Ushauri na msaada; Je asomee kitu gani? Ana D kwa masomo yote kasoro Math's F na Kiswahili C

Trainee

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
2,246
2,869
Binti ana Four ya 28 (arts pure) sasa anataka kujua anachoweza kusomea
>>>Ameambiwa aingie humu achague kozi zinazoendana na ufaulu wake>>>
NIT
DIT
NACTE
 
Maji wameanza kupokea mtu mwenye F ya Mathematics, ebu cheki na Admissions requirements za pale pia.
 
Binti ana Four ya 28 sasa anataka kujua anachoweza kusomea
NIT
DIT
NACTE
Tatizo kubwa liko kwa ''binti'' kutegemea aambiwe asomee nini. Inaonekana anategemea kuambiwa asomee nini ndiyo maana anafeli. Asomee vitu anavyopenda na ambavyo ana uwezo navyo, as simple as that. Ni aibu kwa binti wa miaka 28 kutoweza kuchagua mwenyewe asomee nini na kutegema kuambia na watu.
 
Binti ana Four ya 28 sasa anataka kujua anachoweza kusomea
NIT
DIT
NACTE
Mkuu kwema, Kama physics, chemistry na biology Ana D, mshauri afanye kuomba Radiology ama Dentistry, hizi kozi Zina mkopo kwa level ya diploma, chuo Cha Afya Kibosho kinatoa hizo kozi zote so ni yeye uchaguzi wake asome kozi ipi

Asante
 
Tatizo kubwa liko kwa ''binti'' kutegemea aambiwe asomee nini. Inaonekana anategemea kuambiwa asomee nini ndiyo maana anafeli. Asomee vitu anavyopenda na ambavyo ana uwezo navyo, as simple as that. Ni aibu kwa binti wa miaka 28 kutoweza kuchagua mwenyewe asomee nini na kutegema kuambia na watu.
Sio miaka 28. Point 28.
 
Mkuu kwema, Kama physics, chemistry na biology Ana D, mshauri afanye kuomba Radiology ama Dentistry, hizi kozi Zina mkopo kwa level ya diploma, chuo Cha Afya Kibosho kinatoa hizo kozi zote so ni yeye uchaguzi wake asome kozi ipi

Asante
Hapana, ni arts huyu hajasoma kemia wala fizikia... Ngoja nikaedit
 
Sio miaka 28. Point 28.
Pamoja na hayo mkuu. Mwambie achague mwenyewe anataka nini. Kufeli mtihani ni jambo dogo sana kwenye maisha na pengine hana interest kabisa na mambo ya kusoma tena. Kaa naye kwa taratibu, mchunguze, na kwa pamoja mchague afanye kitu alicho na uwezo nacho na anachokipenda.
 
Pamoja na hayo mkuu. Mwambie achague mwenyewe anataka nini. Kufeli mtihani ni jambo dogo sana kwenye maisha na pengine hana interest kabisa na mambo ya kusoma tena. Kaa naye kwa taratibu, mchunguze, na kwa pamoja mchague afanye kitu alicho na uwezo nacho na anachokipenda.
Asante
 
Back
Top Bottom