IbrahimTechNerd
Member
- Aug 4, 2021
- 60
- 54
Habari wakuu,
Nimekuja mbele zenu kuomba msaada wa ajira. Mimi ni kijana wa miaka 23, nina astashaada ya ICT lakini natafuta kazi yoyote ya kwenda na kurudi ( kasoro kazi ya kuuza bar tu ),
Pia nina ujuzi wa
Namba zangu
0624951695
0757376316
Nipo Dar es salaam Mbagala kuu.
Nimekuja mbele zenu kuomba msaada wa ajira. Mimi ni kijana wa miaka 23, nina astashaada ya ICT lakini natafuta kazi yoyote ya kwenda na kurudi ( kasoro kazi ya kuuza bar tu ),
Pia nina ujuzi wa
- Kutoa password za simu za button
- Kutoa frp lock kwa android phones
- Kutafasiri movies
- Ku maintain website
- Kubadilisha file ( android )
- Computer software and hardware maintenance zote nafanya.
- Networking pia niko vizuri.
Namba zangu
0624951695
0757376316
Nipo Dar es salaam Mbagala kuu.