baraza la kiswahili

Baraza la Kiswahili la Taifa (National Swahili Council, abbreviated as BAKITA) is a Tanzanian institution responsible with regulating and promoting the Kiswahili language.

View More On Wikipedia.org
  1. Staphylococcus Aureus

    Baraza la Kiswahili nini kimewashinda kuweka Kamusi ya digitali hadi leo ikiwa ndio taifa tuliokishikiria Kiswahili?

    Nimekua nikipata tabu sana kujua maana ya maneno mengi ya kiswahili na nikisearch google siyapati napata mitandao ya nje kama wikipedia wakitafsiri ambayo mara nyingi siwaamini kulingana na aina na ufasaha wanaoandika. Kwanini Baraza la kiswahili mnashindwa kuweka KAMUSI YA KISWAHILI ONLINE...
Back
Top Bottom