pro

  1. The bump

    INAUZWA iPhone 13 PRO inauzwa 128 GB

    Bei : 800,000 Location : DAR/GOBA Contact : 0695-697 796 USED FROM DAR KWA M'BONGO
  2. Jumanne Mwita

    Msaada: SSD 1080 PRO NGFF M.2 4TB Haifanyi Kazi Kwenye Laptop Yangu

    Habari wanajamvi, Nimenunua kifaa cha kuhifadhi data aina ya 1080 PRO NGFF M.2 SSD 4TB Kwa ajili ya kuongeza uwezo wa laptop yangu. Hata hivyo, baada ya kukifunga kwenye laptop yangu, haisomi ingawa inaonyesha kuwaka kama kawaida. SSD iliyokuwepo awali ni ya 128GB M.2 NGFF ambayo niliinunulia...
  3. Masokotz

    Bar Code Sticker na Product Label kwa Ajili ya Bidhaa zako

    Habari za Wakati huu. Je Wewe ni Mjasiriamali Mdogo ambaye Unazalisha na Kufungasha Bidhaa za Aina Mbalimbali? Masoko International Company kwa kushirikiana na Wadau wetu mbalimbali tunakuletea huduma ya Kuchapisha Bar Code Sticker na Label kwa ajili ya Bidhaa zako. Huduma hii itakuwezesha...
  4. M

    nimpepambana na Pro Isrel kihoja mpaka kaona aibu

    Jama alikuwa anadanganya sana abiria katika gari. akipaza sauti ya kuonyesha Isreal ina nguvu na kuwadanganya abiria ambao uelewa wao mdogo katika swala hili. Nilipombana kwa hoja agaeuza maneno. alajifanya hapendi vita vile. akijifanya kuongea kiengereza kama msomi vile kumbe 0. aliotuona...
  5. salehe magari mazuri

    Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

    Price/Bei 15.7mls Cont: Bmw 3 Series ECY Year 2008 Cc 1990 Low Km 99000 Full Options✅ Sports & New Tyres Clean Condition 0688591584 Navunja Na Gari yoyote°° Location Dar es salaam
  6. S

    Prof. Mbarawa: Treni za SGR ni za mwendo wa kawaida (siyo mwendokasi)

    Mkurugenzi wa shirika la reli nchini, Masanja Kadogosa amesema treni ya SGR itatumia saa moja na nusu kutoka DAR mpk Moro na itatumia msaa 3 kutoka DAR mpk Dodoma. Ndipo waziri wa uchukuzi prof. Makame Mbarawa akasema "naomba wananchi waelewe hii treni siyo ya high speed kama zile za China na...
  7. chadog

    Phone4Sale Inauzwa iphone 14 PRO MAX copy,na AQUOS 701 SH USED

    IPO IPHONE 14 PRO MAX COPY KWA 170,000 TU,RISITI YAKE IPO NA INA CRACK KWA NYUMA VINGINE VIPO FRESH SANA,INATUMIA ANDROID ,STORAGE 512GB IPO USED AQUAS 701SH KWA 50,000 TU,RISITI YAKE IPO HAINA TATIZO LOLOTE ,ANDROID 10,STORAGE 32 GB,RAM 3GB SERIOUS BUYERS CONTACT ME: 0768115667
  8. Msanii

    Machifu na wakuu wa makabila nchini ni machawa pro max. Hata historia inawasuta baadhi

    Kwa mfano anatoka Makamu Mwenyekiti wa (Chanzo Cha Matatizo) CCM kwenea Ntwara, akifika huko anasimikwa uchifu, akija mwenyekiti wa hicho kijiwe naye anasimikwa uchifu. Mara utasikia wazee na machifu wa Songwe wamemsimika uchifu mkuu wa mafisadi huku wakimpa sifa kem kem. Numejiuliza, taratibu...
  9. B

    2024 iPad Air Pro vs Xioami tablets

    Naomba mwenye kujua ubora wa hizo tablets anisaidie maarifa. Zote ni TABLET PC with keyboards. Nataka nichukue moja kati ya hizo ila sina uzoefu nazo. Msaada tafadhali.
  10. peno hasegawa

    DOKEZO Waziri wa Elimu: Prof. Mkenda, kituo cha Walimu (TRC) Mawenzi Moshi Manispaa wanakusanya michango kutoka kila shule bila kibali chako

    TANGAZO KWA WAKUU WOTE WA SHULE MOSHI MANISPAA: Wakuu wa Shule za msingi Moshi Manispaa, Mkoa wa Kilimanjaro ,tafadhali wasilisheni michango kwa ajili ya chakula cha walimu watakaohudhuria semina kesho, tarehe 25.01.2024. Kila shule au kituo kinatakiwa kuchangia bila kukosa ni TSh. 100...
  11. Andre-Pierre

    Takwimu za Nabi kwenye ligi ya Botola Pro akiwa na AS FAR Rabat

    Kocha wa Zamani wa Yanga Nabi kwasasa anakinoa kikosi cha ASFAR Rabat ya huko Morocco. Ligi hiyo imekamilika kwa mzunguko wa kwanza na hizi ndizo takwimu za kocha Nabi. Amecheza mechi 15 Ana Alama 33 Magoli ya kufunga 33 Magoli ya kufungwa 13 Yupo juu ya Msimamo (Kileleni) Nabi anaupiga...
  12. Gushleviv

    Redmi Note 12 Pro+ 5g Inauzwa!

    Salaam wadau. Kama kichwa cha tangazo kinavyojieleza. Nauza simu tajwa hapo juu yenye sifa zifuatazo:- Simu bado ni mpya, imetumika kwa wiki 2 tu. Storage 8 ni 8/256 gb. Ina kila kitu chake tatizo Box tu ambalo kwa bahati mbaya lilitupwa. Bei ya kuanzia ni Tsh 600,000/= Yeyote aliye serious...
  13. A

    Beginner | Noob & Pro: Fl Studio Music Production

    Gwala kwa wana Jf, nawapa salamu wadau wa mziki. Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha wadau, wapenzi na waandaaji wa Muziki kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania ambao wanatumia DAW-Digital Audio Workstation ya Fl Studio ambayo hapo awali ilikuwa ikifahamika kwa jina la Fruity Loops. Hapa kutakuwa...
  14. Mangi wa Rombo

    INAUZWA For Sale: Smart Keyboard Cases for iPad Pro 11/ 10.9

    Habari! Nauza smart keyboard cases complete na external wireless mouse yake kwa ajili ya iPad Pro 11/10.9 inch. Products ni mpya kabisa Bei 140,000 TZS tu! Tupigie 0712075845
  15. Rwaz

    11 pro na s10 zinahitajika haraka

    Mwenye hizo bidhaa tuwasiliane haraka. 11pro iwe 256gb. S10 iwe black. Biashara ni leo na kesho tu
  16. Eli Cohen

    Kweli betting imekuwa janga maana hata pro athletes wameanza kuhusishwa na issue hii

    Kuna addiction flani ukishiingia katika betting inakushikilia na haitakuachia hivi hivi no matter we ni tajiri kiasi gani. Recently wacheza mpira maarufu wameanza kupigwa suspension ndefu kutokana na wao kujihusisha na betting. Mtu anaweza kuchomesha team ili tu apige kibunda. Vijana mtaani...
  17. Afisa Mteule Drj 2

    Natafuta fundi wa printer Hp Laser jet pro MFP color 475dn

    Printer yenyewe ni hii hapa chini ni Hp Laserjet Pro 400 MFP colour 475dn pia na ku-refill uwino.Fundi huyo awe ni kutoka Mbeya
  18. KingOligarchy

    Jinsi ya kununua iphone 15 pro max

    Greetings wana Jamii forum, Your Financial Advisor is here again, Naonda iphone 15 pro max imetoka. mtaani watu hawakai kwa amani mabinti wanasumbua na pia ppo want to get it chap chap, but quick question is Can u afford it. i will make an assumption that it cost 5,000,000 per 1 piece. inawez...
  19. albab

    Kinatafutwa kioo Cha google pixel 6 pro

    Kwema MKUU.... Kinatafutwa kioo Cha google pixel 6 pro Njoo DM Kwa biashara.
  20. Artificial intelligence

    Mbinu mahiri ya kijasusi ya kukwepa wahalifu na wasiojulikana

    Je wewe ni muhanga wa ufuatiliaji (SURVEILLANCE)? Ikiwa wewe ni mtu ambaye unafuatiliwa na wahalifu au watu wengine kutokana na shughuli zake ziwe za kisiasa, kibiashara na hata kimahusiano basi njia hizi nitakazozielezea hapa ukizifuata na kuziishi zinaweza kukufanya uwe salama ikiwa upo under...
Back
Top Bottom