kiswahili

  1. Kitotole

    Wimbo: Cavalier solitaire mwimbaji: JB Mpiana ft Papa Wemba tafsiri: Sule Mkandarasi

    ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š : Cavalier Solitaire ๐™ˆ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐˜ผ๐™…๐™„ : J.B MPIANA ft PAPA WEMBA ๐™๐˜ผ๐™๐™Ž๐™„๐™๐™„: ๐™Ž๐™๐™‡๐™€ ๐™ˆ๐™†๐˜ผ๐™‰๐˜ฟ๐˜ผ๐™๐˜ผ๐™Ž ๐™’๐™–๐™จ๐™ฌ๐™–๐™๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™จ๐™š๐™ข๐™– "๐™๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž ๐™ฃ๐™ž ๐™จ๐™ฌ๐™–๐™ก๐™– ๐™™๐™ค๐™œ๐™ค ๐™จ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฌ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ค๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™–" ๐™ƒ๐™ž๐™ž ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ข๐™–๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™–๐™ข๐™—๐™– ๐™ž๐™ ๐™ž๐™ฌ๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฌ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™– ๐™™๐™๐™–๐™ฉ๐™ž ๐™—๐™–๐™จ๐™ž ๐™๐™–๐™ฌ๐™–๐™ฉ๐™ค๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™œ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™ค๐™ ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™จ๐™–๐™—๐™–๐™—๐™ช ๐™ฎ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ž๐™จ๐™๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž ๐™ข๐™—๐™–๐™ก๐™ž...
  2. KENZY

    Tujuzane maneno sahihi ya Kiswahili...

    Mada hii itakuwa ni mada maalum ya kujulishana usahihi wa maneno yakiswahili,sanasana uandishi wa maneno hayo au maana n.k Yapo maneno yanayotutatiza ama katika uandishi au matumizi yake,hapa pawe uwanja wakuchambua,kurekebisha nakuelimishana juu ya maneno hayo. Nikianza namimi binafsi maneno...
  3. L

    Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa kiswahili

    Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika Natanguliza shukrani
  4. Stephano Mgendanyi

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili "Lugha ya Kiswahili kwa sasa ni Lugha rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Umoja wa Afrika (AU). Kila tarehe...
  5. Themoneyhollic

    Biashara ya Forex kwa Kiswahili Free course 2024

    โœจ Your Trading Journey Begins Here โœจ Are you ready to dive into the world of Forex and come out a trading champ? ๐Ÿ† BIG BOYS CLUB INVESTMENTS is offering a FREE Forex course that you can't afford to miss! https://youtu.be/Em0384gm6d8?si=_i-49mHkNqS8e7fO ๐Ÿ“ˆ Learn the A-Z of Forex trading - from...
  6. DeepPond

    BAKITA mtatuua ni hiki Kiswahili chenu mnachokiita "Fasaha"

    Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger โ€“ kimemeshi 2. Appetizers โ€“vihamuzi 3. Simcard โ€“ kadiwia/mkamimo 4. Memory card โ€“kadi sakima 5. Business card โ€“ kadikazi 6. Microwave โ€“tanuri miale 7. Cocktail party โ€“ tafrija mchapalo 8. Lift โ€“ kambarau 9. Toothpick โ€“ kimbaka 10...
  7. Arnold Kalikawe

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Licha ya kiswahili kuzaliwa katika pwana ya Afrika mashariki, na kuzungumzwa zaidi Tanzania kuliko Mataifa yote. Kiswahili fasaha bado ni changamoto katika ukanda wa pwana ya Tanzania na visiwa vya Zanzibar. Leo katika harakati zangu za pimbi katika mkoa wa pwani, nikapita katika duka moja la...
  8. Pascal Mayalla

    Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?.

    Wanabodi, Leo nimetembelea kurasa fulani za website ya UN, nikakutana na neno fulani la Kiswahili kwenye moja ya program za UN , neno hii inaonyesha Kiswahili kinazidi ku gain momentum. Neno hilo linatumika kwenye program ya usajili ya UN Niliwahi kuandika Usiyoyajua Kuhusu Samia UN: Kumbe...
  9. Yoda

    Kuhemea, Kujumua na Kuingiliwa ni misamiati sahihi ya Kiswahili?

    Wataalamu wa Kiswahili, haya ni maneno au misamiati sahihi ya lugha ya Kiswahili? "โ€ŠKujumua" kwa maana ya kununua vitu kwa jumla. Huu msamiati unatumika sana Iringa, Njombe na Mbeya. "Kuingiliwa" kwa maana ya kupunjwa pesa unayostahili au kulipa pesa zaidi ya unavyostahili. Huu msamiati...
  10. Lycaon pictus

    Audiobooks za kiswahili. Safari ya Bulicheka na mkewe

    Safari ya Bulicheka na mkewe sehemu ya kwanza.
  11. R

    Namba prison break season zote iliyotafsiriwa kwa kiswahili

    Mwenye prison break iliyotafsiriwa kwa kiswahili naomba Niko dar nakuja na flash yangu mkononi popote ulipo DAR ES SALAAM
  12. CONSISTENCY

    Serikali na Hatima ya Tamthilia za kigeni zilizo lugha ya Kiswahili kwa Kizazi Chetu

    Binafsi nasikitika kuona Tamthilia hizi za Kituruki, kihindi, kikorea, kichina, kiarabu n.k zilizotafsiriwa kwa lugha yetu ya Taifa kiswahili zinazooneshwa sana muda mwingi katika chanel zetu maarufu nchini hasa Azam kila nikiingia nyumbani, saloon, bar, hotel n.k. Serikali hasa Wizara ya sanaa...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Ni lini lugha za kikabila zitakuwa somo kama ilivyo kwa Kiarabu, Kiswahili, Kingereza na Kichina?

    Kwema Wakuu! Ni lini lugha mama zetu, nazungumzia lugha zetu za kikabila zitaingizwa kwenye mitaala kama moja ya masomo ya lugha kama ilivyo kichina, kingereza, kiswahili, kiarabu. Tunampango gani wa kuhifadhi lugha zetu za asili au elimu ya kigeni itafanikiwa kuzifuta Lugha zetu za asili...
  14. Trainee

    Ushauri na msaada; Je asomee kitu gani? Ana D kwa masomo yote kasoro Math's F na Kiswahili C

    Binti ana Four ya 28 (arts pure) sasa anataka kujua anachoweza kusomea >>>Ameambiwa aingie humu achague kozi zinazoendana na ufaulu wake>>> NIT DIT NACTE
  15. Staphylococcus Aureus

    Baraza la Kiswahili nini kimewashinda kuweka Kamusi ya digitali hadi leo ikiwa ndio taifa tuliokishikiria Kiswahili?

    Nimekua nikipata tabu sana kujua maana ya maneno mengi ya kiswahili na nikisearch google siyapati napata mitandao ya nje kama wikipedia wakitafsiri ambayo mara nyingi siwaamini kulingana na aina na ufasaha wanaoandika. Kwanini Baraza la kiswahili mnashindwa kuweka KAMUSI YA KISWAHILI ONLINE...
  16. Chamoto

    Kumbukumbu: Soma la Kiswahili la Rais Ali Hassan Mwinyi

    Namkumbuka Rais Mwinyi kwa mengi, moja wapo ni pale alipoanzisha kipindi chake cha kiswahili RTD (Radio Tanzania Dar es salaam). Moja ya somo alilofundisha lilihusu tarakimu. Alisema, "katika tarakimu za kiswahili, kuna baadhi zina maneno yenye asili ya kibantu na nyingine kiarabu. Tofauti na...
  17. Jimena

    Fursa ya kwenda kufundisha Kiswahili Marekani

    Habari wana jamvi, Serikali ya Marekani kwa mara nyingine tena imetoa fursa kwa watanzania kwenda kufundisha lugha ya kiswahili nchini Marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja, ukipata nafasi hii basi utaenda kufundisha katika chuo kikuu, Hii ni njia nzuri kwa wale wanaopenda kutoka nje ya...
  18. Kaka yake shetani

    Kiswahili kinagombewa na Wakenya kuliko Tanzania

    Yani inauma sana hawa wakenya wanajua kutembelea code za Tanzania kwenye fursa zilizopo hapa. Kumbuka Kenya asilimia kubwa imejaa kikabila kuongea na ndio maana lugha yao kubwa ni Kingereza ila suala la kujitangaza kiswahili kipo kwao wameshinda hili. Nimeshangaa fursa hii tumeshindwa kupeleka...
  19. Morning_star

    Natafuta softcopy ya notisi za kiswahili kidato cha pili

    Wakuu naomba kama kuna mtu ana notisi za kiswahili (kidato cha pili) au link ambayo naweza kuzipata anisaidie! Nataka kumsaidia kijana wangu
Back
Top Bottom