tu

    Belight Technology ni Wauzaji na Waagizaji wa vyombo vya Muziki ikiwemo vifaa vya studio na podcast. DUka letu lipo DOdoma Mjini, Kizota, Kituo cha daladala cha City. Bidhaa zetu tunatuma Mikoa yote. Instagram: instagram.com/belight_sound Facebook: facebook.com/belight.sound Mawasiliano: 0715...
  10. www19

    Offer ya Website kwa 50k Tu.

    Habari wanajamii. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Je, unahitaji website au blog kwaajili ya biashara yako? Mimi ni nani? Web systems developer nlie na uzoefu wa zaidi ya miaka 2 katika utengezaji wa websites zenye muonekano mzuri yaan UI design (swiftUI and UI for mobile). Development...
  11. halley from city

    Kwa walio serious tu. Ps4 fat inauzwa kwa offer

    KAMA UKO SERIOUS; Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4. Chukua ps4 fat, ina game la GTA Imechipiwa, Bado mali ni mpya tuu. Pad hizo apo ni mpya. Kwasababu halina game la mpira naliuza kwa 450k top. Ila, kama uko dar nakupa connection pa kwenda kuweka games bure...
  12. M

    Hii sasa ni kufuru ya Pesa: Mohamed Salah apewa offer ya mshahara wa Pound 2.45M kwa wiki na Al Ittihad ya Saudi Arabia!

    Huko Saudi Arabia waarabu wameamua kumwaga pesa kama mawe!! Timu ya Al Ittihad ambao ni mabingwa wa Saudi Arabia wamempandia dau Mohamed Salah la kufa mtu. Kwanza wametoa offer ya uhamisho kutoka liverpool ambayo ni rekodi mpya ya dunia., offer ya USD 270M. Awali Liverpool walikataa offer ya USD...
  13. monotheist

    INAUZWA Smartwatch kwa bei ya offer

    Tumepunguza bei tunauza piece moja kwa bei ya jumla yaani Tsh 35,000 kwa pc zimebaki pieces chache (M59 ULTRA SMARTWATCH) 💧Ina mikanda miwili 💧Ina Bluetooth 💧Wireless charger 💧Inapiga na kupokea simu 💧Inapokea notifications za whatsapp, instagram, facebook, tiktok etc 💧Ina creen kubwa 2.19 inch...
  14. The last don

    Nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016

    Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016 Ninatoa 100k Nicheki 0621973591. Note: Sihitaji pirated wala cracked version. Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
  15. Dr Matola PhD

    Mdau anauliza ni kwa nini offer za usajili ni kwa wachezaji wa Yanga tu? Simba kunani? Mbona hakuna hata mchezaji wa Simba anayetakiwa nje?

    MDAU - KILA KITU YANGA, WENGINE HAMUWAONI...! ✍️ Kaandika mdau wa soka, Ole Mushi ! "KWA NINI WACHEZAJI WA SIMBA HAWAULIZIWI NA TIMU KUBWA ZA NJE?" "Sijasikia mchezaji hata mmoja wa Simba SC kutakiwa kununuliwa na timu za nje. Karibia wachezaji wote wa Yanga SC timu za nje zimetuma maombi ya...
  16. D

    Nadizaini logo ambazo zinaambatana na offer kadhaa kama letter head (MS Word) pamoja na dizaini ya business card au tangazo la kupost mtandaoni

    Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni. BEI ZA LOGO 80K= Logo+B Card+Letter head (Softy Copy) 70K= Logo+B Card, Letter head au Tangazo (Softy Copy) kimojawapo 60K= Logo pekee BEI ZA...
  17. peterdon192219

    House4Sale Nyumba inauzwa Dundan Mkuranga

    House For Sale Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt Price : 45,000,000/ Negatiable Details 3 bedroom 1 Master room Big sitting room Dinning room Kitchen Store 2 vallander + 2 Flem Plot size : 21*30 Metre For more infomation Call 0622408585
Back
Top Bottom