waonya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FaizaFoxy

    Exclusive-Militia wa Iraq waonya wanajeshi wa Marekani wataondoka 'katika majeneza' ikiwa Biden hatajiondoa

    Kiongozi wa wanamgambo wa Iraq wanaoshiriki katika muungano wa makundi ambayo yamefanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na Israel ameiambia Newsweek kuwa vikosi vyake viko tayari kuongeza kampeni zao kwa kiasi kikubwa ikiwa Rais Joe Biden hatatimiza matakwa yao. Kwa mujibu wa Sheikh...
  2. Nyendo

    UZUSHI BAKITA waonya kuhusu maneno Famasiala, Fautani

    Nimeona mtandaoni barua ikizunguka kuwa BAKITA wameonya kuhusu matumizi ya maneno kama Famasiala, Famchezo, Fautani nk
  3. BARD AI

    Viongozi wa Dini waonya tabia ya Viongozi wa Serikali kupenda kusifiwa

    Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wametoa ujumbe wa Krismasi kwa waumini wao, ukiwemo unaowataka viongozi wa Serikali kuwa makini na sifa wanazopewa na wateule wao kwa kuwa ni mbinu ya kuficha udhaifu. Vilevile, wamewataka viongozi pamoja na watendaji watumie sikukuu hiyo...
  4. BARD AI

    Wachumi watoa tahadhari nchi kusamehewa madeni

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Verdiana Tilumanywa amesema pamoja na umuhimu wa misaada, si jambo la kufurahia kuipokea, kwani aghalabu mtoaji hutarajia mrejesho chanya. “Anayekusaidia mara nyingi anatarajia kuzalisha kikubwa zaidi ya alichokupa, hatupaswi kufurahia...
  5. Shujaa Mwendazake

    URUSI waonya kuwa watazidungua Satelaiti za Elon Mask

    URUSI imepeleka taarifa ya kwamba majeshi na Serikali za Ukraine na Magharibi kuwa wana tumia satellite za kiraia kufanya shughuli za kijeshi. Wameona jambo hilo liangaliwe na kushughulikiwa vinginevyo wataanza “KUZISHUSHA” (Quasi-civilian infrastructure may be considered a legitimate target...
  6. BARD AI

    Wataalamu waonya upasuaji usio wa lazima kwa wajawazito

    Katika siku za hivi karibuni kujifungua kwa upasuaji kumeonekana kama ‘fasheni’, kwani kuna idadi ya wanawake wengi wanaofika hospitali kuomba kupatiwa huduma hiyo bila sababu za kitaalamu. Wataalamu wa afya wametaja sababu tatu za wanawake kuomba kujifungua kwa upasuaji, ikiwemo ile ya...
Back
Top Bottom