TCRA na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), wameshindwa kabisa kuwashughulikia wasanii wa Tanzania wanaorusha maudhui ya ngono maarufu 'connections'

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,382
12,950
kumekua na kasumba ya wasanii wetu tunao waita KIOO CHA JAMII kujirekodi kipindi wakiwa falagha (UTUPU WA MNYAMA) bila ya kujali jamii inawatazama vipi na bila kujali kuwa jamiii ina watoto.

ukichunguza hizo videos na picha wanazo piga ni Dhahiri kabisa wanafanya kwa makusudi maana unakuta wahusika hawajalewa wala hawajalazimishwa na mtu yoyote kisha kuwarekodi la hasha.

kadri siku zinavyozdi kwenda haya mavideo ya utupu yanakua kama fasheni kwa maana wahusika hawachukuliwi hatua za kisheria kana kwamba hili Taifa halina sharia na vyombo vinavyohusika na utandawazi na kusimamia mambo ya wasanii (BASATA) na TCRA .

Nimesikitishwa na msanii ASLAY aliyetamba na kibao chake cha naenda kusema kwa mama na nyinginezo kibao
Aslay alijirekodi mwenyewe kwa akili zake akiwa falagha (AKIFANYA MAPENZI) kisha vido yake hiyoo kufika kwenye jamii.

SWALI ; Je ni nani aliyerusha video hiyo kwenye app ya mange kimambi kama siyo wao wenyewe wahusika??

na urushaji wa video kama hizo kwenye jamii lengo na dhumuni ni nini kama kama siyo makusudi ya kutafuta umaarufu??

MAONI YANGU; Baraza la Sanaa Tanzania na TCRA wanapaswa kuwashughulikia kisheria wasanii wanaofanya mambo ya aibu kama haya tofauti na hivyo tutakua tunatengeneza kizazi cha ajabu sana.
 
kumekua na kasumba ya wasanii wetu tunao waita KIOO CHA JAMII kujirekodi kipindi wakiwa falagha (UTUPU WA MNYAMA) bila ya kujali jamii inawatazama vipi na bila kujali kuwa jamiii ina watoto.

ukichunguza hizo videos na picha wanazo piga ni Dhahiri kabisa wanafanya kwa makusudi maana unakuta wahusika hawajalewa wala hawajalazimishwa na mtu yoyote kisha kuwarekodi la hasha.

kadri siku zinavyozdi kwenda haya mavideo ya utupu yanakua kama fasheni kwa maana wahusika hawachukuliwi hatua za kisheria kana kwamba hili Taifa halina sharia na vyombo vinavyohusika na utandawazi na kusimamia mambo ya wasanii (BASATA) na TCRA .

Nimesikitishwa na msanii ASLAY aliyetamba na kibao chake cha naenda kusema kwa mama na nyinginezo kibao
Aslay alijirekodi mwenyewe kwa akili zake akiwa falagha (AKIFANYA MAPENZI) kisha vido yake hiyoo kufika kwenye jamii.

SWALI ; Je ni nani aliyerusha video hiyo kwenye app ya mange kimambi kama siyo wao wenyewe wahusika??

na urushaji wa video kama hizo kwenye jamii lengo na dhumuni ni nini kama kama siyo makusudi ya kutafuta umaarufu??

MAONI YANGU; Baraza la Sanaa Tanzania na TCRA wanapaswa kuwashughulikia kisheria wasanii wanaofanya mambo ya aibu kama haya tofauti na hivyo tutakua tunatengeneza kizazi cha ajabu sana.
Lakini wapo baadhi ya watu ambao picha au video zao za faragha zimevuja ni Wahanga wa Uhalifu wa Kupanga, kupitia Operesheni za Siri zenye Nia ovu (Clandestine Sexipionage Operations)
 
Lakini wapo baadhi ya watu ambao picha au video zao za faragha zimevuja ni Wahanga wa Uhalifu wa Kupanga, kupitia Operesheni za Siri zenye Nia ovu (Clandestine Sexipionage Operations)
mkuu ukiangalia vizuri kabisa hii ya aslay huyu kapanga kabisa na hata kisambaza anahusika kwa asilimia ,oja kabisa maana yule mwanamke hakuna ajualo ila mambo yote aslay kasimamia show
 
kumekua na kasumba ya wasanii wetu tunao waita KIOO CHA JAMII kujirekodi kipindi wakiwa falagha (UTUPU WA MNYAMA) bila ya kujali jamii inawatazama vipi na bila kujali kuwa jamiii ina watoto.

ukichunguza hizo videos na picha wanazo piga ni Dhahiri kabisa wanafanya kwa makusudi maana unakuta wahusika hawajalewa wala hawajalazimishwa na mtu yoyote kisha kuwarekodi la hasha.

kadri siku zinavyozdi kwenda haya mavideo ya utupu yanakua kama fasheni kwa maana wahusika hawachukuliwi hatua za kisheria kana kwamba hili Taifa halina sharia na vyombo vinavyohusika na utandawazi na kusimamia mambo ya wasanii (BASATA) na TCRA .

Nimesikitishwa na msanii ASLAY aliyetamba na kibao chake cha naenda kusema kwa mama na nyinginezo kibao
Aslay alijirekodi mwenyewe kwa akili zake akiwa falagha (AKIFANYA MAPENZI) kisha vido yake hiyoo kufika kwenye jamii.

SWALI ; Je ni nani aliyerusha video hiyo kwenye app ya mange kimambi kama siyo wao wenyewe wahusika??

na urushaji wa video kama hizo kwenye jamii lengo na dhumuni ni nini kama kama siyo makusudi ya kutafuta umaarufu??

MAONI YANGU; Baraza la Sanaa Tanzania na TCRA wanapaswa kuwashughulikia kisheria wasanii wanaofanya mambo ya aibu kama haya tofauti na hivyo tutakua tunatengeneza kizazi cha ajabu sana.
Cha ajabu Mange aliposema anayo connection ya mama amefutiwa account fasta 😂😁😁😁
 
kwa hiyo shetani anaiba halafu anaipeleka kwa mange tukubali kuwa sisi wenyewe tunafanya makusudi na kwenda kuuza kwa mamnge
Ni makusudi kbs.
Sasa nashindwa kuelewa ni kwamba TCRA hawaoni hizo video? Au baada ya kuachiwa hizo videos, (wahanga wa kike ambao hawakujua kama wanarekodiwa)
i) Wanashindwa kuripoti kuwa wamedhalilishwa kwa kutokujua?
ii)Wanaona aibu kuripoti sehemu husika?
iii)Wanalipana kisirisiri?
iv)Elimu finyu kuhusu sheria?
v)Wako sokoni?
vi)Wamefanya kwa starehe zao
🤷🤷🤷🤷🤷
Maswali haya ni kwa wale waliorekodiwa bila kujijua kisha wakajijua baada ya video kuvuja🤔🤔🤔
 
Yani kama ni hivyo bado tuna akili za kipumbavu mno yani unaweka video zako za utupu kwa lengo la kupata umaarufu? Sema kwa huku kwa watu wenyewe sisi hakuna namna maana utakuta ndiyo story za vijiweni.
hatari san mkuu ikitoka connection ndyo habar za mjini kila mtu anaongelea hilo
 
Upumbavu huu niliufanya sana enzi za Nancy Mitisa... kule Utamublogspot.....😄😄😄
Sema kipindi kile tunaposti kiwiliwili tu, kichwa tunakiacha byumbani....yule bwana tuliokuwa tunarekodiana upumbavu ule,aendelee kupumzika kwa amani tu huko motoni
acha bhna mkuu bado zipo kule nikajiridhishe kama haya unayoyasema ni kweli au uongo
 
kumekua na kasumba ya wasanii wetu tunao waita KIOO CHA JAMII kujirekodi kipindi wakiwa falagha (UTUPU WA MNYAMA) bila ya kujali jamii inawatazama vipi na bila kujali kuwa jamiii ina watoto.

ukichunguza hizo videos na picha wanazo piga ni Dhahiri kabisa wanafanya kwa makusudi maana unakuta wahusika hawajalewa wala hawajalazimishwa na mtu yoyote kisha kuwarekodi la hasha.

kadri siku zinavyozdi kwenda haya mavideo ya utupu yanakua kama fasheni kwa maana wahusika hawachukuliwi hatua za kisheria kana kwamba hili Taifa halina sharia na vyombo vinavyohusika na utandawazi na kusimamia mambo ya wasanii (BASATA) na TCRA .

Nimesikitishwa na msanii ASLAY aliyetamba na kibao chake cha naenda kusema kwa mama na nyinginezo kibao
Aslay alijirekodi mwenyewe kwa akili zake akiwa falagha (AKIFANYA MAPENZI) kisha vido yake hiyoo kufika kwenye jamii.

SWALI ; Je ni nani aliyerusha video hiyo kwenye app ya mange kimambi kama siyo wao wenyewe wahusika??

na urushaji wa video kama hizo kwenye jamii lengo na dhumuni ni nini kama kama siyo makusudi ya kutafuta umaarufu??
aa
MAONI YANGU; Baraza la Sanaa Tanzania na TCRA wanapaswa kuwashughulikia kisheria wasanii wanaofanya mambo ya aibu kama haya tofauti na hivyo tutakua tunatengeneza kizazi cha ajabu sana.
Kuna connection kwa MangeKimambi lijimama kikubwa linasaga
 
Back
Top Bottom