A couch, also known as a sofa, settee, futon, or chesterfield (see Etymology below), is a piece of furniture for seating two or three people. It is commonly found in the form of a bench, with upholstered armrests, and often fitted with springs and tailored cushions. Although a couch is used primarily for seating, it may be used for sleeping. In homes, couches are normally put in the family room, living room, den or lounge. They are sometimes also found in non-residential settings such as hotels, lobbies of commercial offices, waiting rooms, and bars.
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.
Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa...
Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi.
Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu? Nina wasiwasi na kuharibika miguu yake, yaani iyo miguu ya sofa. Nasoma comments zenu.....
Asante.
Bed sofa ya chuma 5kwa6. Bei nafuu kabisa 250,000 rangi hiyo...
Mawasiliano. 0672701329....au.....0756294771....
Asanteee....
Wako katika biashara mtandao...
GCC COMPANY LIMITED ..DEALS WITH FURNITURES AND BED SOFA and more...... MAKING-TUPO , KCMC MAPIPA ROAD MOSHI-KILIMANJARO.
Huduma zetu :
1. Kutengeneza makabati ya nguo (dress table included) , showcase za TV , kitchen cabinet , pallet , valvet , bed sofa , BED BOX , SOFA za kukalia ,
Na...
Corner sofa ndiyo habari ya town, ukiongeza na flat screen ukutani na TV table ya mstatiri.
Uzuri wa corner sofa mgeni anaweza kulala mpaka asubuhi omba tu asiwe kikojozi.
Kwa kweli ni mfuko tu lakini corner sofa ya ngozi inapendeza na inadumu kwa muda mrefu.
Ukiwa na ukuta mweupe blue...
Ni kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue
Hatimaye kama nilivyonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa mimi na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni
Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox
MUNGU ASIFIWEEEE
Habari,
Naomba msaada wa kufahamishwa wapi naweza pata vitambaa vizuri vya sofa vinavyodumu kwa muda mrefu na bei yake.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Ahsante
Sofa bed inafaa sana pale hali ya uchumi inapokuwa na changamoto na unalazimika kupanga chumba kimoja. Unaamka asubuhi unaangalia vitu vyote unavyomiliki. Kuna kitanda, jiko, ndoo ya kuogea na ndoo ya maji ya kupikia.
Kuna wale wanaosoma mchana anahitaji kuwa na meza ya kusomea na wengine...
Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
Sofa (part of a set),ca. 1835
Designed by Filippo Pelagio Palagi
This sofa and two armchairs (1987.62.2, .3) are from a set of furniture that also included a daybed, six side chairs, and two additional armchairs. The set was designed by the Bolognese architect Filippo Pelagio Palagi, who in...
Je Umechoka muonekano wa sofa zako na ungependa kuzipa muonekano wa tofauti na wakisasa zaidi?
SALE SALE SALE
Sofa la mmoja ni 30000
Sofa la wawili ni 44,000
Sofa la watatu ni 54,000
●Tuma kochi zako WhatsApp 0713691101 upate ushauri na sample za cover zilizopo
1: Hazipauki wala kuchuja...
Sofa zinahitaji kufanyiwa ukarabati, kubadilishwa kitambaa. Yako mawili (La mtu mmoja na watu wawili )
Zipo, Dar es salaam, Mbezibeach, Tangibovu.
Piga 0742141467
Bei Tshs 100,000
Maelewano yapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.