Shambulio la kundi la watu dhidi ya makazi ya Kikristo nchini Pakistan linaonyesha hitaji la mamlaka kuchukua hatua za haraka ili kulinda dini ndogo dhidi ya vurugu, Human Rights Watch ilisema leo. Serikali za shirikisho na mikoa nchini Pakistani zina wajibu wa kuchunguza na kuwashtaki ipasavyo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kutoka kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakati wa Kikao kilichofanyika Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 17 Agosti, 2023.
WANANCHI MOROGORO WAUMWAGIA SIFA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA ANWANI ZA MAKAZI
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Morogoro.
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeendelea kutoa elimu kuhusu majukumu yake na huduma inazotoa kwa wananchi kupitia sekta ya Habari, Mawasiliano na TEHAMA...
Siku chache baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutoka Simiyu kudai kuwa Wananchi wa Mtaa wa Majengo, Halmashauri ya Bariadi wako katika wakati mgumu kutokana na harufu kali na chafu inayotoka kwenye jalala ambalo pia limetawaliwa na moshi mwingi kutokanana uchomaji taka unaofanyika kila siku...
Wananchi wa Mtaa wa Majengo, Kata ya Bariadi, Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu wako katika wakati mgumu kutokana na harufu kali na chafu inayotoka kwenye Dampo la takataka ambalo Halmashauri imelianzisha katikati ya makazi yao.
Mbali na harufu kali, Wananchi hao wanalalamikia...
Sensa ya watu na makazi ni zoezi muhimu linalofanywa na serikali kwa lengo la kukusanya takwimu sahihi na za kina kuhusu idadi ya watu na makazi, na tabia zao.
Sensa hutoa taarifa muhimu kwa maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika maeneo kama mipango ya maendeleo, usimamizi wa rasilimali,na...
Tukisema hii kada inadharaulika mnanijia juu, yani mpaka wananchi wameamua kujichanga kumjengea banda la kulala
UALIMU ni kada ya ajabu haijawahi kutokea. Hapa bongo mimi naapa bora niwe nadeki vyoo vya wafungwa na kusafisha ndoo za uharo kuliko kuwa kwenye hii kada loooh
Mbunge wa Kilosa, Profesa Palamagamba Kabudi amesema wananchi wa Jimbo la Kilosa wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa kwa tembo kuvamia mashamba na kuharibu mazao na miji ya watu na kwa muda mrefu wananchi hao hawajalipwa kifuta machozi kutokana na uharibifu huo.
Pia, ameomba Wizara ya Maliasili...
MARTHA FESTO MARIKI AITAKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI KUBORESHA MAKAZI YA POLISI NA MAGEREZA
"Katika Mkoa wa Katavi katika Jeshi la Zimamoto tuna takribani zaidi ya miaka 12 hatuna gari la uhakika la Zimamoto. Mkoa unakua, Serikali imewekeza ikiwepo Bandari. Mkoa unapokea wafanyabiashara wengi...
Ni watu ambao kwa kipindi hicho walitupa hamasa na tukaona watafika mbali sana kwenye ujasiriamali lakini mambo ymekuwa ndivyo sivyo kwa wengi hasa wakivuka 30
Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa
Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo...
Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa (UN) limeeleza mapigano ya kuwania madaraka yanayoendelea Nchini hapo yamesababisha Watu zaidi ya milioni moja kuyahama makazi yao na kwenda katika maeneo salama ndani ya Sudan huku wengine 320,000 wakikimbia Nchi jirani za Misri, Sudan Kusini, Chad...
Sensa ya watu na makazi ni zoezi muhimu sana katika kuhakikisha kuwa serikali inapata taarifa sahihi za idadi ya watu na makazi katika nchi. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto kubwa katika suala la kufikia malengo ya sensa kutokana na ukosefu wa utawala bora na uwajibikaji.
Serikali inahitaji...
Watanzania kama sio kukosa exposure basi ujinga unatutesa sana na kuna siku utakuja kutugharimu sana
Wiki iliyopita nilikuwa Dodoma nimeangalia namna ya Jiji la Dodoma lilivyopangwa na kusema kweli nimesikitika sana.
Hii nchi kuna siku yatatukuta ya Haiti wahuni wanaingia kwenye makazi ya Rais...
Moja ya ya vipande ambayo vinasheeni makazi katika tazam road ni dsm to morogoro km 195na mbeya to makambako km 172 vina fanana ni vipande ambayo baada ya miaka mitano makazi yatakuwa yameungana kutokana na ukuaji wa vimiji vya barabarani
Mvua kubwa ilisababisha uharibifu kwenye Big Apple mwishoni mwa juma, mvua iliyokaribia mfululizo ilipofurika mitaa ya jiji na kusababisha ukuta wa jengo la makazi kuporomoka huko Bronx.
Madereva walinaswa katikati ya maji yaliyokuwa yakiongezeka kwa kasi kwenye barabara kote jijini na wakaazi...
BOMOA BOMOA YA MAKAZI
KILIO CHA WATANZANIA
Utangulizi
Bomoa bomoa ya makazi imekuwa ni kilio kikubwa kwa watanzania. jambo ambalo limesababisha adhali nyingi sana kwa wananchi na kupelekea wengi wao kukosa makazi kwa kubomolewa makazi yao na kuangukia kwenye umaskini wa kupindukia...
Wengi huwa tunajenga makazi yetu ya kuishi kutokana na ukubwa wa vipato vyetu; wapo watakao jenga kwenye eneo la 10x10m, 20x 30m, 40 x 50m n.k
Pia, wapo watakaojenga kwenye eneo la ekari 5, 10, 20 n.k
Ila kwa mtazamo wangu; mimi naona makazi bora ni kujenga kwenye eneo lenye angalau ekari 10...
Yaani Hii Nchi hata waliokuwa wanapanga Miji ni wapuuzi sana,Kuna maeneo mengi sana ni hatarishi Kwa maisha ya watu ila yamefanywa kuwa sehemu za makazi.
Mfano ni Bonde la Ziwa Rukwa ambako kuna Vijijini vingi sana lakini nature ya eneo ni Eneo oevu na Lina mito Mingi,mashamba ya mpunga nk...
Masikini atateseka km nje ni mtu wa Show-off,
Mchafu wewe huna pa kuponea, maana hali ya uchumi haihalalishi uchafu hapo sasa lazima uwe na timing ya giza na majiranii.
Maana kwenye kuhama bana! watu sikuhio utaona kama wameongezeka halafu kila yule unahisi anakuangalia.
Ukiwa zako ndani...
Dhahabu ni mali ngumu kupatikana ila ikigundulika eneo au makazi yako utakoma.
Uwezi kumzuia mtu kuchimba, nyumba zitabomolewa, watu wataweka kambi watakavyo,uovu utaongezeka.
Kuna dalili naziona bora isitokee kama itakuwa kweli watu wakijua tumekwisha.
MPAKA SASA
Naomba ni ninyamaze maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.