Hii kozi ya
Bachelor of Science
in Agricultural
Economics and
Agribusiness ina husiana na nini pia soko lake likoje,pia nahitaji kufahamu kama ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa
Kwenye hii ngoma yako kama ingekuwa ni demu basi ni Beyonce Knowles. Na kama ingekuwa mchezaji wa mpira wa miguu basi ni Said Mwamba Kizota au Haruna Moshi Boban.
A very catchy melody . Ni aina ya wimbo ambao hata ukiusikia kwa mara ya kwanza unakukumbusha sehemu ambayo...
Bado sijapata leseni.
Experience: 1 month, internship SUN PHARMACEUTICAL INDUSTRIES LTD. (section: Production and quality functions).
Looking for any opportunity available especially in industries and pharmacy, including volunteer.
Ninapatikana DAR ES SALAAM.
Contact: 0675 111 890
Habari wadau wa jf, nimemaliza six mwaka jana mwezi wa 5 mchepuo wa HGE nina ka one ya 9 with c flat. lakini nilishindwa kujiunga chuo mwaka huo kutokana na kushughulikia masuala yangu ya kiafya .
Moja ya course nilizokuwa nazifikiria mwaka jana ni land management and valuation na statistics...
Kuna watu wana Certificates tu lakini maisha wamewin. Wanaendesha maisha vizuri sana. Msing'ang'anie kusoma program ambazo zitawaweka mitaani.
Unatakiwa tu uwe umeamua kuacha kutumia akili kabisa. Utumie tu ulimi kulamba makalio ya wakubwa na sole za viatu vyao in Public.
Hutakiwi kuwa na...
Wakuu habari zenu.
Mimi naomba msaada kwa anayejua ni maeneo yapi ambako naweza fit kwaajili ya kufanya field ya bachelor of science in applied biology kwa mbeya au Arusha.
Msaada please kama utakuwa na idea naomba ushee nami🙏✍️
Habari zenu,
Kijana ambae hujaoa na wala hauishi na Mwanamke ndani, unafanya mapenzi mara ngapi kwa mwezi?
MLIOOA /SOGEA TUISHI PITENI KIMYA KIMYA HUU UZI HAUWAHUSU.
Je, ipi ni kozi bora na mzuri kati ya bachelor of economics and finance na bachelor of banking and finance
Na ningependa kujua kozi hizo zinatoa kazi gani. Yaan ukisoma kozi mojawapo ya hizo unakuwa nani?
UDOM nimeona wameijumuisha kozi ya Bachelor of pharmacy katika dirisha hili la nne la udahili ..hivyo basi hh ni ni fursa adhimu kwa ndugu zetu ambao bado hawajapata chuo na pia wenye ndoto za kusomea ufamasia kuweza kujaribu nafasi .mungu awatangulie .Naomba kuwasilisha
(Bachelor's of art in philosophy and political science)
mdog wang amechaguliw hii koz ninaomba ufafanuz wa mambo atakayo jifunza na fursa zake kweny soko la ajira!
Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1.
Sasa swali langu ni kwamba je, TCU wanaangalia overall GPA ya miaka yote mitatu ya diploma aliosoma au ya mwaka wa mwisho?
Maana siku za dirisha...
Salaam WanaJamii.
Naomba kujuzwa zaidi juu ya hii Course;
#Wahitimu ni Waalimu (wa Ngazi gani?)
#Je ni Ma-Engineer (kwa viwango gani)?
#Au ni Walimu na MaEngineer kwa wakati mmoja.
#Wanaweza kufanya Shughuli zipi mtaani na kwenye mataasisi?
Kingine chochote ukijuacho nje ya hivyo unaombwa...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji msaada wa maelezo wa uwanda wa ajira kati ya kozi Bsc in Environmental health science na Bsc in Environmental Science and managememt.
Je ipi ni bora?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.