Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
Gharama Zitajulikana na utalipia baada ya mzigo kufika nchini, Kilichoandikwa amazon, "Import Fees on Amazon", ni kama dokezo ila gharama halisi ni baada ya mzigo kufikishwa nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.