toyota

  1. N

    Nahitaji Toyota Premio

    Habari wadau wa agari, nina milion 9 cash nahitaji toyota premio used ianze namba DF kuendelea mbele iwe haijwah kupata ajali kabisaa iwe haijawah kurudiwa rangi kabisaa hata bampa yaan! Lakini iwe haijawah kuguswa engine zaidi ya kubadilisha oil tu: Mi nipo kigoma naomba isiwe ya silver wala...
  2. P

    Car4Sale Toyota Vanguard inauzwa Tsh milioni 28

    TOYOTA VANGUARD YEAR 2011💦 ENGINE CAPACITY Cc: 2360 MILEAGE: 82496 ENGINE CODE: 2AZ FUEL PETROL STANDARD FEATURES FULL OPTION✅ CODE:2AZ FUEL PETROL 🛢️PRICE:28M CONTACTS:+255754459647
  3. GENTAMYCINE

    Huyu Dereva wa Gari la Toyota Landcruiser Hardtop Nyeupe lenye Plate Number ya T216 DHH ya Tundu Lissu uthubutu wa Kuitumia kautoa wapi?

    Yaani mwenye Gari kapigwa risasi ambazo zilitaka Kumuua halafu bila hata huruma bado kuna Mtu sijui kwa Jeuri yake au Jeuri anayopewa kaona haitoshi akaamua kabisa kwenda na Kung'oa Plate Number ya Gari la Tundu Lissu ya T216 DHH na kuamua Kuitumia kama yake Dodoma hadi kuwa na Deni ya Kuegesha...
  4. Mshamba wa kusini

    Ninunue gari ipi kati ya Toyota vanguard na suzuki escudo 2008?

    Habari wakuu Kati ya vanguard na suzuki escude 2008 ipi ni gari nzuri nataka kuvuta moja wakuu
  5. dracular

    Bei ya control box ya Toyota RAV4 miss Tz ya mwaka 2006

    Habari za majukumu ndugu zangu, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu napenda kuuliza bei ya control box ya gari tajwa hapo juu maana gari yangu iliingia kwenye maji ikapiga shot So nataka kununua mpya.. Naomba kuwasilisha kwenu
  6. Mad Max

    Kuna chuma inaitwa Toyota Century: A Rolls Royce "Cullinan wanna be"

    Sijui nani amemcopy nani, ila kuna chuma nimeiona mitaa ya matajairi bwana, inaitwa Toyota Century 2023. Kwa mbali nikajua ni Rolls Royce Cullinan kumbe ni mali ya Wajapan aisee. Hii chuma ni SUV, engine 3.5L 2GR V6, model code yake ni G70, (sedan yake ndio G60). Unaweza angalia picha jinsi...
  7. Mad Max

    Gari tatu (3) za Toyota ambazo Design yake ilikua from Future

    Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua. Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa. 1. Toyota Will VI Hili gari nikiliona uwa...
  8. Apollo one spaceship

    Nataka kununua Toyota Rav 4

    Anayeuza hiyo gari contact karibu, nipo Serious. Budget ni milioni 7.
  9. Jick

    Wauza spear used, nahitaji sunroof glass ya Toyota ipsum

    Habari ndugu jamaa na marafiki wa JF na wauza spear wote. Ninahitaji sunroof glass ya gari tajwa hapo juu. Kama ipo nicheki PM.
  10. Kiboko ya Jiwe

    Kwanini magari mengi ya serikali ni TOYOTA?

    Kuna kampuni nyingi duniani zinatengeneza magari bora na imara kama TOYOTA au zaidi ya TOYOTA. Lakini cha ajabu magari mengi yanayoagizwa na serikali ni TOYOTA. Je, ni ushamba na ujima kwamba viongozi wetu hawajui kuwa kuna kampuni nyingine? Kama serikali ingekuwa inanunua gari randomly basi...
  11. darautobroker

    Car4Sale Toyota Harrier ya 2021 inauzwa tsh milioni 120

    Bei/Price🏷️: TSH 120M Call 📞0747 999 927 TOYOTA HARRIER Year: 2021 Engine: 1990Cc Mileage: 19,498 Transmission: AUTO ✅All Duty Paid ✅Free Registration ✅Exchange Possible
  12. N

    Car4Sale Toyota Hilux 2018, Tsh. 55M

    Hii ni mpaka Dar Port. Ushuru unalipia wewe.
  13. P

    Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER

    NAOMBA USHAURI KUHUSU TOYOTA LAND CRUISER ZX Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER ZX or VX series 202. Ipi bora na bei zake used zikoje kulingana na mileage za around 100,000. Naomba ushauri pia kuhusu mafuta na spare zake. Shukrani.
  14. hp4510

    Naitaji Toyota Crown Athlet ya mwaka 2011

    Jaman naitaji Toyota crown athlet ya mwaka 2011 Iwe namba E Ikiwa Rangi nyeupe au black no problem Price yangu ni milion Tisa Niko dar es salaam Kama kuna mtu anayo please ndm
  15. Afrolink-Tz Consult Ltd

    Car4Sale Toyota Harrirer inauzwa milion 222

    Habari zenu Nauza Toyota Harrier yenye maelezo haya: 1. Jina: Toyota Harrier 2. Modeli na: MCU30 3. Aina ya bodi: Station wagon 4. Uwezo wa injini: 2490cc 5. Mwaka wa kuundwa: 2003 6. Rangi: Nyeupe ya kufififia 7. Saizi ya rims: 20' ya aluminiam na matairi yamefungwa mapya mwezi Disemba, 2023...
  16. N

    Nahitaji toyota aqua au prius

    Nahitaji Either Prius au Aqua moja. Anayeuza anicheki. iwe kwenye hali nzuri. na usajili uwe na E. offa 15m inbox
  17. E

    Car4Sale Nauza Toyota vitz new model

    Nauza toyota vitz new model kalii mnoo🔥🔥🔥ipo Dar es salaam cc 1290,push to start bei 9m✅Karibuni
  18. MEK_TZ

    Natafuta Toyota IST ya kununua

    Habari wakuu. Mwenye gari IST anaye uza tafadhari tuwasiliane.
  19. mfetere

    Car4Sale Toyota Kluger for sale

    TOYOTA KLUGER Mil 20.5 NATOA BOX 5 INA SUNROOF MODEL ENGINE 2AZ CC 2360 KM.91930 FULL DOCUMENTS NEW TIRES COLOR BLACK LOCATION DAR ES SALAAM 0714787795
  20. L

    Car4Sale Toyota Brevis 2002 silver inauzwa 5.8M

    Habarini Wana JF, Mimi naitwa dalali kijana leo nimekuja na offer kwa boss wangu.Toyota Brevis 2002 5.8M tu. kwa mawasiliano piga 0695022051
Back
Top Bottom