An import in the receiving country is an export from the sending country. Importation and exportation are the defining financial transactions of international trade.In international trade, the importation and exportation of goods are limited by import quotas and mandates from the customs authority. The importing and exporting jurisdictions may impose a tariff (tax) on the goods. In addition, the importation and exportation of goods are subject to trade agreements between the importing and exporting jurisdictions.
Habari wana JF. Kuna bidhaa nataka ninunue AMAZON ila bado sijaelewa kwa uzuri kuhusu import fees. Kama kuna mdau alishawai kuagiza bidhaa kutoka Amazoni naomba ufafanuzi zaidi.
Ndio naona hapa nashangaa. Hadi chumvi? Wakati kuna sehemu hadi tunaita uvinza? Mtwara, pwani yote chumvi ipo. Ununio huko naona chumvi. Nani katuloga?
Ifike sehemu hawa vuingozi wetu watuheshimu na wajiheshimu. Ifike wakati aje kiongozi apige marufuku imports za yafuatayo:
1. Maji
2. Chumvi...
Job Title: Program Specialist
Company: The Export-Import Bank of Korea
Location: Alfa Building, Off Alli Hassan Mwinyi Road, Dar es Salaam
Work Hours: 7:00AM ~ 4:00PM
Type of Contract: Fixed time
Duration: One Year (2023. 10. 1 ~ 2024. 9. 30)
Job Purpose:
Support the Official Development...
Habari wakuu,
Kuna rafiki yangu anataka kununua tani 100 za maharage toka Uganda.
Naomba kujua kama kuna tax duties yeyote ambayo atalipa. Pia, kama ipo, naomba kujua ni asilimia ngapi ya gharama ya mzigo.
Natanguliza shukrani zangu kwa wote ambao mtatumia mda wenu kunisaidia.
Asante.
We are NEW DOUBLE OCEAN LOGISTICS COMPANY LTD, a registered and licensed clearing and freight forwarding company in Tanzania.
We provide cargo and car clearance from dar es salaam port and other ports within Tanzania and transport to their destinated countries at affordable prices.
Our...
Naomba msaada nimeona soundcard nzuri Ebay bei yake ni nzuri ukiacha na shiping cost kuna icho nakisikiaga custom fee na Import fee zikoje kwa bidhaa ka hiyo ninayotaka?
Awali ya yote nipende kuwashukuru,
Siku ya leo Nimepata maswali kidogo mara Baada ya DHL kunipa invoice ya 33% ya bei ya bidhaa (Import Duty Tax) ya Tarakilishi mpakato ama Computer,
Nilijaribu kurejea Hotuba ya Mh Nape,Tarehe 14 ya mwezi Marchi katika maadhimishi ya Wizara ya Teknolojia ya...
The deputy secretary general of Lebanese resistance movement Hezbollah says the group’s import of Iranian fuel into Lebanon perplexed the US administration and its siege on Lebanon.
In an interview with al-Manar TV Channel on Friday, Sheikh Naim Qassem said the Iranian fuel shipments prompted...
Kwa mara ya kwanza Tanzania yauza bidhaa nyingi Kenya na kuimports kidogo # source the citizen and Central bank of kenya
=====
Tanzania’s exports to Kenya have exceeded its imports to the East African Community (EAC) partner state for the first time in decades, signalling improved trade flows...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.