Nina changamoto ya usikivu hafifu. Natafuta kazi; ikiwa ya kutengeza sofa itanifaa zaidi

Walt white

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
236
591
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.

Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.

Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.

Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.

Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
 

Attachments

  • FB_IMG_1710454454424.jpg
    FB_IMG_1710454454424.jpg
    71.2 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1709333474472.jpg
    FB_IMG_1709333474472.jpg
    41 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1707600620005.jpg
    FB_IMG_1707600620005.jpg
    41.9 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1707600534709.jpg
    FB_IMG_1707600534709.jpg
    17.8 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1707600528680.jpg
    FB_IMG_1707600528680.jpg
    35 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1707600518207.jpg
    FB_IMG_1707600518207.jpg
    37.1 KB · Views: 3
  • IMG-20231001-WA0008.jpg
    IMG-20231001-WA0008.jpg
    55.1 KB · Views: 4
  • IMG-20231001-WA0007.jpg
    IMG-20231001-WA0007.jpg
    31.4 KB · Views: 3
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.

Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.

Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.

Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.

Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
Mungu akusaidie,ila ungeweza kuweka na picha kidogo za kazi ulizowahi kufanya za sofa itapendeza sana
 
nimesikitika. tuliwahi kumuajiri mdada wa kazi ana hiyo hali. tulimvumilia na kuishi naye kwa upendo mwingi.
bahati mbaya sana nchi uliyopo ndio mtihani zaidi. ila nadhani kuna vifaa vile huwa mnawekewa kwa lengo la kuongeza usikivu. umewahi kufuatilia hilo?
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.

Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.

Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.

Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.

Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
 
nimesikitika. tuliwahi kumuajiri mdada wa kazi ana hiyo hali. tulimvumilia na kuishi naye kwa upendo mwingi.
bahati mbaya sana nchi uliyopo ndio mtihani zaidi. ila nadhani kuna vifaa vile huwa mnawekewa kwa lengo la kuongeza usikivu. umewahi kufuatilia hilo?
Asante mkuu, vile vifaa vinaitwa hearing aid nimeshatumia hasa wakati nipo shule, bahati mbaya havijawahi kunisaidia wala sidhani kama vimeshamsaidia mtu mwenye tatizo kama langu kwani kazi yake ni kuongeza tu sauti
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wamiaka 24 kwasasa, elimu yangu ni kidato cha nne ambapo nilifaulu vizuri ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kutosikia vizuri.

Baada ya kumaliza shule mwakav2015, kuanzia 2017 nilianza rasmi kujifunza kutengeneza sofa katika ofisi za ndugu zangu ambapo mpaka sasa nilipofika nina ujuzi wa kutosha kutengeza sofa na vitanda vya sofa.

Changamoto ni kwamba hapa nilipo nakosa kazi zangu binafsi kutokana na hali yangu niliyonayo naishia mara moja moja kufanya kazi za mafundi wenzangu kwa malipo kiduchu ambayo kiukweli yanashindwa kunitoa hapa nilipo kwani bado nakaa nyumbani kwa ndungu zangu.

Naandika uzi huu kuwaomba wana jamiiforums wenye uwezo kunisaidia kupata kazi iwe kama hii niliyo na ujuzi nayo ama yoyote nipo tayari kwani nahitaji nijikwamue nijitegemee na mimi.

Mawasiliano yangu 0788362088 itapendeza ukinitumia sms maana hatutoweza kusikilizana vizuri kwa simu, nipo Dar.
Unaweza kunibadilishia cover mpya kwa hizi sofa na utanifanyia bei gani? Cherehani ipo nyumbani so unakuja kufanyia kwangu na itachukua mda gan? Ni imported so nataka kazi nzur kitambaa nnacho mwenyewe
 

Attachments

  • 20240311_145758.jpg
    20240311_145758.jpg
    1.4 MB · Views: 4
  • 20240311_145750.jpg
    20240311_145750.jpg
    1.5 MB · Views: 4
  • 20240311_004657.jpg
    20240311_004657.jpg
    1.2 MB · Views: 4
mimi nina tatizo kama la mtoa post icho kifaa hakisaidii kwani tatizo lake sio masikio bali ni kichwa ukimuongelesha anakisikia ila haluelewi kama tunavyojua sauti hutoka kwa mfumo wa mawimbi na kazi ya ubongo ni kuyachakata mawimbi kuwa kitu kinachoeleweka ila ufanisi wetu ni hafifu mfano mtu anakuita jumaa unamgeukia alafu anakuambia mama kasema fusgajsjksjbska hapo kwenye fusgajsjksjbska ndio kimbembe lazima umuombe arudie na anaweza kurudia na bado ikawa changamoto kingine bila kumuangalia usoni mdomoni huelewi asemacho hata ukiongea kwa sauti nyuma yale haelewi ila anasikia unaongea.
nimesikitika. tuliwahi kumuajiri mdada wa kazi ana hiyo hali. tulimvumilia na kuishi naye kwa upendo mwingi.
bahati mbaya sana nchi uliyopo ndio mtihani zaidi. ila nadhani kuna vifaa vile huwa mnawekewa kwa lengo la kuongeza usikivu. umewahi kufuatilia hilo?
 
Back
Top Bottom