💥💥NIZAR COMPUTERS ACCESSORIES💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
KARIBUNI SANA SISI TUNAUZA NA TUNATOA HUDUMA YA VITU MBALIMBALI IKIWEMO;
1:KAZI NA MALIPO YA VITU AU PESA TASILMU ,Kwa wewe mwanachuo au raia nadhani unapenda kufanya kazi na watu wanaojari na UJIRA wao ni mzuri.Sasa fursa ni yako ukitaka kumiliki...
Tupigie tuje kukutengenezea Laptop/Desktop iwe Mac au Windows PC
Ofisini/Nyumbani.
Pia Tunauza Spare za Laptop/Macbook kama
Batteries
Chargers
Keyboard
Housing
Hdd/SSD/Ram Memories
Softwares Mbalimbali
Tupo Ilala - Dsm
0718290779
Tupigie tuje either Nyumbani au ofisini tuje kukuchekia Computer yako kama ni mbovu,
Pia Tunauza Spare za Laptop na Desktop aina zote,
Keyboard za Laptop
Battery za Laptop/Desktop
Charger za Laptop/Macbook
Hdd/SSD/Ram memory
Housing za Laptop
Screen za Laptop
Monitor Fremless
Tupo Ilala - Dsm...
Habari wadau, poleni na kazi.
Hivi mwalimu aliyesoma Mathematics na IT chuo anaweza kufundishia Computer science Kwa ngazi ya A-Level?
Nawasilisha mada.
Habari za mda huu wakuu... Nimeona niulize swali hili pia kwa manufaa ya wengine wanaopenda kusoma kozi za programming kama (Cyber security) .Je, computer ya mtu Huyu inatakiwa iwe na sifa zipi angalau.
1. Washa hotspot yako ili uweze kuunga simu yako na computer/ laptop hii ni free haihitaji kuwa na data/ bando kwenye simu yako
2.ingia kwenye Xender yako gusa neno Connect to PC itakupeleka sehemu hii hapo picha ya pili kwa chini
3.Kuna number hapo kwenye steps 3 izo ni web address...
LAPTOP ZA BEI NAFUU ZAIDI
KWA PICHA ZA LAPTOP NICHEK INBOX NITUMIE JINA LA LAPTOP
HP PROBOOK X360
ITEL
SSD 128
RAM 4GB
BEI 335,000 🔥🔥🔥🔥
DELL 3189
SSD 128
RAM 4GB
BEI 350,000🔥🔥🔥🔥
HP 640G1
CORE i5
HDD 500
RAM 4GB
BEI 400,000🔥🔥🔥🔥🔥
HP FOLIO
9470
CORE i5
HDD 320
RAM 4GB
BEI 400,000🔥🔥🔥🔥
HP...
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.
Mimi ni Computer Technician pia Web developer, nina skills na experience ya kutosha kwenye computer maintanance na web development and designing
Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Python & Django...
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili),
Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi?
Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
Kama una Computer mbovu na unahitaji fundi bingwa asiyeshindwa nichek. Pia tunauza Accessories za Computer aina zote. Fundi anaweza kuja ulipo kufanya kazi.
Office ipo ILALA - DSM
0718290779
Position: Data Analyst and Computer Technician (DACT)
Job purpose
The Data Analyst and Computer Technician will provide support on programme data analysis and learnings, IT technical support and proactively leading and implementation of our HAT Data Protection and General Data Protection...
Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa.
Wahandisi hawa wanazingatia kuunganisha vifaa(hardware) na programu(software) katika mfumo mmoja...
Watalaaam kwemaa
kama kichwa cha habari kinavyo sema,
Zaman mm nilikuwa mtumiaji mkubwa wa sites kama pirrate bay kwa ajili ya ku download movies na softwares mbali mbali , lkn siku izi nimekuwa nikipata shida sana kupata softwares ambazo (cracked)., naomba msaada wenu wataala kama kuna anaye...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba...
Hello,
Tunatoa mafunzo ya computer kwa walimu wa hesabu ili kuwezesha kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.
Jinsi ya kutumia digital tools kuandaa graphs, diagrams na kupata step by step solution using AI tools.
Mawasiliano : 0689917513
Ni muhimu kukumbuka kuacha computer inayotumiwa na wengi ikiwa safi na vilevile taarifa zako zikibaki kwenye account yako bila kujulikana kwa wengine.
Nimetoka kwenye stationery moja mitaa ya Ubungo karibu na hostel za chuo kikubwa zilizojengwa kwa matofari ya kuchomwa.
Kuna mdau ameacha kila...
Wanajamvi habari za leo, nataka kufanya Masters in Computer security online, nimepata collage moja ipo spain inaitwa tech technological university, wapo nchini spain na wamekuwa wakinipigia simu mara kwa mara ili nijiunge nao.
Sasa kabla sijafikia maamuzi naomba ushauri kwenye hili jambo kama...
Epuka windows iliyo chakachuliwa kwenye computer yako maana inaweza kuharibu data zako namaanisha zile windows cracked na je umeshindwa jinsi ya kupata software uliza pia ntakujibu na kukuelekeza kwa usahihi jinsi ya kufanya booting na kudownload drivers.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.