Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
Habari wana business!
Leo nataka nitoa mwongozo kamili wa kuanzisha biashara ya matunda , ni biashara ambayo inadharaulika lakini ukikaa kitaalamu ni biashara nzuri yenye faida kubwa ingawa wengi hatuna mpango nayo. Kuanzisha biashara ya matunda inaweza kuwa fursa nzuri ya kibiashara kama...
Habari wana JF.
Kuna idea imekuja gafla hapa nikasema ni share na wana kama niaje unaweza niambia kama its possible or day dreamer. Nowadays nimeona kwa DAR watu wengi wanapenda kucheza PS ila si kwa faida bali waste of time. Nikaona what if PS kitu ambacho wengi wamekizoea na wanashinda nacho...
Habari mawinga wa kkoo kama title inavyojieleza hapo juu.
Nina wazo nikajisemea sio mbaya nije kula na mawinga wa koo tuone tunapataje pesa kwa machimbo ya kkoo ambayo yamekuwa yanakonga vichwa kwa wafanyabiashara tulio wengi.
Biashara ili upate faida kubwa machimbo ni kitu ambacho huwezi...
Habari wataalam, husika na kichwa cha habari hapo juu.
Uwe unajua android sawa sawa bila kusahau laravel framework. NJOO PM, UWE DAR MAANA NATAKA NIONANE NA WEWE LEO LEO.
Habari wazee wa business.
Kwenye kuzurura mtandaoni nimekutana na business idea ambayo inaweza kutumia ata hapa bongo na kufanya vizuri, nimegundua hili baada ya kwenda kkoo kununua vitenge vya jumla nakuona ambavyo sipat faida kubwa kama ningenunua kama team/group. Kuna winga uwaga namtumia...
Habari!
Nahitaji vijana 10 hadi 20 ambao wanajihusisha na kazi ndani ya kariakoo, kwa lugha nyepesi bila kumumunya maneno nahitaji winga wa kariakoo nifanye nao kazi ya kufanya utafiti wa bidhaa husikia ambazo mteja anahitaji kutoka kariakoo kwa bei ya jumla.
Kila chimbo la bidhaa ambalo mteja...
Habari wataalamu wa kilimo na mifugo.
Niende kwenye mada chap kwa haraka bila kupoteza muda, kama title linavyojieleza hapo juu; ni kweli natafuta hao wataalamu nifanye nao kazi ya kusaidia watanzania kwenye kilimo na ufugaji kama biashara kwa kutoa huduma ya ushauri na tiba kutokana na...
Habari wana JF!
Napokea message PM kuhusu platform ya ku invest stock market kwa watanzania, platform nyingi za stock market especially US STOCKS ni kama hakuna zaidi ya TRADING212 ambayo mimi nilijiunga 2020 nilitaka kununua US STOCKS kama AAL, PK, OIL STOCKS. Ambazo zinafanya vizuri sana...
Habari walimu!
Nimeona nitengeneze ajira kwa walimu wa secondary na chuo kikuu kwa kutengeneza APP ambayo mwalimu anaweza kuuza ebook (electronic book) kwa kutumia simu au laptop yake akiwa sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
Nadhani hii itasaidia kupunguza unemployment rate kwenye upande wa...
Habari wasomi. Kama title inavyojieleza hapo juu, nahitaji walimu wa masomo yote ya O-LEVEL & A-LEVEL pamoja na CPA kama wapo. Kwa walimu wa secondary kazi yao kubwa watakuwa wana solve past paper za necta na mock pamoja na kuweka notes.
Kwa baadae nafikiri tunaweza kuanza ku solve pia...
Habari wafanyabiashara! Rejea kwenye kichwa thread.
Kama wewe ni mfanyabiashara wa vyakula kama chips, nyama za kukaanga kama kuku na kitomoto utakuwa umeishanielewa kwa uzuri kuhusu mafuta yalitumika (used cooking oil).
Naanza kununua kuanzia lita 1 kwa sh 700, kama unayo unaweza nichek...
Habari Authors.
Bado naamini kwenye eBook business ili mwandishi aweze kufanikiwa kwenye taaluma yake ya uandishi kutokana na kupunguza gharama ya uchapishaji na kutapeliwa na PUBLISHERS. Nimepata wazo la kukutana na waandishi wa dar kwanza iliniwaze kuwaelezea how ebook business works and how...
Habari wasomi!
Kama title linavyojieleza hapo juu, nahitaji walimu watatu wa PCM ila wale wanawake ambao wanaishi DAR. Kuna project nataka nianzishe so nahitaji TEAM PCM.
Hakikisha kuna somo moja wapo uko vizuri sana ili kila mwalimu adili na somo lake.
Unaweza comment below uko vizuri kwenye...
Habari wa JF!
Leo nitaongelea muendelezo wa biashara ya uandishi wa vitabu, makala nyingi nilielezea biashara ya ebook ambayo mwandishi hawezi kupata hasara kama wanayopata sasa kwa wale wanaouza whatsapp na facebook.
Leo kwenye kupitapita youtube nimeona tangazo la nguli wa ushauri wa...
Habari wana JF,
Ni kitambo kidogo sijaonekana humu JF, leo nimeona nitoe ushauri kwa waandishi wa vitabu; nimepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wakitaka kujua namna ya kuuza vitabu vyao online(e-book) na namna ya kupata jukwaa nzuri la kuuza vitabu vyao bila kutapeliwa na wajuaji online...
Habari walimu!!
Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.