Search results

  1. greater than

    Vioja gani ulifanya kipindi umeanza starehe ya pombe

    Habari za mwisho wa weekend wanajamii. Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe. Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia ilikuwaje/ ulifanya kioja gani? Kwangu 1. Mwaka Mpya Arusha 2018, Mimi na jamaa yangu tukaenda kupata mlo...
  2. greater than

    SoC04 Ninaifanyia nini nchi yangu?

    "Ask not what your country can do for you,but what you can do for your country " yaani "Usiulize nchi yako inaweza kukufanyia nini,ila jiulize wewe unaweza kuifanyia nini nchi yako" Hiko ni kifungu cha maneno maarufu ambacho kilitamkwa katika hotuba ya John F. Kennedy, kipindi akiapishwa kuwa...
  3. greater than

    Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

    Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ; Dar es Salaam Mwanza Tanga Mbeya Arusha Dodoma Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji. Manispaa/Miji hiyo...
  4. greater than

    Suluhisho za changamoto zilizopo kwenye muungano Tanzania

    Awali ya yote natumaini wananchi wenzangu wote mpo salama. Ndani ya kipindi hiki cha miezi miwili kumeibuka mjadala mkali ukihusu changamoto za muungano kutoka pande zote mbili za muungano. Mda mwingi umetumika kujadili changamoto kuliko kuweka mawazo ambayo yatatatua changamoto hizo. Uzi huu...
  5. greater than

    Zipi ni alama za kuwa umefanikiwa kimaisha?

    Miaka miwili iliyopita huko Kigamboni, Nilikuwa natoka kwangu na kwenda dukani kufuata mahitaji, wakati nipo njiani kuna vijana watano walikuwa kwenye mjadala juu ya kufanikiwa. Ulikuwa mjadala wenye mabishano pia. Walitajwa watu maarufu wengi kama mfano wa watu wenye mafanikio. Walitajwa ...
  6. greater than

    Orodha ya vyuo vikuu visafi tanzania,nini maoni yako?

    1.University of Dar es Salaam 2.Sokoine University 3.Nelson Mandela African Institute 4.Mbeya university 5.Catholic university of Health 6.Mwenge Catholic University 7.Moshi Cooperative university 8.Mzumbe university 9.Kilimanjaro Christian college 10.University of Arusha Kwa ambao vyuo vyenu...
  7. greater than

    Jambo gani lililowahi kukufanya ujisikie aibu/Ujivunie Utanzania wako?

    Niliyojivunia: 1. Nilipata safari ya kikazi mkoani Kagera wilaya ya Ngara. Kwenye lile basi raia wengi walikuwa ni wa Rwanda na Burundi. Wakati nipo kwenye basi, nilishuhudia wale jamaa walikuwa wakiongea kwa kuangaliana makabila tu, yaani Mhutu kwa Mhutu au Mtutsi kwa Mtutsi hata kama wamekaa...
  8. greater than

    Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

    Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama Biashara 1. Dar es Salaam Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote. Kwenye Biashara ina points 9...
  9. greater than

    Points 10 za ujenzi: Hawa ndiyo wataalam muhimu wa ujenzi

    Leo katika sikukuu hii ya wafanyakazi duniani, nimeona itakuwa ni vyema kujuzana juu ya wataalam muhimu katika katika tasnia ya ujenzi. Hapa nalenga zaidi ujenzji wa Majengo madogo,yaani Nyumba za chini mpaka ghorofa mbili Frame za maduka Zahanati Shule Majengo ya ofisi 1.AFISA MIPANGO...
  10. greater than

    Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

    "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +. Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar...
  11. greater than

    Dar es Salaam: Uzuri uliojificha vol.2

    Dar es Salaam Dar es Salaam Dar es Salaam, Jiji la pili kwa ukubwa Afrika Mashariki. Limetajwa katika tungo za nyimbo kibao na wasanii wa kila kizazi.Jiji lenye mjumuiko wa makabila yote 126 napa nchini na watu wa mataifa mbalimbali. Lakini limekuwa likijulikana kama Jiji la kibiashara zaidi...
  12. greater than

    Pointi 10 Katika Ujenzi, Makosa katika Ujenzi

    MAKALA YA 10 Karibuni tena katika MAKALA za ujenzi.Leo nataka tuangazie juu ya makosa mbalimbali yanayofanyika katika ujenzi wa majengo . 1.KUNUNUA VIWANJA KATIKA MAENEO HATARISHI Kuna watu wanataftaga majanga kabla hata ya kuanza ujenzi kwa kununua ardhi kwenye maeneo ni hatari kwa ujenzi na...
  13. greater than

    Sababu za kuanguka kwa majengo

    MAKALA YA 9 Leo tuangazie janga ambalo limekuwa likitokea katika nchi yetu kila baada ya miaka kadhaa. Kuanguka kwa Majengo 1.Sababu kuu za Kuanguka kwa Majengo ni kama zifuatazo MSINGI WA JENGO KUWA DHAIFU Tabia za ardhi za maeneo/Miji na mitaa hutofautiana. Maeneo ya kutuwamisha...
  14. greater than

    Dar es salaam: Uzuri uliojificha

    Arusha,Zanzibar,Kilimanjaro,Mara na Mbeya ni moja kati ya sehemu ambazo zimekuwa ukipata sifa lukuki juu ya uzuri wa maeneo ndani ya mikoa hiyo. Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuonesha uzuri wa Dar,Jiji ambalo mamillion ya watu pamekuwa nyumbani....Kuna maeneo mengi mazuri na vivutio vingi...
  15. greater than

    Ramani za nyumba za kwenye series maarufu kwenye tv

    Kwa wale wapenzi wa kuangalia TV Drama/Series za Hollywood, lazima kutakuwa kuna nyumba umeipenda na ungetamani ungeishi humo. Leo tuangazie baadhi ya ramani hizo SEHEMU YA KWANZA 1.HOW I MET YOUR MOTHER Wanaoikumbuka sitcom hii,iliyokuwa na akina Tedy Mosby,Marshall,Bernie,Robin na Lily...
  16. greater than

    Points 10 za ujenzi wa nyufa katika majengo

    MAKALA YA 7 Karibu katika Makala yenye kukuhabarisha mambo kadhaa Juu ya Ujenzi,leo tunaangazia japo kwa ufupi juu ya "Nyufa" 1.Nyufa ni mpasuko/Mipasuko inayojitokeza katika sehemu ya jengo I.e Ukuta,Nguzo,beam au msingi. -Nyufa ni tatizo la pili kwa ukubwa linalokumba majengo ukiachana na...
  17. greater than

    Filamu/ Movie tatu za wiki

    zifuatazo ni movie 4 nzuri ambazo unaweza zicheki wiki hii ukiwa umepimzika. Kwenye orodha zipo 4, ila Angalia angalau 3. WIKI YA KWANZA SAVING PRIVATE RYAN waigizaji: Tom Hanks, Matt Damon, Vin Disel Muongozaji: Steven Spielberg Mwaka: 1999 Mahadhi, Drama + Kivita Inahusu: Baada Wizara ya...
  18. greater than

    Huu ni moja kati ya mitindo migumu ya kudesign majengo

    Mara ya mwisho tuligusia mitindo/styles za muonekano ambazo wale wenye Ukwasi/matajiri,hupenda kuitumia. Sasa tuangazie mitindo ambayo hutumiwa kwa wingi na wenye kipato cha Kati. 1. A.MTINDO WA MODERN ulianzishwa miaka ya 1920 Ulianzia ulaya Umbo la jengo hutokana na kazi husika Utumizi wa...
  19. greater than

    Tuangazie katika Mitindo/Styles za muonekano wa majengo

    MAKALA MAALUM karibuni katika Makala nyingine yenye kuelimisha japo kwa uchache Juu ya mambo katika yaliyopo katika ujenzi. Leo tutaangazia katika Mitindo/Styles za muonekano wa majengo. 1.Kama ilivyo kwa Mavazi na Simu;Majengo nayo huwa na muonekano wa mitindo tofauti tofauti yenye kuvutia...
  20. greater than

    Ngoja niwahabarishe mambo kadhaa usiyo yajua katika ujenzi PART 2

    1. Mbao inaweza kufanya kazi sawa kama nondo au/chuma. Unabisha....? -Magorofa magofu ya Bagamoyo,zege zake zina mbao badala ya nondo. 2.Kadri jengo utakavyojenga karibu na bahari,ndipo unapunguza uwezo wa jengo kudumu mda mrefu. Unabisha....? -bati za nyumba za Dar nyingi zina kutu kuliko za...
Back
Top Bottom