Wanawake wana save namba hata kwa miaka5,yaan wanadestuli hiyo sasa huko wakiona hawaelewi ndio hukumbuka wale ambao walikuwa wanawasaidia sijui wakijua wajinga
Kuna siku nikawa napiga story na dada mmoja hivi,anasema ule utamu ungezidi kwa dakika moja basi watu kila siku wangefanya kupepeana,maana kila mkojo unazimia😃
Yaan kwetu kutumia vitu au kunufaika na vya kwetu ni kama laana,ukitulliza akili kama watu wameamua kutukomoa vile
Anzia
1;MBs
2;Gas
3;Luku
Unaona kabisa viongozi wanaamini hivi vikiwa cheap watu watafaidi
Elimu,elimu,elimu,elimu,elimu,ilimu,ilimu,ilimu.
Kwenye Qur'an tukufu hata huko MWENYEZI MUNGU alitukumbusha juu ya elimu na kusisitiza ikiwezekana tukaifuate hata uchina
Nenda Facebook kuna mzee mmoja anauza hizo dawa utapona chap ila ndio 180,000 huko anaitwa DANIEL NKYA utapata namba zake na uzuri utasoma comment za ushuhuda ,au kama wataka namba nikupe kila la kheri
Umeshindwa kupinga hoja zake unabaki unabwabwaja,kuna muda nikiwa nyumbani naweka zile channel zenu aisee mpaka unajiuliza hii mijitu ina akili kweli,yaan mtu anatoa ushuhuda baada ya kuombewa karudi nyumban kalikuta gari limepaki uwani,yaan unawaza mpaka unaishiwa nguvu huku mchungaji likisema...
Nimejifunza kitu kimoja,wakristo hoja hawanaga,tuanze kumpinga jamaa kwa hoja na si kumfokea.Alicho kiekeza kipo au hakipo twende kwa hoja na sio kubwatuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.