bakita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DeepPond

    BAKITA mtatuua ni hiki Kiswahili chenu mnachokiita "Fasaha"

    Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger – kimemeshi 2. Appetizers –vihamuzi 3. Simcard – kadiwia/mkamimo 4. Memory card –kadi sakima 5. Business card – kadikazi 6. Microwave –tanuri miale 7. Cocktail party – tafrija mchapalo 8. Lift – kambarau 9. Toothpick – kimbaka 10...
  2. R

    BAKITA mnabuni maneno ya Kiswahili ili kukuza lugha ya Kiswahili. Je, ETIMOLOGY ya maneno mnayoyabuni ni ipi?

    What is the etymology of the Swahili words you are coining? The science of the origin of the words you are coining ni ipi? Mfano, Akili Mnemba, Mnemba etymology yake ni ipi? Mfano, in English, Tele means FAR, and PHONE means sound, therefore TELEPHONE means FAR SOUND ie one can hear a sound...
  3. May Day

    Kuwe na muwakilishi wa BAKITA kwenye vituo vya Redio

    Hakuna maana yoyote ya kijinadi kama taifa la Kiswahili kama kwenye vyombo vyetu vya habari vinakuwa na makosa mengi kwenye matamshi ya Kiswahili. Au la basi mmoja wa Watangazaji anayekidhi vigezo apate ithibati ya Baraza. Walau kwa vile vituo vya rediuo vyenye Wasikilizaji wengi. Kazi yake...
  4. FRANCIS DA DON

    BAKITA acheni upotoshaji, Decoder ni King’amuzi, Transmitter ni Kisimbuzi

    Nimeshangaa kusikia eti wanaojiita wataalam wa Kiswahili wakisema kwamba Tafsiri ya neno ‘Decoder’ ni ‘Kisimbuzi’, huo ni uongo wa wazi kabisa. ‘King’amuzi’ ni neno lililonyumbuliwa kutoka kwenye neno ‘ng’amua’ , kung’amua maana yake ni ‘Ku-decode’ , na hivyo kitu kinachofanya hiyo kazi ya...
  5. Nyendo

    UZUSHI BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani

    Nimeona mtandaoni barua ikizunguka kuwa BAKITA wameonya kuhusu matumizi ya maneno kama Famasiala, Famchezo, Fautani nk
  6. Analogia Malenga

    BAKITA yaonya kuhusu maneno kama Famasiala na Fautani

    BARAZA la Kiswahili Taifa (BAKITA) limeonya matumizi ya maneno “Famchezo nini, Famasihara nini, na Fautani nini” yanayotumiwa na watu katika majukwaa mitandaoni likisisitiza kuwa maneno hayo sio fasaha wala sanifu. Limeshauri watumiaji wa Kiswahili kutumia maneno “Unafanya mchezo nini, Unafanya...
  7. D

    Elimu siyo ngumu lakini mambo kama haya ndiyo yanaifanya iwe ngumu kwa watoto; Wizara ya Elimu, BAKITA boresheni

    Huu ni mfano mdogo tu unaoonesha hatujui tunachokifanya kielimu! Tazama majina ya sayari kwa kingereza halafu ulinganishe na kiswahili chake, huu ni mzigo kwa watoto lakini hatuoni kama taifa! Miaka saba asome majina kwa Kiswahili halafu tena kitu kilekile aje aanze upya kukisoma secondary...
  8. JanguKamaJangu

    BAKITA yakemea matumizi ya neno "Habari Mpasuko"

    Tamko la Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) kuhusu neno "Habari Mpasuko"
  9. bruno_ds_daniel

    SoC02 "Kesho Isiyofika" - Bruno D. Sakalani

    KESHO ISIYOFIKA “Unasikia midundo iyoo Chris!!? Yule Shayo mgombea wa PMP amekuja bwana!” Madokola, alimshtua Chris kwa kelele maana kwake yeye alidhani Chris alikwishazama katika ndoto na usingizi mzito. “Naamka aisee!” alijibu Chris kwa sauti ya chini “Kwani watu wamekwisha jaajaa uwanjani?”...
  10. K

    SoC02 Sababu za kukua kwa lugha ya Kiswahili Kimataifa na kudumaa nchini

    SABABU ZA KUKUA KWA LUGHA YA KISWAHILI KIMATAIFA NA KUDUMAA NCHINI Kiswahili ni Lugha inayozidi kukua barani Afrika na duniani kote kadri siku zinavyozidi kusogea hili likidhihirishwa na maboresho na mabadiliko ya mitaala ya elimu katika mataifa mbalimbali barani Afrika ili kutoa mwanya wa...
  11. R

    Kwenu BAKITA, KISHIKWAMBI ikimaanisha Tablet imetoka wapi? IE The science of the origin of a word kishikwambi

    Sensa ina mambo mazuri. Nimeona KISHIKWAMBI likimaanisha Tablet. Sasa hili neno mmelitoa wapi? Etymology ya Kishikwambi ni ipi? Au unaamka unafikiri kineno chochote basi unaita Tablet Mfano, Tablet: Etymology. From Middle English tablet, from Old French tablete (Modern French tablette)...
  12. Jamii Opportunities

    Msanifu Lugha Daraja II (Nafasi 1) BAKITA

    POST MSANIFU LUGHA DARAJA II - 1 POST EMPLOYER Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-14 2022-06-27 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Kusaidia kufanya kazi za utafiti kuhusu istilahi za masomo mbalimbali; ii. Kukusanya na kuchambua istihali...
  13. John Haramba

    Neno ‘KOLO’ hatarini kumponza Haji Manara, jela inanukia

    Kutokana na mwendelezo wa baadhi ya watu kutumia 'graphics' za Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) na kutumia kuweka maneno yao kisha kuandika maana potofu katika Lugha ya Kiswahili, baraza hilo limekuja juu. Haji Manara ni mmoja wa watu maarufu ambao walitumia ufundi kama unaotumiwa na BAKITA...
  14. Newbies

    BAKITA ivunjwe iundwe taasisi nyingine ya kushughulikia lugha na utamaduni wa Kiswahili

    BAKITA LIVUNJWE IUNDWE TAASISI NYINGINE YA KUSHUGHULIKIA LUGHA NA UTAMADUNI WA KISWAHILI. Baraza la kiswahili Tanzania liliundwa kwa sheria ya bunge tangu mwaka 67 likiwa Na majukumu mbalimbali ya kushughulikia kiswahili. Baraza hili limepitia mafanikio kadha wakadha katika utekelezaji...
  15. Keynez

    Baraza ka Kiswahili (BAKITA) badilisheni rangi zenu zinatuchanganya

    Huko twittani nimekuwa nakumbana na post mbalimbali za Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Inaonyesha wanaongeza kasi ya kuonekana katika mitandao. Nawapongeza kwa hilo. Tatizo moja ninaloliona ni kuwa kila mara nikiziona post zao, mara moja nadhania ni habari kutoka Mamlaka ya Mapato, TRA...
Back
Top Bottom