Msemo gani unatumia kujifariji baada ya kumaliza pesa kwa matumizi ya kijinga au starehe?

greater than

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
1,018
1,728
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani, yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio,Mimi,yeye na wadogo zake wawili tukaanza piga gambe.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja.

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani, akainuka na kwenda kucheza, alivyorudi, kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata, nimuokoe maana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9, wote wakaagiza supu nzito, wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe, round zikarudiwa na kurudiwa, wengine Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku muda wa kusepa nikalipia Bili. Lipia usafiri wa kila mtu, nkampa mjamaa na hela ya kuhonga, nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K. Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Je,msemo wako huwa upi?
Tupia na tukio hata moja.
 
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani,yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio, tukaanza shushia maji ya dhahabu mimi, mwenzangu na wadogo zake wawili.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja (mtaa wa Baraa).

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani,akainuka na kwenda kucheza,alivyorudi ,kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata,nimuokoe mana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9,wote wakaagiza supu nzito,wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe ,round zikarudiwa na kurudiwa, wengine wanataka Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku mda wa kusepa
nkalipia Bili.Lipia usafiri wa kila mtu,Nkapitia mjamaa na hela ya kuhonga,Nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K
Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
"Kesho nitapa pia"!
 
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"

Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka,Jijini Arusha,hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya Advance Millioni +.

Sikukuu ya Pasaka ilipofika mwenyeji wangu akasema twende kusherekea kwenye Bar flani,yeye atasimamia show (ipo pembezoni mwa Barabara ya Moshono-Impala).

Tulivyofika eneo la tukio, tukaanza shushia maji ya dhahabu mimi, mwenzangu na wadogo zake wawili.

Ghafla tukasikia tumeitwa ,kugeuka ni mshikaji wa mtaa mmoja (mtaa wa Baraa).

Sasa hapo mjamaa wangu gambe zipo kichwani,akainuka na kwenda kucheza,alivyorudi ,kaambatana na wadada wa4 (nao ni wa mtaani ) wakajumuika.

Mjamaa akantonya hela imekata,nimuokoe mana kuna mdada mmoja wapo anamuelewa.
Kwakuwa nami nipo Gambe nkasema "mwana usihofu ".

Hapo jumla tupo 9,wote wakaagiza supu nzito,wengine kiepe kuku.
Kila mtu akapata chupa zake tano za gambe ,round zikarudiwa na kurudiwa, wengine wanataka Whisky...

Kuja kufika saa 9 usiku mda wa kusepa
nkalipia Bili.Lipia usafiri wa kila mtu,Nkapitia mjamaa na hela ya kuhonga,Nyingine sijui nilitupa.

Asubuhi ilivyofika, kuja kucheki nimetumia zaidi ya 400K
Hapo nikajifariji kwa kusema "SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA"
""""HASARA ROHO PESA MAKARATASI"""
 
Back
Top Bottom