engineering

Engineering is the use of scientific principles to design and build machines, structures, and other items, including bridges, tunnels, roads, vehicles, and buildings. The discipline of engineering encompasses a broad range of more specialized fields of engineering, each with a more specific emphasis on particular areas of applied mathematics, applied science, and types of application. See glossary of engineering.
The term engineering is derived from the Latin ingenium, meaning "cleverness" and ingeniare, meaning "to contrive, devise".

View More On Wikipedia.org
  1. daizouh

    Chuo Gani Tanzania kinatoa Master degree in electrical engineering by coursework and dissertation

    Jamani nahitaji kujua chuo kilichopo Tanzania kinachotoa master degree in electrical engineering by coursework and dissertation
  2. MINING GEOLOGY IT

    Teknolojia( Nature of offshore geotechnical engineering) ya uchimbaji mafuta na gesi unavotumika baharini.

    Nature of offshore geotechnical engineering ni utaalamu unaohusiana na uchunguzi na uhandisi wa vifaa vya ardhi chini ya bahari. Maana yake, inazingatia sifa za ardhi, tabia za udongo, mchanga, na miamba chini ya bahari, pamoja na mazingira ya bahari kama mawimbi, mkondo, na athari za mchanga...
  3. Jamii Opportunities

    Lecturer (Maritime Transport/Marine Engineering) at Dar es Salaam Maritime Institute

    POST LECTURER (MARITIME TRANSPORT/MARINE ENGINEERING)(RE-ADVERTISED) – 1 POST EMPLOYER DMI APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach and conduct seminars up to NTA level 9 (Master Degree); ii. To guide and supervise students in building...
  4. SankaraBoukaka

    Kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering naweza kufanya haya?

    Habari wandugu, Je kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering (namaanisha Certificate, Diploma au ni lazima iwe Bachelor Degree) mtu anaweza kufanya yafuatayo:- Kufanya Diagnosis, Ku-interpret na ku-analyse data Engine swapping ECU Remapping Electrical system maintainance Mechanical...
  5. D

    Natamani kusoma Mechanical Engineering, naomba ushauri

    Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo Phy D math D chemia C Biology C. Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee mechanical engineering badala ya kwend advance maan combination zinabalance arts na mm Sina Nia ya kusoma arts
  6. Mwakinyo makini

    Ndoto yangu ni kuja kusomea Uinjinia wa ndege

    Habari wadau wa JF, Natumai mu wazima. Mimi ndoto yangu ni kuja kusomea uengineer wa ndege ila sina idea sana kuhusu hiyo kozi kwa hapa Tanzania. Nimejaribu kutafuta ma experts wa io kozi sijapata na pia mitandaoni wanaongelea juu juu. Jivyo nilikua naomba kama kuna mtu anaejua zaidi kuhusu...
  7. Inyasi Priscusi

    Chuo kinachotoa certificate in Biomedical engineering

    Kama kichwa cha mada kinavyoeleza,naombeni wanajukwaa mnifahamishe chuo gani kinatoa certificate ya hiyo course na fee structure imekaa je?. Asanteni
  8. Onny Alex

    Mwongozo wa Kazi ya Mhandisi wa Kompyuta (Computer Engineer Career Overview)

    Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa. Wahandisi hawa wanazingatia kuunganisha vifaa(hardware) na programu(software) katika mfumo mmoja...
  9. S

    Natafuta chuo kinachofundisha Aircraft Mechanical Engineering Canada

    Wadau mnaendeleaje, Kijana wangu anapenda ,course ya Aircraft Eng, nilipenda kozi aisomee nje ya nchi hasa canada, Je kuna mtu yeyote anafahamu vyuo vinavyo toa kozi hii na gharama zake ikiwezekana. Asanteni
  10. F

    CPA graduation ina Best student, why Law school haina Best student, why Engineering board haina Best student?

    Habari wadau? Najiuliza why board ya uhasibu ina best students kwenye mitihani yao ya kupata CPA Why Law school haina mambo ya nani best student? Why ERB haina mambo ya best student?
  11. Sirleh94

    Civil Technician/Civil Engineer

    Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma in Civil Engineering mwaka 2017 pia namalizia masomo yangu ngazi ya Bachelor in Civil Engineering katika chuo cha DIT. Kwa sasa natafuta nafasi ya kazi katika kampuni ama mradi wowote kama Civil Technician au pia hata kufanya kazi za...
  12. A

    Kwa ufaulu huu, je naweza kupata nafasi ya kusoma Bachelor Degree in Civil Engineering hapa Tanzania?

    Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1. Sasa swali langu ni kwamba je, TCU wanaangalia overall GPA ya miaka yote mitatu ya diploma aliosoma au ya mwaka wa mwisho? Maana siku za dirisha...
  13. WeedLiquorz

    Bachelor of Technical Education in Civil Engineering

    Salaam WanaJamii. Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course; #Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?) #Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)? #Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja. #Wanaweza kufanya Shughuli zipi mtaani na kwenye mataasisi? Kingine chochote ukijuacho nje ya hivyo unaombwa...
  14. Akili Biyengo

    Hydro- Geology and Water-Well Drilling vs Water Supply and Sanitation Engineering

    Habari ndugu zangu, Wenye ujuzi hapo juu naombeni kufahamu niende kozi ipi kati ya hizo mbele hasa yenye ajira na ujira kwa nchi yetu hii. Nitashukru kama nitapata ufafanuzi mzuri
  15. draxer777

    Msaada: Tofauti kati ya kozi ya civil and transport engineering na civil engineering ni ipi?

    Wakuu naombeni kufahamu course ya civil and transport engineering na civil engineering tofauti wa hizi course ni nini?
  16. Brightly

    Natafuta Kazi Civil Engineering

    Habarii ndugu zangu Watanzania,Mimi ni mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii (ordinary diploma in civil engineering) kutoka chuo Cha ufundi Arusha mwaka 2020.Natafuta kazi kwenye sekta binafsii au hata kama mtu anawezaa kujitolea kunipa connection serikalini Nitashukuru maisha mangumu mtaanii.
  17. venossah

    Kwa mwenye uelewa juu ya kozi hizi: Biomedical equipment engineering na dip In science and laboratory tech

    Habari za wakat huu wakuu Kwa mwenye uelewa juu ya kozi hizo hapo juu Kwanza zinahusiana na nini hasa Pili ipi ni bora zaidi ya ingine Tatu upande wa kujiajiri ukoje Nne vyuo vinavyotoa kozi hizo zaidi ya DIT ni wapi kwingine? Natanguliza shukran
  18. BARD AI

    Mtanzania Gibson Kawago kuwania Tsh. Milioni 74.7 za Royal Academy of Engineering ya Uingereza

    Nyota ya Mtanzania, Gibson Kawago imeendelea kung’ara baada ya kutajwa katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya ubunifu katika uhandisi Afrika inayoratibiwa na Chuo cha Uhandisi cha Uingereza - Royal Academy of Engineering. Wabunifu watatu wengine wanatoka Nigeria, Afrika Kusini na Uganda...
  19. Tonny Mgonja

    Vyuo vinavyofundisha software engineering Tanzania

    Naombeni mnitajie list ya vyuo vinavyofundisha software engineering kwa hapa Tanzania na pia naombeni ushauri kuhusu hii programme.
Back
Top Bottom