Habari wadau wa agari, nina milion 9 cash nahitaji toyota premio used ianze namba DF kuendelea mbele iwe haijwah kupata ajali kabisaa iwe haijawah kurudiwa rangi kabisaa hata bampa yaan! Lakini iwe haijawah kuguswa engine zaidi ya kubadilisha oil tu:
Mi nipo kigoma naomba isiwe ya silver wala...
TOYOTA VANGUARD
YEAR 2011💦
ENGINE CAPACITY Cc: 2360
MILEAGE: 82496 ENGINE CODE: 2AZ
FUEL PETROL
STANDARD FEATURES
FULL OPTION✅ CODE:2AZ
FUEL PETROL 🛢️PRICE:28M
CONTACTS:+255754459647
Yaani mwenye Gari kapigwa risasi ambazo zilitaka Kumuua halafu bila hata huruma bado kuna Mtu sijui kwa Jeuri yake au Jeuri anayopewa kaona haitoshi akaamua kabisa kwenda na Kung'oa Plate Number ya Gari la Tundu Lissu ya T216 DHH na kuamua Kuitumia kama yake Dodoma hadi kuwa na Deni ya Kuegesha...
Habari za majukumu ndugu zangu, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu napenda kuuliza bei ya control box ya gari tajwa hapo juu maana gari yangu iliingia kwenye maji ikapiga shot So nataka kununua mpya..
Naomba kuwasilisha kwenu
Sijui nani amemcopy nani, ila kuna chuma nimeiona mitaa ya matajairi bwana, inaitwa Toyota Century 2023. Kwa mbali nikajua ni Rolls Royce Cullinan kumbe ni mali ya Wajapan aisee.
Hii chuma ni SUV, engine 3.5L 2GR V6, model code yake ni G70, (sedan yake ndio G60). Unaweza angalia picha jinsi...
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa...
Kuna kampuni nyingi duniani zinatengeneza magari bora na imara kama TOYOTA au zaidi ya TOYOTA.
Lakini cha ajabu magari mengi yanayoagizwa na serikali ni TOYOTA.
Je, ni ushamba na ujima kwamba viongozi wetu hawajui kuwa kuna kampuni nyingine?
Kama serikali ingekuwa inanunua gari randomly basi...
NAOMBA USHAURI KUHUSU TOYOTA LAND CRUISER ZX
Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER ZX or VX series 202. Ipi bora na bei zake used zikoje kulingana na mileage za around 100,000.
Naomba ushauri pia kuhusu mafuta na spare zake. Shukrani.
Jaman naitaji Toyota crown athlet ya mwaka 2011
Iwe namba E
Ikiwa Rangi nyeupe au black no problem
Price yangu ni milion Tisa
Niko dar es salaam
Kama kuna mtu anayo please ndm
Habari zenu
Nauza Toyota Harrier yenye maelezo haya:
1. Jina: Toyota Harrier
2. Modeli na: MCU30
3. Aina ya bodi: Station wagon
4. Uwezo wa injini: 2490cc
5. Mwaka wa kuundwa: 2003
6. Rangi: Nyeupe ya kufififia
7. Saizi ya rims: 20' ya aluminiam na matairi yamefungwa mapya mwezi Disemba, 2023...
TOYOTA KLUGER
Mil 20.5 NATOA BOX 5
INA SUNROOF
MODEL
ENGINE 2AZ CC 2360
KM.91930
FULL DOCUMENTS
NEW TIRES
COLOR BLACK
LOCATION DAR ES SALAAM
0714787795
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.