sofa

A couch, also known as a sofa, settee, futon, or chesterfield (see Etymology below), is a piece of furniture for seating two or three people. It is commonly found in the form of a bench, with upholstered armrests, and often fitted with springs and tailored cushions. Although a couch is used primarily for seating, it may be used for sleeping. In homes, couches are normally put in the family room, living room, den or lounge. They are sometimes also found in non-residential settings such as hotels, lobbies of commercial offices, waiting rooms, and bars.

View More On Wikipedia.org
  1. Walt white

    Nina changamoto ya usikivu hafifu. Natafuta kazi; ikiwa ya kutengeza sofa itanifaa zaidi

    Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri. Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa...
  2. cold water

    Naomba msaada wa kunichagulia sofa zuri kati ya izi

    Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi. Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu..... Asante.
  3. Lexus SUV

    INAUZWA Bed sofa ya chuma inauzwa, ipo Moshi Mjini

    Bed sofa ya chuma 5kwa6. Bei nafuu kabisa 250,000 rangi hiyo... Mawasiliano. 0672701329....au.....0756294771.... Asanteee.... Wako katika biashara mtandao...
  4. Lexus SUV

    Karibu GCC company limited, watengenezaji wa bidhaa zinazotokana na mbao

    GCC COMPANY LIMITED ..DEALS WITH FURNITURES AND BED SOFA and more...... MAKING-TUPO , KCMC MAPIPA ROAD MOSHI-KILIMANJARO. Huduma zetu : 1. Kutengeneza makabati ya nguo (dress table included) , showcase za TV , kitchen cabinet , pallet , valvet , bed sofa , BED BOX , SOFA za kukalia , Na...
  5. Sky Eclat

    Kila kitabu na zama zake, corner sofa ndiyo habari ya mjini leo.

    Corner sofa ndiyo habari ya town, ukiongeza na flat screen ukutani na TV table ya mstatiri. Uzuri wa corner sofa mgeni anaweza kulala mpaka asubuhi omba tu asiwe kikojozi. Kwa kweli ni mfuko tu lakini corner sofa ya ngozi inapendeza na inadumu kwa muda mrefu. Ukiwa na ukuta mweupe blue...
  6. LA7

    Ni kitanda gani kizuri; mbao, chuma au sofa?

    Ni kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue Hatimaye kama nilivyonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa mimi na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox MUNGU ASIFIWEEEE
  7. Ester505

    Watengenezaji sofa msaada

    Heshima kwenu. Naomba kujua kuhusu mbao zinazotumika kutengenezea sofa. Je ni mbao ngumu au Kuna aina nyingine???
  8. Nyuki Mdogo

    Dar - Mbezi Msuguri; Nauza Friji kubwa na ya kisasa (brand samsung) na SOFA nzuri sana (Leather sofa)

    Hello ladies and gentlemen hizi hapa mali safi kabisa Friji iko mwake mwake kama unavyoiona.. Bei 750,000 Tuwasiliane Mbezi kwa Msuguri
  9. K

    INAUZWA Sofa set fior sale in Tanga

    Price 850000/= call 0787103846. Bargaining room for serious buyers ipo.
  10. collinswilliam63

    Msaada wa vitambaa vya sofa

    Habari, Naomba msaada wa kufahamishwa wapi naweza pata vitambaa vizuri vya sofa vinavyodumu kwa muda mrefu na bei yake. Nitashukuru sana kwa msaada wenu. Ahsante
  11. Sky Eclat

    Sofa bed ya mbao

    Sofa bed inafaa sana pale hali ya uchumi inapokuwa na changamoto na unalazimika kupanga chumba kimoja. Unaamka asubuhi unaangalia vitu vyote unavyomiliki. Kuna kitanda, jiko, ndoo ya kuogea na ndoo ya maji ya kupikia. Kuna wale wanaosoma mchana anahitaji kuwa na meza ya kusomea na wengine...
  12. A

    INAUZWA Sofa used zinauzwa

    Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
  13. Jestinar

    INAUZWA Sofa bed inauzwa

    NAUZA SOFA BED HALI NZURI SIZE 5 KWA 6 KIPO BAGAMOYO ZINGA BEI 200,000/= CALL 0624257466
  14. Sky Eclat

    A sofa from 1987 from Bolognese designer

    Sofa (part of a set),ca. 1835 Designed by Filippo Pelagio Palagi This sofa and two armchairs (1987.62.2, .3) are from a set of furniture that also included a daybed, six side chairs, and two additional armchairs. The set was designed by the Bolognese architect Filippo Pelagio Palagi, who in...
  15. ElietSe

    INAUZWA Sofa inauzwa

    Sofa set inauzwa ipo kwenye hali nzuri. Ipo Arusha. Bei 350,000 tshs.
  16. Jemimah cindy

    INAUZWA Tunauzwa vitu mbalimbali (Pazia, Chuma za Pazia, Net, Kava za Makochi, Mashuka nk)

    Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi? SALE SALE SALE Sofa la mmoja ni 30000 Sofa la wawili ni 44,000 Sofa la watatu ni 54,000 ●Tuma kochi zako WhatsApp 0713691101 upate ushauri na sample za cover zilizopo 1: Hazipauki wala kuchuja...
  17. Jemimah cindy

    Helo am new here,

    Helo am new here, naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara, asanteni
  18. Playman

    INAUZWA Sofa zinauzwa

    Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili ) Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu. Piga 0742141467 Bei Tshs 100,000 Maelewano yapo
Back
Top Bottom